Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameona akili zako za HKL sio PCB huko kwa watu wenye vichwaaa 😁Nilitaka nisome PCB, leo wamenichagua HKL, nawezaje kubadili hiyo kitu. Siitaki katu
Jibu la kisenge sanaWameona akili zako za HKL sio PCB huko kwa watu wenye vichwaaa [emoji16]
kumbe Retired ni toto kabisa, kama shule uliyopangiwa ina pcm itakua rahisNilitaka nisome PCB, leo wamenichagua HKL, nawezaje kubadili hiyo kitu. Siitaki katu
Una credits za kusoma PCB?Nilitaka nisome PCB, leo wamenichagua HKL, nawezaje kubadili hiyo kitu. Siitaki katu
How do you do it then to get transferredAnyway, kama shule ina PCB wahi mapema ukaombe wakubadilishie combination.
Kama haina, itakupasa sasa uhame shule ama uende binafsi ama uombe uhamisho kwenye shule yenye PCB.
Kila la kheri Daktari mtarajiwa. Karibu tulisogeze.
Ataiweza PCB bro?Nilitaka nisome PCB, leo wamenichagua HKL, nawezaje kubadili hiyo kitu. Siitaki katu
Ngoja nimuulize kijana..... pass zake na performance in generalUtaiweza PCB bro?
Shikamoo mkuu, huo mwaka ndio mama yangu alizaliwaHow do you do it then to get transferred
In passing, nilimaliza PCB 1976. wajukuu wanasumbua........
Muulize kwanza maana PCB sio tu kuipenda ila inabidi mtu ajipime kuwa ataiweza.Ngoja nimuulize kijana..... pass zake na performance in general
sure!Muulize kwanza maana PCB sio tu kuipenda ila inabidi mtu ajipime kuwa ataiweza.
Tuanzie kwanza ana ufaulu gani huyo mwanao, pili alichagua combinations zipi kwenye mtiririko. Yani PCB ilikuwa ya ngapi na HKL ilikuwa ya ngapi. Pia tujue ana ufaulu gani kwenye hayo masomo matatu ya PCB.Nilitaka nisome PCB, leo wamenichagua HKL, nawezaje kubadili hiyo kitu. Siitaki katu
marahaba!Shikamoo mkuu, huo mwaka ndio mama yangu alizaliwa
Umenishauri vema mno! asante sana. Nitakupa mrejesho kesho. asante tena.Tuanzie kwanza ana ufaulu gani huyo mwanao, pili alichagua combinations zipi kwenye mtiririko. Yani PCB ilikuwa ya ngapi na HKL ilikuwa ya ngapi. Pia tujue ana ufaulu gani kwenye hayo masomo matatu ya PCB.
Baada ya hapo utalinganisha na shule aliyosoma ufaulu wao ukoje, kama alisoma shule nzuri na ana ufaulu wa kawaida asiende PCB atazunguka na kurudi diploma. Kama shule ufaulu wa kawaida alijipambania kwa uwezo binafsi, anaweza pambana kwa nguvu kubwa A level na comb. hiyo.
HKL sio ya kusoma kama hana nia nayo, akishindwa options zote bora aende diploma, nusu ya nguvu ya kusoma PCB anaiweka uko anatoka na GPA ya 3.5+ na kwenda Degree kwa kuchelewa mwaka mmoja ila kwa uhakika.
Two.....Unadivisheni ngapi?
Bila one now huwezi kusoma PCB au PCM Kwa shule za SERIKALI.Two.....
Hiyo sheria imeanzishwa lini.Bila one now huwezi kusoma PCB au PCM Kwa shule za SERIKALI.