Kubadilisha mitaala yetu ya elimu vyuo vikuu ni kazi ngumu sana isiyowezekana

Kubadilisha mitaala yetu ya elimu vyuo vikuu ni kazi ngumu sana isiyowezekana

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Unapobadilisha mtaala kutoka ule wa kujua tu na kuajiliwa kwenda ule wa kujua na vitendo zaidi na kujiajili kunahitaji uwekezaji mkubwa sana ambao ni ghali sana. Unapobadilisha mtaala maana yake utahitaji seti mpya ya walimu waliohitimu kwenye mitaala ya aina hiyo hiyohiyo au ya aina hiyo ambao Sasa hivi hawapo. Walimu waliopo hata wenye PhD na maprofesa hawawezi kujiajili wenyewe na hawana skills za kutosha za hands on.

Vyuo vikuu vyetu vingi hasa vile vya kibinafsi na vya mashirika ya kidini vinaongozwa na walimu wazee sana ambao wametokana na mitaala Ile ya zamani ya kufundishana zaidi madarani na mitihani migumu ya kwenye makaratasi, hawana uwezo wa kubuni Wala kupokea mbinu na mawazo mapya. Tunahitaji aina mpya ya madarasa, katakana na sehemu za kutoa elimu kwa vitendo, maana hata wale ambao wako makazini hawezi kuwafundisha ujuzi sahihi kwa wanafunzi watakaohitaji ujuzi na uzoefu wao kwakuwa na wao hawajui kwakuwa hawawezi.

Mitaala mipya ni nani ataifundisha? Tunahitaji uwekezaji mkubwa sana kabla ya kuingia hasara ya kuandika mitaala mipya. Wakati mwingine hatuhitaji kuandika mitaala mipya bali tunahitaji kwenda kuomba, kupewa na kutumia mitaala ya watu wengine kama vile wachina, wahindi, wakorea, wajapan au wakenya kwenye fani ambazo tunaona kuwa wao wako vizuri, nakuongeza TU machache ambayo tunahisi yahatuhusu sisi TU na utamaduni wetu.
 
Umeongea kitu cha kweli kabisa.”Ni cost sana kuchange”bac waajiri walimu kutoka nje ambao watadeal na baadh ya masomo kwa vitendo ambapo mwanafunz akimalza anaweza jiajir ila kujiajir serikal iweke mazngira wezesh ya kutoa mikopo kwa wahitimu.
 
Umeongea kitu cha kweli kabisa.”Ni cost sana kuchange”bac waajiri walimu kutoka nje ambao watadeal na baadh ya masomo kwa vitendo ambapo mwanafunz akimalza anaweza jiajir ila kujiajir serikal iweke mazngira wezesh ya kutoa mikopo kwa wahitimu.
Mtu asikudanganye, hata marekani wapo wanaoshindwa kujiajili. Lakini hapa kwetu tatizo ni zaidi ya mitaala bali mazingira wezeshi ya kujiajili. Ili vijana waweze kujiajili lazima kuwe na multisectoral collaborations, hasa watu wa mipango miji, wizara ya ardhi, wizara za nishati, maji, miundombinu na usafirishaji, fedha, vijana na kazi, elimu, viwanda, biashara, sheria ili kuangali miji na ardhi vinapangajwe, umeme upo?, maji yapo? mikopo ya riba nafuu ipo? masoko yapo? mawasiliano yapo? sheria zetu na kodi zetu vimekaaje?, ukiritimba ukoje? rushwa imekaaje? mishahara yetu ikoje? uwezo wa watu kununua huduma na bidhaa ukoje? na mazingira ya kutolea elimu yakoje?. Kabla ya kulaumu mitaala yetu lazima tuangalie vikwazo vingine vinavyokwamisha watu kushindwa kujiajili. Mbona wazee wetu hawakussoma sana lakini wamejiali wenyewe mitaani, mashambani, kwenye mifugo, kwenye uvuvi, kwenye ufundi, nk?

Ona hata huko kwa wenzetu yapo matatizo pia.
 
Unapobadilisha mtaala kutoka ule wa kujua tu na kuajiliwa kwenda ule wa kujua na vitendo zaidi na kujiajili kunahitaji uwekezaji mkubwa sana ambao ni ghali sana. Unapobadilisha mtaala maana yake utahitaji seti mpya ya walimu waliohitimu kwenye mitaala ya aina hiyo hiyohiyo au ya aina hiyo ambao Sasa hivi hawapo. Walimu waliopo hata wenye PhD na maprofesa hawawezi kujiajili wenyewe na hawana skills za kutosha za hands on.

Vyuo vikuu vyetu vingi hasa vile vya kibinafsi na vya mashirika ya kidini vinaongozwa na walimu wazee sana ambao wametokana na mitaala Ile ya zamani ya kufundishana zaidi madarani na mitihani migumu ya kwenye makaratasi, hawana uwezo wa kubuni Wala kupokea mbinu na mawazo mapya. Tunahitaji aina mpya ya madarasa, katakana na sehemu za kutoa elimu kwa vitendo, maana hata wale ambao wako makazini hawezi kuwafundisha ujuzi sahihi kwa wanafunzi watakaohitaji ujuzi na uzoefu wao kwakuwa na wao hawajui kwakuwa hawawezi.

Mitaala mipya ni nani ataifundisha? Tunahitaji uwekezaji mkubwa sana kabla ya kuingia hasara ya kuandika mitaala mipya. Wakati mwingine hatuhitaji kuandika mitaala mipya bali tunahitaji kwenda kuomba, kupewa na kutumia mitaala ya watu wengine kama vile wachina, wahindi, wakorea, wajapan au wakenya kwenye fani ambazo tunaona kuwa wao wako vizuri, nakuongeza TU machache ambayo tunahisi yahatuhusu sisi TU na utamaduni wetu.
Simple tu.

Kuwe na vijana qengi wanao ingia Technical colleges than University.

Yaani nazungumzia, On hand skills mfano: Ufundi simu, Ufundi cherehani, Ufundi umeme, Ufundi computer, Ziwepo nyingi kabisa kulingana na demand ya Mazingira yetu, ili mtu akishapata basic education ya mpaka form four anaingia kupiga diploma yake ya miaka 2-3 then anaingia mtaani kufanya kazi. Hizi nyingi mtaji wake sio mkubwa sna ni rahisi kujiajili kwa kile ulicho somea huku unaangalia ramani nyingine.

Wachache wanao baki waendelee na hiyo University education yenye ma theory mengi kukiko practical.

Welcome.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Simple tu.

Kuwe na vijana qengi wanao ingia Technical colleges than University.

Yaani nazungumzia, On hand skills mfano: Ufundi simu, Ufundi cherehani, Ufundi umeme, Ufundi computer, Ziwepo nyingi kabisa kulingana na demand ya Mazingira yetu, ili mtu akishapata basic education ya mpaka form four anaingia kupiga diploma yake ya miaka 2-3 then anaingia mtaani kufanya kazi. Hizi nyingi mtaji wake sio mkubwa sna ni rahisi kujiajili kwa kile ulicho somea huku unaangalia ramani nyingine.

Wachache wanao baki waendelee na hiyo University education yenye ma theory mengi kukiko practical.

Welcome.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
inasikitisha sana tena sana kuona hivi vyuo vya kati kama Mzumbe, IFM, IAA, nk kubadilishwa kuwa vyuo vikuu vya fresh from school badala ya kuendelea kutoa vijana wengi wa hands on.
 
Kasumba ya degree inatutesa.
Mawazo yetu kuhusu ualimu yata endelea kututesa.
Uwekezaji mkubwa unahitajika kwenye kiswahili, kingereza na hisibati.
Elimu. Elimu. Elimu.
 
Back
Top Bottom