Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa huko huko mtafute binti wa kikuria posa oa maisha yaende..kuna ndizi ,nyama,kichuri,kila aina ya mazao .Wakuu mimi ni Afisa muuguzi msaidizi. Niko Tarime Mara. Kama kuna mtu wa kada yangu Yuko Mwanza anahitaji kuhamia Tarime tuwasiliane. 07583886618
Kila mmoja na interest yake.Kaa huko huko mtafute binti wa kikuria posa oa maisha yaende..kuna ndizi ,nyama,kichuri,kila aina ya mazao .
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nishaona unatumia infinix lazima tu mawazo yako yangekua hayo uliyotoaKaa huko huko mtafute binti wa kikuria posa oa maisha yaende..kuna ndizi ,nyama,kichuri,kila aina ya mazao .
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hii haina comeback 📌 ✊ 😂😂Nishaona unatumia infinix lazima tu mawazo yako yangekua hayo uliyotoa