Jana natokea zangu chuo niko kwenye daladala ya Tegeta pembeni kuna mtoto mkali akapigiwa simu kwa maelezo niliyosikia kwa upande mmoja ni kuwa huyu binti alifanya mtihani wa Supplementary matokeo yametoka hakufanya vizuri.
Kwahiyo akashauriwa akate rufaa mtihani usahishwe upya baada ya matokeo yakitoka mchezo utachezwa.
Majibu yakitoka baada ya rufaa matokeo yatabadilishwa kwenye ku-upload hayo matokeo kwenye system ya chuo na binti ataonekana amefaulu hata kama matokeo yamekuja vipi.
Tahadhari kwa wahusika. Kuweni makini kuna msomi wa kutengeneza anaandaliwa hapa.
Kwahiyo akashauriwa akate rufaa mtihani usahishwe upya baada ya matokeo yakitoka mchezo utachezwa.
Majibu yakitoka baada ya rufaa matokeo yatabadilishwa kwenye ku-upload hayo matokeo kwenye system ya chuo na binti ataonekana amefaulu hata kama matokeo yamekuja vipi.
Tahadhari kwa wahusika. Kuweni makini kuna msomi wa kutengeneza anaandaliwa hapa.