Kubadilishwa kwa Uongozi ndani ya kikosi cha Simba

Kubadilishwa kwa Uongozi ndani ya kikosi cha Simba

Kwa maelezo niliyookota juu juu pale, wanadai anacheza sijui kwa kuwa hakuonesha kuiuwa simba uwanjan, ila manula lile goli la kipuuzi ndio likamdhihirisha wazwazi anahujumu timu, na walisema hawezi kucheza game zinazofata, sijui huko mbeleni..

(Nilivyosikia sikia)
Ni ngumu mchezaji wa simba kuhujumu kwa sababu wanalipwa vizuri kuliko timu yoyote Tanzania pia ushindani mkubwa wa namba kiuhalisia wachezaji ama wameridhika au viwango vimeshuka hawajitumi Dilunga anacheza kama staa mkubwa hakabi akipata mpira anataka afunge kuwatengenezea nafasi wenzake ni mara chache, Shabalala anakawia kurudi, marking yake ni mbovu hana speed hasa anapokutana na winga mwenye kasi anatoa pasi boko za utatanishi
 
Ni ngumu mchezaji wa simba kuhujumu kwa sababu wanalipwa vizuri kuliko timu yoyote Tanzania pia ushindani mkubwa wa namba kiuhalisia wachezaji ama wameridhika au viwango vimeshuka hawajitumi Dilunga anacheza kama staa mkubwa hakabi akipata mpira anataka afunge kuwatengenezea nafasi wenzake ni mara chache, Shabalala anakawia kurudi, marking yake ni mbovu hana speed hasa anapokutana na winga mwenye kasi anatoa pasi boko za utatanishi
Dilunga? Mnyimi wa pasi?
 
Ni ngumu mchezaji wa simba kuhujumu kwa sababu wanalipwa vizuri kuliko timu yoyote Tanzania pia ushindani mkubwa wa namba kiuhalisia wachezaji ama wameridhika au viwango vimeshuka hawajitumi Dilunga anacheza kama staa mkubwa hakabi akipata mpira anataka afunge kuwatengenezea nafasi wenzake ni mara chache, Shabalala anakawia kurudi, marking yake ni mbovu hana speed hasa anapokutana na winga mwenye kasi anatoa pasi boko za utatanishi
Sifa kubwa ya nafsi yetu ni kutokuridhika, hivyo lolote, linawezekana
 
Sidhani kama ni rais tshabalala kula pesa labda Manula na Kennedy hata hiyo ya bocco ni hapana maana pesa ilipelekwa sumbawanga ambapo bocco yeye alibaki dar ila infomer wa management huwa ni said ,yule jamaa anapewa mshahara mkubwa kwasababu hiyo
Said yupi mkuu?
Ndemla?
 
nasemekana tshabalala na kuna wenzie walikula mlungula hapa katikati kuhujumu simba s.c, hizo habari nilizikutia mwishoni mwishoni kiongozi wa tawi fulani akihadithia watu wakawa kama hawamuamini, akampigia jamaa yake, kiongozi mkubwa simba, jamaa akakiri kidogo ila alikuwa anaingia kwenye kikao, akasema atampigia baadae.. Mie nikawaacha hapo wakijadili, hiyo nilisikia siku kadhaa kabla ya game na kagera sugar. Ndio sakata hilo limekula saana vichwa vya watu pale msimbazi, na walisema aliyebumbulua ni jonas mkude, yeye ndio aligoma kula mlungula, akasema kwa john bocco, bocco ndio kufikisha habari kwa wakubwa, uchunguzi kuanza na kukamatwa baadhi ya watu.
Mkuu waliotafuna mlungula ni kina nani? ( kwa majina)
Ulitoka wapi au GSM?
 
Mkuu waliotafuna mlungula ni kina nani? ( kwa majina)
Ulitoka wapi au GSM?
Nilikuta watu wanazungumza, pia nilikuwa bize kidogo na kile kilichonipeleka pale, kwanza nilikuwa napuuzia, sikuwekea maanani saana, hivyo nikawa nasikia juu juu, umakini ulikuja pale jamaa aliposema anampigia kiongozi wa juu simba kuwathibitishia wanaobisha, akapiga simu inaonekana akaambiwa yuko bize idogo baadae atampigia, mie nikatoka eneo hilo, wakiwa bado wanachambua

Niichookota pale ni majina manula, tshabalala, kisha nyoni na dilunga kama sikosei hawa ndio waliotajwa.
Inaonekana ni kutoka GSM.
 
Nilikuta watu wanazungumza, pia nilikuwa bize kidogo na kile kilichonipeleka pale, kwanza nilikuwa napuuzia, sikuwekea maanani saana, hivyo nikawa nasikia juu juu, umakini ulikuja pale jamaa aliposema anampigia kiongozi wa juu simba kuwathibitishia wanaobisha, akapiga simu inaonekana akaambiwa yuko bize idogo baadae atampigia, mie nikatoka eneo hilo, wakiwa bado wanachambua

Niichookota pale ni majina manula, tshabalala, kisha nyoni na dilunga kama sikosei hawa ndio waliotajwa.
Inaonekana ni kutoka GSM.
Dah bongo fitna haziishi, ....
Hao mwisho wa msimu hatunao tena.
 
Back
Top Bottom