Hivi mwanza kuna hotel gani hata ya nyota tatu ? Huwezi kulinganisha arusha na mwanza kwa hotels za maana . Nyie mna mnamrundikano wa gesti na lodges uchwara sio hotel za maana za world class .Wapi hakuna hotel au umekaririshwa?
Wananchi ndio waliwekeza,Hotel za huko Arusha zilishuka kama mvua au serikali ndio iliweka mazingira zikajengwa?
Tunataka mazingira hayo hayo yawekwe Mbeya na Mwanza,sisi sio Manamba.
Wananchi wawekezaji wako Arusha ,Dar na Zanzibar pekee si ndio? 😂😂Wananchi ndio waliwekeza,
Nimekuambia hizo hoteli za kitalii Arusha hazikujengwa na serikali bali wananchi ndio waliwekeza...Arusha imepakana na Serengeti, Dar ni jiji la kibiashara, Zanzibar ni hub ya watalii piaWananchi wawekezaji wako Arusha ,Dar na Zanzibar pekee si ndio? 😂😂
Huko si kuna Nangwanda sijaonaNa sisi huku NTWARA tusemeje?
Kwani hayo mawazo yako ni ya watu wangapi?Mikoa uliyoiona wewe ni Mbeya na Mwanza tu.Na iliyobaki je?Mkuu kwa case ya mtu mmoja unatoa conclusion ya jambo kwenye watu milioni na ushee😯
Hiyo mengine imeshazungumziwa. Rejea kusoma andiko.Kwani hayo mawazo yako ni ya watu wangapi?Mikoa uliyoiona wewe ni Mbeya na Mwanza tu.Na iliyobaki je?
Kwa lipi mnalochangia kwenye uchumi?Na sisi wakazi wa Mkoa wa Pwani tunasikitika ni kwanini wapeleke Dodoma na Arusha badala ya Pwani hasa Kibaha, Chalinze au Bagamoyo
Toa ujinga hapa,Lema amepinga wewe ni nani?Nimekuambia hizo hoteli za kitalii Arusha hazikujengwa na serikali bali wananchi ndio waliwekeza...Arusha imepakana na Serengeti, Dar ni jiji la kibiashara, Zanzibar ni hub ya watalii pia
Lema ni nani nchi hii?Toa ujinga hapa,Lema amepinga wewe ni nani?
Godbless Lema apinga serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha
Aliekuwa mbunge wa Arusha mjini Mr Lema amepinga wazo la serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha kwa ajili ya kutumika kwenye fainali za michuano ya CAF Lema amesisitiza ya kwamba jiji la Arusha linakabiliwa na changamoto ya miundo mbinu, hivyo kujenga uwanja wa michezo hakuna maana...www.jamiiforums.com
Arusha ni karibu na nairobi, kampala na dsm na zanzibar ni strategic place tofauti na mbeyaNimekuambia hizo hoteli za kitalii Arusha hazikujengwa na serikali bali wananchi ndio waliwekeza...Arusha imepakana na Serengeti, Dar ni jiji la kibiashara, Zanzibar ni hub ya watalii pia
Kweli, ndio najaribu kumueleza mtoa mada haelewi, amekalia ukabila na ukanda tuArusha ni karibu na nairobi, kampala na dsm na zanzibar ni strategic place tofauti na mbeya
Mbeya hakuna world-class hotel kama ilivyo arusha
Kwani Lema ni nani ambaye akisema kitu hapingwi?Toa ujinga hapa,Lema amepinga wewe ni nani?
Godbless Lema apinga serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha
Aliekuwa mbunge wa Arusha mjini Mr Lema amepinga wazo la serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha kwa ajili ya kutumika kwenye fainali za michuano ya CAF Lema amesisitiza ya kwamba jiji la Arusha linakabiliwa na changamoto ya miundo mbinu, hivyo kujenga uwanja wa michezo hakuna maana...www.jamiiforums.com
Ndio anaijua Arusha kuliko wewe nyumbu,sawa na sisi tunaojua tinachoongea.Kwani Lema ni nani ambaye akisema kitu hapingwi?
Tumeshawajengea Uwanja wa Kimataifa wa Ndege pale Chato.... Hebu utumieni huo kwa tija kwanza ndio tuwaletee wa soccerHii tabia ya kubagua Mikoa ya Mbeya na Mwanza kwenye mambo ya Maendeleo naona imeanza kukita mizizi.
Wakati mikoa mingine ikipendelewa sie Mwanza na Mbeya tumekuwa wahanga wa kutengwa na Kubaguliwa kwenye masuala mbalimbali ya kimaendeleo licha ya kuwa tunastahili kwa vigezo na sio kwa kuonewa huruma.
Haiwezekani na haiingii akilini eti kubagua miji hii maarufu kwa wanamichezo na badala yake wakaipendelea miji isiyo na mashabiki wala wanamichezo ya Arusha na Dodoma.
Nasisitiza tunadai haki yetu na sio favour kwa sababu zifuatazo;
Mwanza
- Mikoa wa pili kuchangia Pato la Taifa GDP baada ya Dar.
- Jiji la Pili kuwa na population kubwa baada ya Dar.
- Jiji la 3 Kuchangia Mapato ya Kikodi.
- Uwepo wa mashabiki wa kutosha na wanamichezo.
Mbeya
View attachment 2766225
- Mikoa wa 3 kuchangia Pato la Taifa nyuma ya Dar na Mwanza.
- Jiji la 6 Kwa idadi ya watu Tanzania.
- Jiji la 2 Kwa Wanamichezo wengi kama timu za NBC&Championship.
- Pamoja na mtoto Wetu Songwe ni Mkoa wa 4 Kwa mapato ya Kikodi.
Kwa vigezo hivyo pekee tunastahili kupata kitu sio kwa upendeleo bali kwa haki.
Habari za kusema hakuna hoteli au miundombinu ya kisasa na blaa blaa kama hizo zinatokana na Serikali hii ya ccm kuchukua pesa na jasho letu kwenda kujenga Mikoa mingine kama Arusha, Dodoma, Tanga, Dar nk.
Ni aidha Serikali ianze ujenzi wa viwanja vya Kisasa kwenye miji yetu kutufuta machozi na sio lazima kwa ajili ya AFCON bali kutupa heshima yetu kwenye michezo au tumwage mboga 2025.
Hali hii haivumiliki na haikubaliki, ni wakati wa watu wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini kufanya jambo la kujitambua mwaka 2025 endapo wataziba maskio.
Ni bora kumwaga mboga sio kwa sababu tunawakubali Wapinzani bali ni kwa nia ya kukomoana kwamba tukose wote, tumechoka kutengwa na tabia hii ikiendelea ipo siku tutagawana fito.
View attachment 2766050View attachment 2766051View attachment 2766052
Angalizo: Haya ni maoni na mtizamo binafsi, yasichukuliwe kama uchochezi.Nachokonoa mada Kwa maslahi mapana ya Nchi hii na watu wa Mbeya na Mwanza.
Godbless Lema apinga serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha
Aliekuwa mbunge wa Arusha mjini Mr Lema amepinga wazo la serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha kwa ajili ya kutumika kwenye fainali za michuano ya CAF Lema amesisitiza ya kwamba jiji la Arusha linakabiliwa na changamoto ya miundo mbinu, hivyo kujenga uwanja wa michezo hakuna maana...www.jamiiforums.com
Nyumbu ni wewe unayeamini kila unachoambiwa na Lema kama vile ni mungu wakoNdio anaijua Arusha kuliko wewe nyumbu,sawa na sisi tunaojua tinachoongea.
Nyumbu kama nyumba,Lema omkazi wa Arusha wewe nyumbu unajua nini?Nyumbu ni wewe unayeamini kila unachoambiwa na Lema kama vile ni mungu wako
Nadhani hata huyo Lema akikuambia unafaa kuolewa utakubaliana naye kwa Sababu ni Lema kasema
Nenda kwa Lema sasa ukaungane nae muandamane uwanja usijengweNyumbu kama nyumba,Lema omkazi wa Arusha wewe nyumbu unajua nini?
Mfano tukiamua kufunga barabara zetu za chalinze na Bagamoyo mtapita wapi kwenda huko kwenu. Si mnaona hatuna faidaKwa lipi mnalochangia kwenye uchumi?