Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Wananchi wawekezaji wako Arusha ,Dar na Zanzibar pekee si ndio? 😂😂
Nimekuambia hizo hoteli za kitalii Arusha hazikujengwa na serikali bali wananchi ndio waliwekeza...Arusha imepakana na Serengeti, Dar ni jiji la kibiashara, Zanzibar ni hub ya watalii pia
 
Na sisi wakazi wa Mkoa wa Pwani tunasikitika ni kwanini wapeleke Dodoma na Arusha badala ya Pwani hasa Kibaha, Chalinze au Bagamoyo
 
Nimekuambia hizo hoteli za kitalii Arusha hazikujengwa na serikali bali wananchi ndio waliwekeza...Arusha imepakana na Serengeti, Dar ni jiji la kibiashara, Zanzibar ni hub ya watalii pia
Toa ujinga hapa,Lema amepinga wewe ni nani?
 
Toa ujinga hapa,Lema amepinga wewe ni nani?
Lema ni nani nchi hii?
Rais na serikali ipange wewe useme lema kasema 😁
takataka kabisa

Utatanga tanga sana wewe na mada zako za kipumbavu
 
Nimekuambia hizo hoteli za kitalii Arusha hazikujengwa na serikali bali wananchi ndio waliwekeza...Arusha imepakana na Serengeti, Dar ni jiji la kibiashara, Zanzibar ni hub ya watalii pia
Arusha ni karibu na nairobi, kampala na dsm na zanzibar ni strategic place tofauti na mbeya

Mbeya hakuna world-class hotel kama ilivyo arusha
 
Toa ujinga hapa,Lema amepinga wewe ni nani?
Kwani Lema ni nani ambaye akisema kitu hapingwi?
 
Hii tabia ya kubagua Mikoa ya Mbeya na Mwanza kwenye mambo ya Maendeleo naona imeanza kukita mizizi.

Wakati mikoa mingine ikipendelewa sie Mwanza na Mbeya tumekuwa wahanga wa kutengwa na Kubaguliwa kwenye masuala mbalimbali ya kimaendeleo licha ya kuwa tunastahili kwa vigezo na sio kwa kuonewa huruma.

Haiwezekani na haiingii akilini eti kubagua miji hii maarufu kwa wanamichezo na badala yake wakaipendelea miji isiyo na mashabiki wala wanamichezo ya Arusha na Dodoma.

Nasisitiza tunadai haki yetu na sio favour kwa sababu zifuatazo;

Mwanza
  • Mikoa wa pili kuchangia Pato la Taifa GDP baada ya Dar.
  • Jiji la Pili kuwa na population kubwa baada ya Dar.
  • Jiji la 3 Kuchangia Mapato ya Kikodi.
  • Uwepo wa mashabiki wa kutosha na wanamichezo.

Mbeya
  • Mikoa wa 3 kuchangia Pato la Taifa nyuma ya Dar na Mwanza.
  • Jiji la 6 Kwa idadi ya watu Tanzania.
  • Jiji la 2 Kwa Wanamichezo wengi kama timu za NBC&Championship.
  • Pamoja na mtoto Wetu Songwe ni Mkoa wa 4 Kwa mapato ya Kikodi.
View attachment 2766225
Kwa vigezo hivyo pekee tunastahili kupata kitu sio kwa upendeleo bali kwa haki.

Habari za kusema hakuna hoteli au miundombinu ya kisasa na blaa blaa kama hizo zinatokana na Serikali hii ya ccm kuchukua pesa na jasho letu kwenda kujenga Mikoa mingine kama Arusha, Dodoma, Tanga, Dar nk.

Ni aidha Serikali ianze ujenzi wa viwanja vya Kisasa kwenye miji yetu kutufuta machozi na sio lazima kwa ajili ya AFCON bali kutupa heshima yetu kwenye michezo au tumwage mboga 2025.

Hali hii haivumiliki na haikubaliki, ni wakati wa watu wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini kufanya jambo la kujitambua mwaka 2025 endapo wataziba maskio.

Ni bora kumwaga mboga sio kwa sababu tunawakubali Wapinzani bali ni kwa nia ya kukomoana kwamba tukose wote, tumechoka kutengwa na tabia hii ikiendelea ipo siku tutagawana fito.
View attachment 2766050View attachment 2766051View attachment 2766052

Angalizo: Haya ni maoni na mtizamo binafsi, yasichukuliwe kama uchochezi.Nachokonoa mada Kwa maslahi mapana ya Nchi hii na watu wa Mbeya na Mwanza.
Tumeshawajengea Uwanja wa Kimataifa wa Ndege pale Chato.... Hebu utumieni huo kwa tija kwanza ndio tuwaletee wa soccer
 
Nyumbu ni wewe unayeamini kila unachoambiwa na Lema kama vile ni mungu wako

Nadhani hata huyo Lema akikuambia unafaa kuolewa utakubaliana naye kwa Sababu ni Lema kasema
Nyumbu kama nyumba,Lema omkazi wa Arusha wewe nyumbu unajua nini?
 
Back
Top Bottom