petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 803
- 937
Mkoa wa Pwani umemezwa na Mkoa wa dar es salaam Bora wangeufanya kuwa mkoa mmoja tuNa sisi wakazi wa Mkoa wa Pwani tunasikitika ni kwanini wapeleke Dodoma na Arusha badala ya Pwani hasa Kibaha, Chalinze au Bagamoyo
MkuuSeriously mkuu mkoa wa Mwanza una underestimate kiasi hicho 😯.
Hii blunder haina utetezi wowote wenye mashiko.
Malaika, Goldcrest, Wag hill, Pigeon, Ryan's bay, Tilapia kwa uchache hizi sio hoteli!?Mkuu
Mwanza hakuna uwanja wa kukidhi vigezo.
Mwanza hakuna hotel. Naomba utaje hotel zenye hadhi ya kuchukua wachezaji kwa group Zima.
Sasa hizo sini sawa na pallson hotel Yani haziwezi kidhi vigezo vya kimataifaMalaika, Goldcrest, Wag hill, Pigeon, Ryan's bay, Tilapia kwa uchache hizi sio hoteli!?
Halafu mada sio kwamba hakuna uwanja wa kukidhi ni kujenga uwanja.
Wewe umesoma hapo na kuelewa nini?Haha na hapa sindo mtakufa watu wa Mbeya na Mwanza ChoiceVariable Kitombile Mikdad View attachment 2768892
Sisi wa Mwanza ngoja tule mtori labda nyama tutazikuta mwishoni....lakini jombaa hii hawamu ya sita imejua kutukomesha.Haha na hapa sindo mtakufa watu wa Mbeya na Mwanza ChoiceVariable Kitombile Mikdad View attachment 2768892
Njia nne zipo, Dar, dodoma, arusha, Ilemela, mbeya, iringa, singida, moshi n.k lakini jiji la pili kwa ukubwa Tanzania halina kabisa barabara za njia nne, hii hatari sana...hii nchi ngumu sana, sijui tuliikosea nini asee.Wewe umesoma hapo na kuelewa nini?
Labda Mwanza ndio hawana hizo Barabara za njia 4 ila sio Kwa Mbeya.
Iringa hawanaNjia nne zipo, Dar, dodoma, arusha, Ilemela, mbeya, iringa, singida, moshi n.k lakini jiji la pili kwa ukubwa Tanzania halina kabisa barabara za njia nne, hii hatari sana...hii nchi ngumu sana, sijui tuliikosea nini asee.
Ipo mkuu nakuambia labda kama huwa unapita njia tanzam kutokea morogoro, lkn kama unatokea dodoma utaiona highway yao ni kama 3-4 km ipo cbd.Iringa hawana
Mikoa ipi inayokidhi hadhi za kimataifa mkuu?Sasa hizo sini sawa na pallson hotel Yani haziwezi kidhi vigezo vya kimataifa
Washabiki wanakaa wapiMalaika, Goldcrest, Wag hill, Pigeon, Ryan's bay, Tilapia kwa uchache hizi sio hoteli!?
Halafu mada sio kwamba hakuna uwanja wa kukidhi ni kujenga uwanja.
Arusha broMikoa ipi inayokidhi hadhi za kimataifa mkuu?
Dodoma kuna hoteli gani hapo?Umenena mkuu, katika vigezo vya kuzingatiwa ili uwanja uwe umekidhi vigezo vya michezo ya kimataifa ni pamoja na kuwa na hoteli za kutosha za kitalii karibu na uwanja huo, hili ndio limesababisha Arusha kupewa nafasi
Arusha mna hotel gani za maana,taja na mm nikutajie acha kukaririshwaMkuu
Mwanza hakuna uwanja wa kukidhi vigezo.
Mwanza hakuna hotel. Naomba utaje hotel zenye hadhi ya kuchukua wachezaji kwa group Zima.
Hotel za maana hapo Arusha mjini hazifiki hata 10,pia hizo mnasema nyota tano zipo ngapi hapo na hotel nzuri kidogo zipo huko maporini mbugani ngorongoro,,kinachobaki ni bla bla bla tuArusha mna hotel gani za maana,taja na mm nikutajie acha kukaririshwa
Hotelini, apartments na lodge, mkuu michuano ya Afcon usiifikirie kuwa na mashabiki wengi sana pia hata vipato vyao ni vya kawaida.Washabiki wanakaa wapi
Kwani kwenye hili mama haupigi mwingi?Hii tabia ya kubagua Mikoa ya Mbeya na Mwanza kwenye mambo ya Maendeleo naona imeanza kukita mizizi.
Wakati mikoa mingine ikipendelewa sie Mwanza na Mbeya tumekuwa wahanga wa kutengwa na Kubaguliwa kwenye masuala mbalimbali ya kimaendeleo licha ya kuwa tunastahili kwa vigezo na sio kwa kuonewa huruma.
Haiwezekani na haiingii akilini eti kubagua miji hii maarufu kwa wanamichezo na badala yake wakaipendelea miji isiyo na mashabiki wala wanamichezo ya Arusha na Dodoma.
Nasisitiza tunadai haki yetu na sio favour kwa sababu zifuatazo;
Mwanza
- Mikoa wa pili kuchangia Pato la Taifa GDP baada ya Dar.
- Jiji la Pili kuwa na population kubwa baada ya Dar.
- Jiji la 3 Kuchangia Mapato ya Kikodi.
- Uwepo wa mashabiki wa kutosha na wanamichezo.
Mbeya
View attachment 2766225
- Mikoa wa 3 kuchangia Pato la Taifa nyuma ya Dar na Mwanza.
- Jiji la 6 Kwa idadi ya watu Tanzania.
- Jiji la 2 Kwa Wanamichezo wengi kama timu za NBC&Championship.
- Pamoja na mtoto Wetu Songwe ni Mkoa wa 4 Kwa mapato ya Kikodi.
Kwa vigezo hivyo pekee tunastahili kupata kitu sio kwa upendeleo bali kwa haki.
Habari za kusema hakuna hoteli au miundombinu ya kisasa na blaa blaa kama hizo zinatokana na Serikali hii ya ccm kuchukua pesa na jasho letu kwenda kujenga Mikoa mingine kama Arusha, Dodoma, Tanga, Dar nk.
Ni aidha Serikali ianze ujenzi wa viwanja vya Kisasa kwenye miji yetu kutufuta machozi na sio lazima kwa ajili ya AFCON bali kutupa heshima yetu kwenye michezo au tumwage mboga 2025.
Hali hii haivumiliki na haikubaliki, ni wakati wa watu wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini kufanya jambo la kujitambua mwaka 2025 endapo wataziba maskio.
Ni bora kumwaga mboga sio kwa sababu tunawakubali Wapinzani bali ni kwa nia ya kukomoana kwamba tukose wote, tumechoka kutengwa na tabia hii ikiendelea ipo siku tutagawana fito.
View attachment 2766050View attachment 2766051View attachment 2766052
Angalizo: Haya ni maoni na mtizamo binafsi, yasichukuliwe kama uchochezi.Nachokonoa mada Kwa maslahi mapana ya Nchi hii na watu wa Mbeya na Mwanza.
Godbless Lema apinga serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha
Aliekuwa mbunge wa Arusha mjini Mr Lema amepinga wazo la serikali kujenga uwanja wa michezo jijini Arusha kwa ajili ya kutumika kwenye fainali za michuano ya CAF Lema amesisitiza ya kwamba jiji la Arusha linakabiliwa na changamoto ya miundo mbinu, hivyo kujenga uwanja wa michezo hakuna maana...www.jamiiforums.com