Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa

Mange aliwahi kutuaminisha eti Mkulu akipanda ndege anakamatwa na tumbo la kuhara, anaogopa ndege kuliko simba[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sijawahi et niishie kwa Mange then nitoke... Big NO. Mara kadhaa namkumbuka nikiona watu wamemtag then nachungulia kwa juu juu kuona mawili matatu. BTW siamini anachokiamini yeye na siiamini serikali iliyopo pia. I give both of them 50/50

Juzi alipost kuhus wema kurud CCM na akasema she is sure of more [emoji817] Leo yametimia
 
Dr. Luis Shika
 
unajua Mimi nashindwa kuelewa. watu wanamshabikia kwa issue za kijinga. mpaka watu wanasema kuwa ni mkombozi wa wanyonge. kamkomboa nani na wapi lini!!?? watu wamekalia mambo yasiyo ya maana na hatari kwa taifa. watu wanamsifu kwa kuwa anapata taarifa za siri za serikali. kitu ambacho ni hatari hata kwa wanaomshabikia. maana siku ikitokea maadui wa taifa letu wakimuomba taarifa za siri za serikali, una uhakika gani kama hata peleka huko. mimi binafsi namuona ni kituko tu.

angekuwa mwanaharakati wa kweli angekuwa anafanya vitu formal kwa kuanzisha mataasisi kama waAfrika wengine mfano wa kongo Rwanda Burundi Uganda Zimbabwe ambao ni critical kwa serikali zao. mara kadhaa nimewaona kwenye VOA STRAIGHT TALK AFRICA WAKIHOJIWA NA NDG SHAKA SSALI. WAKIELEZEA MAPUNGUFU YA SERIKALI ZAO. lkn huyu kimba nini sijui mnamfahamu nyie tu kwenye Insta.
 
Dada mange plz hide my Id [emoji16][emoji16]
 
siasa ndio maisha ya watu kwamaana inagusa mambo muhimu ya wananchi, kama uchumi, afya, elimu n.k. ukipima kupitia vigezo hivi, basi Mange atakuwa mbele zaidi
 
Vipi umemuamini sasa?
 
Sijawahi kumfatilia na haitatokea jibwa tu kazi kubweka!
 
Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app
Insta ni kama jf, ukitaka upuuzi unaupata ukitaka vya msingi unapata.
Mfano mimi nimefollow page chache tu, fitnessanyhow, simplyshredded, kulbilafitness, eplgoals, boxingupdates, memelif3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…