Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Hivi siku hizi hapo Lumumba kuna aliyebaki ambaye kidogo twaweza kufikiria zipo zipo hata za kuvukia barabara? Maana kama huyu mleta mada zake zaweza kuwa zile hata akiona sufuria jikoni akajisaidia akidhani choo cha kukaa.
Hivi nani kasema watoto waliotangazwa Kibiti hawaonekani wameuwawa? Watu wamejiuliza kutokuonekana kwa watoto kunaweza kuwa ishara kama ile ya Chibok, na wanaweza kuwa wanafundishwa mambo machafu tukaja juta Baadae!
Lakushangaza ni kuwa utoro mashuleni siku hizi unashughulikiwa na IGP?
,
Hivi nani kasema watoto waliotangazwa Kibiti hawaonekani wameuwawa? Watu wamejiuliza kutokuonekana kwa watoto kunaweza kuwa ishara kama ile ya Chibok, na wanaweza kuwa wanafundishwa mambo machafu tukaja juta Baadae!
Lakushangaza ni kuwa utoro mashuleni siku hizi unashughulikiwa na IGP?
,