Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa

Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa

Ukitoa wanasiasa wachache, kwa hivi sasa nchi hii anayekosoa bila kuogopa ni Pascal Mayalla peke yake!!

Pasco anakosoa akitumia jina lake kamili huku pia akipatikana kirahisi kwenye viunga vya Dar es salaam!

Mange anakosoa huku amejifungia kwenye undisclosed location!! Acheni utani nyie watu....

Huyo Da Mange huwa anakosoa au huwa anatukana tu?
 
Ukitoa wanasiasa wachache, kwa hivi sasa nchi hii anayekosoa bila kuogopa ni Pascal Mayalla peke yake!!

Pasco anakosoa akitumia jina lake kamili huku pia akipatikana kirahisi kwenye viunga vya Dar es salaam!

Mange anakosoa huku amejifungia kwenye undisclosed location!! Acheni utani nyie watu....
Point sana kwa maana jamaa pa kukosoa anakosoa kweli na pw kusifu anasifu namkubali sana sio mnafiki kama yule bi dada yeye kila kitu hapana na kutoa matusi
 
Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app
Sasa kama.insta tu unaona ipo girlish, je snapchat je? Hayo ni mapenz ya mtu mkuu. Hata ma celebs wengi wa kiume kina messi, ronaldo,actors kibao wana insta accs??
 
Huyo Da Mange huwa anakosoa au huwa anatukana tu?
Ukweli hakuna cha maana zaidi ya matusi lakini interest yangu ilikuwa kuonesha sio kwamba haogopi kama wanavyojaribu kuaminisha watu bali kwa sababu yupo kwenye safe heaven huku akiombea patokee any phyisical and emotional intimidation against her from possible govt agents ili hatimae a-play political asylum card!!
 
Ukitoa wanasiasa wachache, kwa hivi sasa nchi hii anayekosoa bila kuogopa ni Pascal Mayalla peke yake!!

Pasco anakosoa akitumia jina lake kamili huku pia akipatikana kirahisi kwenye viunga vya Dar es salaam!

Mange anakosoa huku amejifungia kwenye undisclosed location!! Acheni utani nyie watu....
Mange hana uhakka na mambo anayoongea. Wajinga ndo wanampenda. Mm hawez kunicontrol akili yang. Akiongea uongo lazma nmwambie. Block ikanihusu.
 
Ukweli hakuna cha maana zaidi ya matusi lakini interest yangu ilikuwa kuonesha sio kwamba haogopi kama wanavyojaribu kuaminisha watu bali kwa sababu yupo kwenye safe heaven huku akiombea patokee any phyisical and emotional intimidation against her from possible govt agents ili hatimae a-play political asylum card!!

Yeah, I think you are very right on that one.
 
Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app

Duh, zama zimebadilika sana ni bora kujua jinsi ya kuendana na zama..zamani kua na simu kama unayotumia (tachi) ilokua ubitoz, ila vile zikawa nyingi imekua normal. Taratibu tu utaelewa kua hakuna girlishy au boyishy apps
 
Point sana kwa maana jamaa pa kukosoa anakosoa kweli na pw kusifu anasifu namkubali sana sio mnafiki kama yule bi dada yeye kila kitu hapana na kutoa matusi
Exactly na ukiamua kumdaka leo leo unamdaka hata kwa kutumia mgambo!!

Lakini unasifia huyu na yule wakosoaji wakati hata ukiwaambia waendeshee harakati zao hapo Kenya wanaogopa!!
 
Ukweli hakuna cha maana zaidi ya matusi lakini interest yangu ilikuwa kuonesha sio kwamba haogopi kama wanavyojaribu kuaminisha watu bali kwa sababu yupo kwenye safe heaven huku akiombea patokee any phyisical and emotional intimidation against her from possible govt agents ili hatimae a-play political asylum card!!
Matusi mazito kwa rais had itv
 
Sina akaunti insta, na huyo falla hatopata subscription yangu hata robo.
 
Mwanaume ambaye ana app ya Instagram sijui huwa namuonaje!It's more girlishly hiyo app
Tatizo lako ni App au platform yenyewe?! Kama ulichokusudia ni platform yenyewe; tatizo lake nini?
 
Page yake imemsaidia askari mmoja "kupandishwa cheo" na atafaidi matunda hayo na familia yake pamoja na anakosali EFATHA
 
Salaaam wanajamvi.

Kwa wale watumiaji wenzangu wa mtandao wa kijamii wa instagram wengi wenu mtakuwa mmemfollow mwanadada machachari anaeweza kuikosoa serikali bila woga:- Mange Kimambi. Imefikia mahali sasa watumiaji wa insta wengi niliongea nao wanasema wakilog in wanaingia kusoma posts za mange kimambi tu kisha wanalog out. Yaani kiufupi page ya huyu mwanadada aishie marekani inatembelewa mara nyingi sana. I presume inaweza ikawa most visited page kutoka audience/followers wa kitanzania.
Mange amekuwa akijikita sana kutetea wananchi, kukosoa serikali, kuwachamba wabaya wake wanaomchokoza, kupigania freedom of speech n.k.

Swali: Je haujawahi kuingia instagram na moja kwa moja ukasearch page ya huyu dada na uliposoma posts zake ukaridhika then ukalog out? Admit it .....
Ukweli mchungu kwa Le Mutuz na Bashite.
 
Back
Top Bottom