Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa

Vipi sasa umeanza kumuamini eenh
 
Mange kaza uzi, myanachama ya "Frastration" inalia huku. Hata wanaharakati dhidi ya ukoloni Afrika walijificha nje ya nchi na mwishowe ushindi ulipatikana. Eh Mungu wa mbinguni angamiza mdudu ccm
aangamizwe na kuteketezwa kwa moto wa petrol na gas kabisa
 
Taarifa kwa uma dada yetu kanyoosha mikono juu...kila mtu apambane hali yake
 
Kwa kweli najisikia aibu kuingia page za mastaa uchwara wa bongo,lakini kwa Mange nilishindwa kujizuia.

Masha pamoja na uanasheria wake anamtumia Mange issue za kupost
Vipi mkuu imesharudi hewani?
 
Huyu binti atarudi ccm sio siku nyingi
 
Yaan mange now kaweka watu roho juu kweli maana ziiiiiiiii kmyaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…