Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa

Umejitahidi kutoa maneno ya kunyongonyesha but all in all insta INA fursa nyingi na almost kila icon,star,super star na matajiri Wapo huko so kama utaitumia vzr sion hyo girlish
 
Tayari Sepenga jana ame "fly back to CCM" Mkuu.
 

Kwa hiyo kwa vile huko yametokea hayo inamaana kama serikali inafanya madudu yasisemwe? Kama wapinzani wanashambuliwa na silaha za kivita Asiseme? Kama nchi inaendeshwa kidikteta asiseme? kama Kuna double standards kwenye maamuzi ya Mkulu Asiseme? kama watu wanakosa uhuru wa kuikosoa serikali Asiseme? Uhuru wa kuandamana kulingana na katiba ukipingwa Asiseme? kisa tu tuogope yasijekutokea kama ya wenzetu, c'mon man. Waliopigania uhuru walitaka wananchi tuwe na uhuru wa kuendesha mambo yetu kwa kufata Katiba ambayo sisi wenyewe tutaitunga na kuifata lakini kama sheria inavunjwa na watu ambao tumewapa mamlaka ya kusimama kwa nini Akae kimya kama anauwezo wa kuongea kwa niaba ya wengi. Muacheni afanye yale yanayomfaa kwa niaba ya nchi yake na wananchi wanyonge, muache atumie uhuru wake wa kujieleza, kuhoji nk kulingana na katiba inavyoruhusu na kulingana na haki za binaadamu.
 
Kama ndivyo basi ni habari njema hizi.
 
One who writes for fools is always sure of a large audience.
 
Kama ndo hii sababu imemtoa atarudi tena maana nakumbuka pia aliwahi kufungiwa akajitetea huko instagram! mh ila bora wamempumzisha tu maana anapilika mno kwake hakuna jema kila mara anakosoa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…