KILLERS KISS GUY
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 718
- 258
katika tafti yangu ndogo nimegundua lugha ya kigeni katika elimu yetu ni mwiba katika maendeleo ya elimu yetu, kwani ili mwanafunzi aelewe kinachofundishwa mwalimu hana budi kunyanganya kiswahili, mfano mpaka mwanfunzi aelewe swali linataka nini lazima alijue kwa kiswahili ndo atajibu