shida yote ya nini? kama ni mpenzi wako na mnapendana na huna mwingine naye hana mwingine, zipo dawa za 72 hours. hapati mimba mpaka mtakapo amua au kuoana. vinginevyo kama hakuna mapenzi bali mnatimiza haja za mwili, condom ndio suluhisho au kuachana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.