Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
- Thread starter
-
- #61
Sure. Ni hivi karibuni tu imeanza kuona nyuzi ambazo waandishi wake wanakosea sarufi. %99 ya wanajf wana ufasaha wa kimaandishi na kimatamshiUkisoma story yenye mtirirko mzuri wa maneno, yakiwa yamepangiliwa vizuri huchoki mkuu.
Ninachoipendea jf pamoja na udhaifu wake, watu wanakuja na txt, xaxa nk then wanasoma mchezo na kubadilika ghafla😀
sisi wa kask. L na R hazituchanganyi. ni madogo tu na wajingawajinga ndio wanazingua baadhi ya matamshi ama kwa usela mavi au shule ndogo.Rombo ,mbusi=mbuzi😁
Na r na l inakera mno unakuta mtu anasema, Nitakulalua.sisi wa kask. L na R hazituchanganyi. ni madogo tu na wajingawajinga ndio wanazingua baadhi ya matamshi ama kwa usela mavi au shule ndogo.
Kuna jamaa yangu fundi, akiniita ubini wangu huwa nacheka sana. Mtu anasema, "naomba niletee sile sote"🤣🤣🤣, bora machame na marangu!!Rombo ,mbusi=mbuzi😁
Tafadhari nipigie!🤣🤣Na r na l inakera mno unakuta mtu anasema, Nitakulalua.
Sio kweli marangu na machame pia wapo hasa wa ukanda karibu na msituni kule mwisho wa makazi.Kuna jamaa yangu fundi, akiniita ubini wangu huwa nacheka sana. Mtu anasema, "naomba niletee sile sote"🤣🤣🤣, bora machame na marangu!!
Wanaongeaje?🤣🤣ila mkuu wachaga mnajua kurap, yaani mnaongea haraka hata kuwasikiliza nachoka!Sio kweli marangu na machame pia wapo hasa wa ukanda karibu na msituni kule mwisho wa makazi.
Lugha ya kibiashara hiyo mkuu😂😂😂Wanaongeaje?🤣🤣ila mkuu wachaga mnajua kurap, yaani mnaongea haraka hata kuwasikiliza nachoka!
Wakurya kila kitu chao lazima waweke r inawezekana wanaitwa wakuya ila wameongeza ka r apo Bantu LadyTafadhari nipigie!🤣🤣
Alivyorekebisha kaibua maana mpya isiyohusiana na uzi.Warekebishe na kuandika ilivyokua awali.Moderators Fang Maxence Melo na wengine, naona kuna Mod karekebisha kichwa cha habari na bado kakosea. Isomeke, Kubananga lugha ya Kiswahili, lawama ziende BAKITA
Sio kama mlivyoweka hapo maana nami nitaonekana walewale
Punguza makasirikomuulize yeye kama anapenda kuroga! nawewe jiulize!
Kabisa. Dah!Alivyorekebisha kaibua maana mpya isiyohusiana na uzi.Warekebishe na kuandika ilivyokua awali.