Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,606
- 1,711
- Thread starter
- #21
Yah,wana ukataji fulani hv,hapa pembeni ya kichwa,upande wa juu wa sikio,kama hatanyoa dizaini hyo kuna vibanio flani vya zambarau huwa wanavifunga staili flani hv,or wengine wana wananyoa kidogo hapa utosini,
chukua hatua,mchunguze girl uliekuwa nae isije kuwa uko na mwanauwe mwenzio kwa mwenzako!
Hao niliokutana nao hawana hivyo, mmoja ana nywele ndefu za kizungu na mwingine ana nyingi za kiafrika - na hivyo vibanio hawana, wanavaa hereni tu za kawaida kama mabinti wengine