Kubeba madeli ya Ice-cream mgongoni ni hatari kwa Afya

Kubeba madeli ya Ice-cream mgongoni ni hatari kwa Afya

Mmmh vinavyo bebwa mbona vingi?

Kadada kembamba kama mange kana kilo 37.2 kanalibeba limbaba likubwa 120kg na maisha yanaendelea.

Nyie watafiti hili mbona hamulise? Au basi sawa maana nitaambiwa nithibitishe, na picha kwa sasa sina...........

Au kakaka kadogo kama mme wa shishi kana mbeba shishi na mko kimya hata hamsemi si anaumia mgongo?

Jamani hili nalo mlitazame.
unamaanisha kunyanduana huwa tunabebana mda wote kuna mikao mingi kama chuma bamia, dogy style au ukamuinamisha level ya ya meza, then ukamshusha level ya kisturi mkichoka hapo unaweza mpeleka mpaka level ya kisado
 
Mgongo ni kiungo muhimu sana kwa afya ya kiumbe akiwemo binadamu kilichotengenezwa kwa pingili za mifupa yenye tundu katikati zilizounganishwa kwa misuli maalumu inayonesa iitwayo ligament.

Mgongo una kazi muhimu sana kama vile kushikilia viungo vingine kama manya, mbavu, fuvu la kichwa, mafigo. mifupa ya uti wa mgongo hulinda uti wa mgongo, maji (CSF) ya uti wa mgongo, na kupitisha mishipa ya fahamu (nerves) kwenda kwenye viungo vingine vya mwili. Uti wa mgongo unaunganika na ubongo moja kwa moja na waji ya uti wa mgongo yanazunguuka kutoka kwenye uti wa mgongo hadi kwenye ubongo kichwani. Uti wa mgongo unaupatia mwili balance wakati wa kutembea, kuinama na kubeba mizigo.

Uti wa mgongo hua unaathiriwa sana na kubeba mizigo mizito zaidi ya 20Kg, kuinama kila wakati, ajali na magonjwa kama ya kifua kikuu (TB ya mifupa), homa ya uti wa mgongo na magongwa ya fungus na virusi.

Lakini, mizigo ndiyo inayoongoza kwa shida za migongo. Kuna vijana wengi wanazunguunga na mizigo mikubwa ya biashara mitaani kutwa nzima hasa biashara za maji ya chupa, na matunda vichwani; na madeli ya ice-cream migongoni mwao. Nimefanya kautafiti kadogo ka watu hawa, nikagundua kuwa wengi wao wanaugua shida za migongo. Kati ya watu hawa wenye shida ya migongo wengi wao ni wale wanaobeba mabegi ya ice-cream migongoni na kifuani.

Elimu itolewe kuhusu aina hii hatari ya biashara kwa vijana wetu ambao bado wana kesho nyingi sana. Na ikiwezekana wawe na bima na wasibebe mizingo inayozidi 5Kg mgongoni.
Mgongo ni kiungo muhimu sana kwa afya ya kiumbe akiwemo binadamu kilichotengenezwa kwa pingili za mifupa yenye tundu katikati zilizounganishwa kwa misuli maalumu inayonesa iitwayo ligament.

Mgongo una kazi muhimu sana kama vile kushikilia viungo vingine kama manya, mbavu, fuvu la kichwa, mafigo. mifupa ya uti wa mgongo hulinda uti wa mgongo, maji (CSF) ya uti wa mgongo, na kupitisha mishipa ya fahamu (nerves) kwenda kwenye viungo vingine vya mwili. Uti wa mgongo unaunganika na ubongo moja kwa moja na waji ya uti wa mgongo yanazunguuka kutoka kwenye uti wa mgongo hadi kwenye ubongo kichwani. Uti wa mgongo unaupatia mwili balance wakati wa kutembea, kuinama na kubeba mizigo.

Uti wa mgongo hua unaathiriwa sana na kubeba mizigo mizito zaidi ya 20Kg, kuinama kila wakati, ajali na magonjwa kama ya kifua kikuu (TB ya mifupa), homa ya uti wa mgongo na magongwa ya fungus na virusi.

Lakini, mizigo ndiyo inayoongoza kwa shida za migongo. Kuna vijana wengi wanazunguunga na mizigo mikubwa ya biashara mitaani kutwa nzima hasa biashara za maji ya chupa, na matunda vichwani; na madeli ya ice-cream migongoni mwao. Nimefanya kautafiti kadogo ka watu hawa, nikagundua kuwa wengi wao wanaugua shida za migongo. Kati ya watu hawa wenye shida ya migongo wengi wao ni wale wanaobeba mabegi ya ice-cream migongoni na kifuani.

Elimu itolewe kuhusu aina hii hatari ya biashara kwa vijana wetu ambao bado wana kesho nyingi sana. Na ikiwezekana wawe na bima na wasibebe mizingo inayozidi 5Kg mgongoni.
Tahadhari hii inawahusu sana watoto wadogo ambao ni wanafunzi, watoto hawa hubeba mabegi yenye makauntabuku yanayofikia uzito wa kilo kumi kila siku!
 
Kazi gani ambayo haina changamoto?

Nina jirani hajawahi beba mzigo mgongoni, hajui hata unavyobebwa, ni programmer, ana shida ya mgongo na ameambiwa ni kutokana na kazi yake anakaa kitako sana.
Ni idadi ndogo hiyo, nao wanahitaji elimu kuepuka hilo. Occupational education.
 
Salaam zimfikie SSB anatuumizia vijana wetu Kila Kona ya jiji hili hasa DSM wamejaa na madeli ya ice cream mgongoni.
Hali hii ni kubwa hata kwa watoto wa shule wanaobeba mabegi mazito ya vitabu na madaftari kwenda na kurudi shuleni.
 
Mmmh vinavyo bebwa mbona vingi?

Kadada kembamba kama mange kana kilo 37.2 kanalibeba limbaba likubwa 120kg na maisha yanaendelea.

Nyie watafiti hili mbona hamulise? Au basi sawa maana nitaambiwa nithibitishe, na picha kwa sasa sina...........

Au kakaka kadogo kama mme wa shishi kana mbeba shishi na mko kimya hata hamsemi si anaumia mgongo?

Jamani hili nalo mlitazame.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani wanawabeba mgongoni?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani wanawabeba mgongoni?
Vyovyoye utakavyolibeba mgongo utahusika. Mgongo utaathirika kupata ama kibyongo ama pingili za mgongo kushuka/kupandana (disc prolapse) na kuharibu mishipa ya neva kunakoweza kusababisha maumivu makali au ganzi ya miguuni, mikono, kibovu Cha mgojo au njia ya haja kubwa kutegemea ni pingili ipi ya mgongo imeathilika.
 
Salaam zimfikie SSB anatuumizia vijana wetu Kila Kona ya jiji hili hasa DSM wamejaa na madeli ya ice cream mgongoni.
Hii kampuni na nyingine zinazowapa vijana bidhaa zao kuzitembeza mitaani lazima zionywe kuhusu afya za vijana na zihusike na matibabu ya vijana hawa. Pamoja na kupata shida za kubeba vitu vizito kwa muda mwingi, pia Kuna wanaoathiliwa vifua na baridi ya barafu za kupoza vinywaji na ice-creams.
 
Ukimaliza kutoa ushauri wa kitabibu malizia kwa kutuambia tukale wapi
Sijakwambia uache, Nia yangu hapa ni kukuelimisha kuhusu aina hii ya utafutaji wa riziki ili usije kusema sikujua, ningejua au ukamtafuta mchawi.
 
Sijakwambia uache, Nia yangu hapa ni kukuelimisha kuhusu aina hii ya utafutaji wa riziki ili usije kusema sikujua, ningejua au ukamtafuta mchawi.
Mmmh vinavyo bebwa mbona vingi?

Kadada kembamba kama mange kana kilo 37.2 kanalibeba limbaba likubwa 120kg na maisha yanaendelea.

Nyie watafiti hili mbona hamulise? Au basi sawa maana nitaambiwa nithibitishe, na picha kwa sasa sina...........

Au kakaka kadogo kama mme wa shishi kana mbeba shishi na mko kimya hata hamsemi si anaumia mgongo?

Jamani hili nalo mlitazame.
Hujui basi, watu hawabebani wakati wa tendo, kama unafanya hivyo uache mara moja, waulize wengine wanafanyaje.
 
Na watoto wa shule za msingi wanaobeba mizigo ya madaftari migongoni je, hakuna athari.
Mzazi kagua begi la mwanao asibebe vitabu na madaftari yote. Mtoto awe na ratiba ya masomo ya wiki nzima ili abebe Yale madaftari ya siku Ile TU.
 
Hakuna lolote,Mimi mwaka wa 20 huu nafanya mazoezi ya squats uzito mpk kg 150, na hakuna shida yoyote
Ubarikiwe, hayo ni mazoezi maalumu kwa watu maalumu. Ila kwa watu wazima wa kawaida uzito 60-70 Kg wanatakiwa kubeba uzito usiozidi 20Kg TU kwa afya ya mgongo. Wale wanaotumia usafiri wa ndege wanafahamu kuwa kama mzingo/begi litazidi uzito wa kilo 20-25 lazima walipe au wapunguze, malipo haya yanakwenda kwa wabeba mzigo/porters wa mabegi/mizigo kama fidia.
 
Kazi gani ambayo haina changamoto?

Nina jirani hajawahi beba mzigo mgongoni, hajui hata unavyobebwa, ni programmer, ana shida ya mgongo na ameambiwa ni kutokana na kazi yake anakaa kitako sana.
We jamaa bana,katika watu ambao wapo kwenye hatari ni pamoja na hao wanaokaa sana maofisini
 
Back
Top Bottom