Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

Kwa comments za mada hii inaonyesha kabisa bado tuna watu wa ajabu sana
Mtatawaliwa sana bila kujua haki zenu
Huduma muhimu katika nchi ni Police, Ambulance, Fire na zote zina umuhimu wake
Sasa mtu ana comment eti ukibebwa na Ambulance inakusaidia nini? Cha ajabu hajui kuwa huduma ya kwanza hutolewa kwenye Ambulance
Kweli kuna watu humu wanajua kuandika ila hawajui Ambulance ni nini, kweli?
Police kuwabeba labda walete sababu ya kuwa Ambulance hazitoshi lakini Ambulance ni muhimu maana hospital ndio kwao na huduma ya kwanza wao ndio wanatoa period

Waongeze Ambulance zaidi au kwenye ajali wawe wanaweka tents kwa huduma za haraka maana wengine huwa ni mshtuko tu na minors
 
Tatizo ni baadhi ya waliojitolea kuokoa hawakuzingatia uwepo wa Ambulance...yaani ujuaji mwingi.
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Utakuwa shoga wewe
Wakibebwa na box body watapona?
Wakibebwa na open body watakufa?
Acha ushoga
 
Sitetei hichi kitendo. Lakini hii inasababishwa na kwamba nchi yetu bado ni changa na yenye watu illiterate na primitive na bado haijapitia magumu ya kutosha kuwa prepared na vitu kama hivi. So it make sense kufanya hivyo.
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Nchi ya kipumbavu sana hii mkuu 😭
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Nchi hi ni ya hovyo sana! Mama anaupiga mwingi sana! Na hamna ambulance hapa nchini Kuna land cruisers zenye mbwembwe na kelele TU!
 
Wewe Jamaa ni mmoja wa Watanzania wenye Ubongo wao kweli Ambulance ina first aid kit na wahudumu ndani wanaoweza kuokoa maisha kuanzia sehemu ya tukio kuwabeba wagonjwa kwa maeneo ya Mjini kabisa pale sio sahihi pale ilitakiwa zijae Ambulance za Hospital zote za Daslm pamoja na za Jeshi,Zimamoto kama wanazo pamoja na Polisi..
Ni vile hatuna kikosi maalumu kwa ajili ya majanga makubwa tupo busy miaka yote na akili za Uchaguzi tu hiki ulichowaza ni vizazi kadhaa mbele watakuja kufanya.
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Mbali na Hilo ivi wameshindwa kuifunga kkoo yote shughuli za uokoaji zikaendelea ?
 
Wewe Jamaa ni mmoja wa Watanzania wenye Ubongo wao kweli Ambulance ina first aid kit na wahudumu ndani wanaoweza kuokoa maisha kuanzia sehemu ya tukio kuwabeba wagonjwa kwa maeneo ya Mjini kabisa pale sio sahihi pale ilitakiwa zijae Ambulance za Hospital zote za Daslm pamoja na za Jeshi,Zimamoto kama wanazo pamoja na Polisi..
Ni vile hatuna kikosi maalumu kwa ajili ya majanga makubwa tupo busy miaka yote na akili za Uchaguzi tu hiki ulichowaza ni vizazi kadhaa mbele watakuja kufanya.
Asante kiongozi kwa kuliona hilo siasa nchi hii inaharibu sana professionalism
 
Sitetei hichi kitendo. Lakini hii inasababishwa na kwamba nchi yetu bado ni changa na yenye watu illiterate na primitive na bado haijapitia magumu ya kutosha kuwa prepared na vitu kama hivi. So it make sense kufanya hivyo.
Miaka 60 ya uhuru umri wa mtu mzima aliyestaafu kazi sema nchi ni masikini lakini sio changa
 
Kwa comments za mada hii inaonyesha kabisa bado tuna watu wa ajabu sana
Mtatawaliwa sana bila kujua haki zenu
Huduma muhimu katika nchi ni Police, Ambulance, Fire na zote zina umuhimu wake
Sasa mtu ana comment eti ukibebwa na Ambulance inakusaidia nini? Cha ajabu hajui kuwa huduma ya kwanza hutolewa kwenye Ambulance
Kweli kuna watu humu wanajua kuandika ila hawajui Ambulance ni nini, kweli?
Police kuwabeba labda walete sababu ya kuwa Ambulance hazitoshi lakini Ambulance ni muhimu maana hospital ndio kwao na huduma ya kwanza wao ndio wanatoa period

Waongeze Ambulance zaidi au kwenye ajali wawe wanaweka tents kwa huduma za haraka maana wengine huwa ni mshtuko tu na minors
Watu wengi ni ziro brain hawaelewi umuhimu wa ambulance kwenye majanga kama haya
 
Utakuwa shoga wewe
Wakibebwa na box body watapona?
Wakibebwa na open body watakufa?
Acha ushoga
Wewe ziro brain kweli hujui hata umuhimu wa Ambulance kubeba majerehi ubongo wako umejaa mifunza ndio maana baadala ya kupinga kwa hoja unakimbilia kutaja mambo ya kipuuzi ya ushoga ambayo huwa unafanyiwa wewe
 
Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance

Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?

Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa

Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana

Comasava
Kikubwa wamewahishwa hospital.
 
Back
Top Bottom