Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillahYour shoes is very fine
No 400 Balthazar brand
I wear and chasing away like
Hussein Bolt...
ππ
Utakuwa shoga weweMajeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance
Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?
Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa
Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana
Comasava
Wakibebwa na ambulance π ndio watapona majelaha bila kufika hospital?
All the best
Europeans ni 5% Neanderthals in their DNA. Muafrika ni full yet inexperienced Homo-sapien. Respect your kind.Mwafrika sio kiumbe aliye timilifu katika ubinadamu wake.
Nchi ya kipumbavu sana hii mkuu πMajeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance
Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?
Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa
Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana
Comasava
Nchi hi ni ya hovyo sana! Mama anaupiga mwingi sana! Na hamna ambulance hapa nchini Kuna land cruisers zenye mbwembwe na kelele TU!Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance
Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?
Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa
Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana
Comasava
AiseehKwani wakikwambia Jehanamu unahisi ni wapi?.
Watanzania tunaishi Jehanamu, hatuishi kwenye nchi inayojali watu wake.
Tupo kwenye nchi ya Mazombi...
Mbali na Hilo ivi wameshindwa kuifunga kkoo yote shughuli za uokoaji zikaendelea ?Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance
Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?
Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa
Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana
Comasava
Asante kiongozi kwa kuliona hilo siasa nchi hii inaharibu sana professionalismWewe Jamaa ni mmoja wa Watanzania wenye Ubongo wao kweli Ambulance ina first aid kit na wahudumu ndani wanaoweza kuokoa maisha kuanzia sehemu ya tukio kuwabeba wagonjwa kwa maeneo ya Mjini kabisa pale sio sahihi pale ilitakiwa zijae Ambulance za Hospital zote za Daslm pamoja na za Jeshi,Zimamoto kama wanazo pamoja na Polisi..
Ni vile hatuna kikosi maalumu kwa ajili ya majanga makubwa tupo busy miaka yote na akili za Uchaguzi tu hiki ulichowaza ni vizazi kadhaa mbele watakuja kufanya.
π’ πNchi ya kipumbavu sana hii mkuu π
π π€£ πNi kama Gaza!
Miaka 60 ya uhuru umri wa mtu mzima aliyestaafu kazi sema nchi ni masikini lakini sio changaSitetei hichi kitendo. Lakini hii inasababishwa na kwamba nchi yetu bado ni changa na yenye watu illiterate na primitive na bado haijapitia magumu ya kutosha kuwa prepared na vitu kama hivi. So it make sense kufanya hivyo.
Hicho ndio cha kushangaza na kushangaaHizo hela mnazozitumia kununulia magari ya bei juu ya viongozi na magari washawasha mngenunulia ambulance mngepungukiwa na nini?
Watu wengi ni ziro brain hawaelewi umuhimu wa ambulance kwenye majanga kama hayaKwa comments za mada hii inaonyesha kabisa bado tuna watu wa ajabu sana
Mtatawaliwa sana bila kujua haki zenu
Huduma muhimu katika nchi ni Police, Ambulance, Fire na zote zina umuhimu wake
Sasa mtu ana comment eti ukibebwa na Ambulance inakusaidia nini? Cha ajabu hajui kuwa huduma ya kwanza hutolewa kwenye Ambulance
Kweli kuna watu humu wanajua kuandika ila hawajui Ambulance ni nini, kweli?
Police kuwabeba labda walete sababu ya kuwa Ambulance hazitoshi lakini Ambulance ni muhimu maana hospital ndio kwao na huduma ya kwanza wao ndio wanatoa period
Waongeze Ambulance zaidi au kwenye ajali wawe wanaweka tents kwa huduma za haraka maana wengine huwa ni mshtuko tu na minors
Wewe ziro brain kweli hujui hata umuhimu wa Ambulance kubeba majerehi ubongo wako umejaa mifunza ndio maana baadala ya kupinga kwa hoja unakimbilia kutaja mambo ya kipuuzi ya ushoga ambayo huwa unafanyiwa weweUtakuwa shoga wewe
Wakibebwa na box body watapona?
Wakibebwa na open body watakufa?
Acha ushoga
Kikubwa wamewahishwa hospital.Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance
Sasa najiuliza Kariakoo ni karibu kabisa na hospitali ya Amana na Muhimbili na hospitali nyingi tu za binafsi kama Rengency zipo mitaa hiyo kwanini ambulance za hospitali hizo hazikutumika kuja kuchukua majeruhi hao baadala yake wametumia Pickup za polisi na watu binafsi?
Matokeo yake kaja Dkt. Janabi, Mkuu wa Mkoa na Waziri Mkuu na magari ya kifahari aina ya landcruiser V8 ambayo pia hayakutumika kubeba majeruhi hao bali yamepaki yanawasubiri waheshimiwa
Polisi siku zote wanazuia gari za wazi kupakia abiria nyuma kwa sababu za kiusalama pindi ikitokea ajali wataumia sana
Comasava