Kubenea awaonya wanaopiga ramli kuhusu hatima yake CHADEMA, azungumzia Virusi vya Corona


Kube anaondoka chadema ni swala la muda tu na hatogombea ubunge ubungo, anarudi kwao Maswa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wana JF kweli jana hatukuona cha ku comment leo kutoka katika ile press conference ya jana pamoja kujiandaa kote mbunge wetu wa Ubungo? Mbunge kaongelea vitu vingi ikiwemo kuchukua tahadhari juu ya CORONA Virus- Coved -19 na kapendekeza mikakati kibao.
Kama hatuna wivu juu yake basi tunamuwazia mabaya.
 
Hiyo ni dalili kapuuzwa, ni bora angechagua upande na sio kusimamisha shilingi.
 
Alichozungumza kwenye press conference na matarajio ya watu juu ya nini kingezungumzwa vimekinzana that's why hakuna comment
 
Kwanini mnamnyanyasa Kubenea? Hayo Ndio malipo yake kwa wema aliokutendeeni?
leo amekuwa mwema? ulisahau kwamba alimwagiwa sumu na kukatwa mapanga na ccm?
mangula kanyweshwa sumu na nani? tuseme ni mwenyekiti wenu? kwanini?
 
Ukiwa mpinzani tena mpinzani wa Tanzania inatakiwa mda wote unaisema vibaya serikali na vyombo vyake. Wewe kuisifia serikali na spika huu siyo uzalendo kwa kambi yetu ya upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi humu JF hakuna sehemu ya kukata rufaa? Wapeleke wajibu.
 
Nyie ufipa hamna madhara Kwenye siasa endeleeni kula mbege
Waikumbuka hadithi ya mwenye hema na ngamia? Endeleeni kumruhusu ngamia aingize kichwa chake hemani na mwisho atamalizia mkia! Kifuatacho ni mwenye hema kulala nje na ngamia ndani ya hema ndio mtajua kuwa wapinzani Wana madhara au la!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…