Elections 2010 Kubenea kugombea ubunge kwa ticket ya CCM - Mafia

Elections 2010 Kubenea kugombea ubunge kwa ticket ya CCM - Mafia

Status
Not open for further replies.
Nchi inapitia balaa la ufisadi ni kwasababu viongozi wa nchi wakiongozwa na JK wanashindwa kuchukua maamuzi ya busara. Inakuwaje hujawahi kuandika kitu chochote kibaya kuhusu JK?

Hivi ni lazima aandike habari mbaya zinazo mhusu Rais ndo ufurahi au?
 
Mimi naambiwa Kubenea hana mpango huo lakini ya wengi wacha tungoje tuone .
 
Engineer n Waberoya...Ur too much negative on Kubenea.Hivi mnataka kusema kuwa hilo mwanahalisi analiandika mwenyewe mwanzo mwisho?Give him a break!Ni waandishi wangapi wanaoandika kupitia mwanahalisi na 'wanailima' serikali hii ya JK na sometimes JK mwenyewe?Au ni mpaka aandike Kubenea mwenyewe??Hivi kitendo cha kubenea kumiliki gazeti ambalo hata akina Mwanakijiji wanalitumia kufikisha ujumbe kwa watz hamuoni kuwa ni kitu chema.Hivi huwa mnasoma uhuru+mzalendo??Yatazame ksha utajua namaansha nini.
 
Engineer n Waberoya...Ur too much negative on Kubenea.Hivi mnataka kusema kuwa hilo mwanahalisi analiandika mwenyewe mwanzo mwisho?Give him a break!Ni waandishi wangapi wanaoandika kupitia mwanahalisi na 'wanailima' serikali hii ya JK na sometimes JK mwenyewe?Au ni mpaka aandike Kubenea mwenyewe??Hivi kitendo cha kubenea kumiliki gazeti ambalo hata akina Mwanakijiji wanalitumia kufikisha ujumbe kwa watz hamuoni kuwa ni kitu chema.Hivi huwa mnasoma uhuru+mzalendo??Yatazame ksha utajua namaansha nini.

Onyesha gazeti toleo gani aliloandika negative kuhusu JK?

Tunakusaidia wewe usipofunguka macho hatutaweza tena kukusaidia! au ndio wewe ni wale wanaodhani vita ya ufisadi imepamba moto, while nothing has been done to date

Kama mpigananaji na wengine woote walikuwa wambane JK, ama sivyo ni kucheza makida makida! upo hapo? 911 ukipokea simu ya hatari unafuata source na sio kuzunguka!
 
Waberoya,niliuliza kuwa habari iliyo negative kuhusu JK ni lazima iandikwe na mwenye gazeti??What if waandishi wengine wakaandika uozo wa serikali kupitia mwanahalisi?Au unataka kutenganisha serikali ya awamu ya 4 na JK.Its just the same coin.
 
Onyesha gazeti toleo gani aliloandika negative kuhusu JK?

Tunakusaidia wewe usipofunguka macho hatutaweza tena kukusaidia! au ndio wewe ni wale wanaodhani vita ya ufisadi imepamba moto, while nothing has been done to date

Kama mpigananaji na wengine woote walikuwa wambane JK, ama sivyo ni kucheza makida makida! upo hapo? 911 ukipokea simu ya hatari unafuata source na sio kuzunguka!

Engineer, Waberoya,

Naomba ufuatilie MWANAHALI kipindi kile ambacho JK alienda DODOMA kuhutubia wabunge ndani ya Bunge, soma Mwanahalisi iliandika Kitu gani kuhusu EPA na JK kipindi hicho, utapata jibu. Kwani alimchambua JK kama karanga.

Kubenea ni mwandishi makini, pia amewajibu yote mliyo uliza sasa mnataka kumvua nguo abaki uchi??

JF humu siyo udaku!!
 
Mainjinia huwa hatutofautiani uwezo wa kufikiri na ku-analyse mambo!

Amejibu mengine, kuwa uhusiano wake na hao jamaa akiwemo JK, hajajibu!!

Kufikiria kunaweza kuwa positively au negatively. Ulitaka ajibu hilo la wanawake zake kwani ameulizwa? tukianza kufuatilia waandishi mafuska ni wangapi watatoka katika tundu hilo?
 
Bodi ya wakurugenzi wa mwanahalisi ina vigogo wa chadema kadhaa, hii haina maana gazeti ni la chadema. Chadema kama chama hawana mamlaka yeyote kwenye hilo gazeti.

Nijuavyo mimi Kubenea amepania kugombea Rufiji kupitia chadema.


Tupe majina ya hao vigogo kama unawajua,
 
Huyo dada ni machachari sana huko mafia anaitwa Hafsa yeye ana masters, kwa hiyo ni msomi mkubwa kuliko wote waliojitokeza huko, nasikia ameweza kushawishi wafadhili na wamekarabati hospitali ya wilaya ya mafia na juzi ndio ilikabidhiwa rasmi na pia amewezesha wafadhili hao kutoa gari kwa hospitali ya wilaya. Hongera dada Hafsa tunakutakia kila la heri, Mungu atakusaidia.
 
Naona siasa za maji taka zimeshamiri kwenye hii thread!!

I'm out!!!
 
onyesha gazeti toleo gani aliloandika negative kuhusu jk?

Tunakusaidia wewe usipofunguka macho hatutaweza tena kukusaidia! Au ndio wewe ni wale wanaodhani vita ya ufisadi imepamba moto, while nothing has been done to date

kama mpigananaji na wengine woote walikuwa wambane jk, ama sivyo ni kucheza makida makida! Upo hapo? 911 ukipokea simu ya hatari unafuata source na sio kuzunguka!

ukitaka kujua kuwa mada hii imeletwa jf na wanaompinga kikwete tazama jinsi kubenea anavyoshinikizwa kumsema vibaya kikwete!!!!! Mawazo haya ni ya kale na ni ya wale walioathirika na maamuzi ya rais na sasa wanataka kutumia jf kulipiza kisasi. Ni wapi na kwa vipi unataka kumshurutisha mwandishi wa habari kutumia kalamu yake kuandika makala ya gazeti kwa matakwa yako?

Kubenea andika makala kwa jinsi unavyoona inafaa na siyo kumwandika mtu kwa shinikizo la watu au kufurahisha genge kama huna la kuandika kuhusu kikwete basi na iwe hivyo.
 
Kubenea you are always our hero. Usitishiwe nyau hata kidogo. Wanakuogopa hao wanajua umepanda chati. Waende kwenye sales point za magazeti waone jinsi gani Mwanahalisi linapiganiwa kama wali wa pono!!!!! Anataka akuharibie huyo. Ni kibaraka wa mafisadi wamemtuma na tumeshawashtukia. Do not worry man, we are behind and infront of you, no one will harm you na vijembe. Keep it up Said Kubenea.
 
Hizi shutuma na tuhuma Kubenea aambiwe aje aseme hapa si ana uwezo wa kuutumia mtandao huu? karibu Kubenea

kubenea ameshajibu hapo juu kuwa hana mpango na kugombea ubunge wala hana mpango...huyu kubenea ni mtu safi sana..anaifaa jamii yetu hii..na ninahakika si miongoni mwa mafisadi..wanaotaka kumchafua ni wanasaidia mafisadi na ni wazi watakuwa wametumwa.tuwalinde wanaoupinga mafisadi.sio kutafuta njia ya kuwachafua.
 
Ushauri wangu kwa Kubenea: Kama ni kweli unataka kugombea ubunge, iwe kupitia Chama cha Mafisadi au Upinzani, acha! Wewe ni mpiganaji mzuri kwa nafasi uliyopo sasa MWANAHALISI. Endeleza mapambano kupitia MWANAHALISI, ukiungana na wapiganaji wengine (wa vyombo vya habari). Ukiondoka utaacha pengo kubwa kwenye medani ya habari. Tutalazimika kuendelea kusoma magazeti ya mafisadi tu kama Mtanzania.

I have of late been wondering as to what has befallen MWANAHALISI newspaper!! It no longer has the stingy punches it used to have prior to its suspension!! Hopefully, Kubenea is not a victim of the FISADI funds that have absolutely confused poor Zitto!! All in all UMASKINI wa kipato ni kitu kibaya sana.
 
Kubenea,

Mbona mambo yako binafsi ya kumwagiwa tindikali ukataka kuyafanya mambo ya siasa? Ukaishia kuunguza mamilioni ya sisi maskini kwenda kukutibu India?

Mimi nasoma articles zako lakini nyingi ni kama za kupikwa. Unatumia ukweli mdogo na mambo mengine yote kupika.

Afadhali na wewe JF wameamua kukulima ili ujue dhambi ya kuandika habari za kupika ili kuchafua watu wengine.

Mbona hutaji uhusiano wako na Mengi?

Unaweza kutuambia jina lako lilifikaje kwenye report ya Richmond?

Nchi inapitia balaa la ufisadi ni kwasababu viongozi wa nchi wakiongozwa na JK wanashindwa kuchukua maamuzi ya busara. Inakuwaje hujawahi kuandika kitu chochote kibaya kuhusu JK?

Unawakwepa marafiki zako wa CCM hapa kwenye andiko lako wakati huko chini chini tunajua ndio unashinda nao?

Mwandishi yeyote anayetumiwa na wanasiasa kuandika habari za uwongo hawezi kuwa mpiganaji. Ukitaka kuwa mpiganaji lazima uwe na mawazo huru.
Hapa nadhani ni suala la tafsiri tu! au nashindwa kuelewa maana ya kuandikwa vibaya lakini kwa maana kukosoa, nionavyo mimi kama kuna kiongozi anaongoza kwa kuandikwa vibaya na magazeti yote likiwemo MwanaHalisi ni JK. Unapoilalamikia Serikali au Chama kwa namna yoyote iwayo JK hana sababu ya kuwepa.Tungeweza kupitia nukuu nyingi sana katika gazeti la mwanahalisi ambazo pamoja na JK kutajwa au kutotajwa moja kwa moja lakini hawezi kukwepa kuhusika na ujumbe husika. Lakini ikiwa kuandikwa vibaya kwa maana ya kutukanwa nadhani siyo kazi ya gazeti lolote makini. Unakumbuka ile picha ya list of shame mzee?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom