- Saafi sana na Bravo Mkulu, angalau hii sasa inapunguza unwanted attention na kuanza ku-deal na the real things uso kwa uso, na again ninashukuru sana kwamba umechukua time kuweka sawa ishus nyingi zinapotakiwa. Na nyongeza kidogo tu ni kwamba ukiwa bongo, kuna mtu hapa alileta habari nyingi ambazo hazikuwa na ukweli kama nilivyokuwa nikiwasiliana na wewe kila siku ya Mungu na mimi na Wakulu Invisible, Steve D, na Sikonge tukajitahidi sana kujaribu kuziweka habari zinapotakiwa, mpaka ulipopata nafasi ya kurudi tukakuachia mwenyewe.
- Katika hii article nimeshitushwa sana na habari ya Mwakipesile kugombea, na pia habari nyingi ndani yake ambazo siamini kwamba zina ukweli ndani yake, unless Ndugu yangu Kubenea aje hapa aweke sawa, otherwise inaweza kumshushia sana heshima na taifa na hasa hapa JF, ambapo ni muhimu zaidi kwake na shughuli zake za uandishi. Kwa hiyo kwa mara nyingine tena ninamuomba Kubenea aje aweke sawa ukweli wa habari katika article yake!
- Kuhusu huu uchaguzi wa Kyela, kwakweli inatia moyo sana kuona wagombea makini mkijitokeza tena bila uoga, niliwahi kuambiwa kwamba kuna wengine wengi watajitokeza karibuni, I mean wakati tunaendelea kusubiri, bado tunazidi kuchambua facts ili kufikia mahali pa kuamua nani anafaa over wengine, ingawa sio siri kwamba huu utakuwa uchaguzi wa the ages!
Again Mkulu Mwakalinga, thanks for coming as you are believe imepunguza makelele mengi sana yasiyo na umuhimu, aliyekupa huu ushauri ni lazima umshikilie sana maana anajua vitu vingi sana huyo! Tanzania tuna lack sana mapolitical strategists kama huyo uliyenaye!
Respect.
FMEs!