Kubenea na siasa za Kyela

Kubenea na siasa za Kyela

Status
Not open for further replies.
mkuu unajichanganya umesema hapo juu kuwa huna uwezo wa kupata Laptop halafu leo umetuma ujumbe mwingine ukisema unao uwezo wa kupata hizo Laptop lakini sio priority kwako.

kingine unaposema wewe huwa hutoa ahadi jee hutakuwa na Manifesto kwenye kampeni zako?

Sijawahi kuona siasa ambazo hazina AHADI iwe America,ulaya au Africa. Kama ajira OBAMA aliahidi kuzalisha ajira,na JK naye aliahidi hivyo hivyo. Ameanza kwa kufungua chuo kikuu cha DODOMA na miradi mingine. Mtu hupimwa kwa ahadi zake. Huwezi kufanya siasa za kufikirika.

Gordon Brown na David Cameroun wanatoa ahadi kila siku ambazo zingine hazitekelezeki ingawa wako ulaya ndio siasa. Kwa mtindo wako huo sidhani kama ubunge ni mahala pako lazima ubadilike.

Niambie mbunge gani mkweli kuanzia vyama vya upinzani hadi tawala? Wewe utakuwa malaika? Mfano utaenda kwa waziri wa miundombinu atakwambia kuwa barabara ya kyela itajengwa kwenye bajeti ya 2010/2011 wewe kama mbunge ukitoka hapo utaenda kuwaeleza wananchi wako kuwa barabara hiyo itajengwa muda ujao. Halafu wizara ghafla inabadilisha ratiba hiyo, hayo yanatokea sana.
Kanda2,

Naona unaenda mbali mno. Kusema nitatoa laptop kila shule na kusema hata mimi nina uwezo wa kupata laptop 40 lakini sio priority yangu kwasasa ni vitu viwili tofauti.

Kila mtu ana uwezo wa kwenda kula Kilimanjaro hotel akitaka lakini kwa walio wengi itakuwa kwa cost ya mambo mengine chungu nzima na ndio maana mtu anasema sina uwezo wa kufanya jambo fulani. Maisha ni priorities.

Manifesto yangu haijawa tayari na itakapokuwa tayari wana Kyela wataelezwa. Ila tu sina mpango wa kutoa ahadi ambazo najua kabisa siwezi kuzitimiza.

Muhimu ni kwamba watu wengi hapa JF waliamini mimi ndiye nimesema nitapeleka laptops kila shule wakati kumbe yalikuwa maneno yako. Huoni kwa kuingiza kitu kama hicho ulikuwa hunisaidii?
 
Mhh...wewe ni Mwakalinga? Si ungesema mimi badala ya Mwakalinga? anyways, i might be wrong though...ila i wonder...!
Chesty,

Ni uandishi tu na kama ni msomaji wa novel au mwangaliaji wa cinema utaelewa kwamba unaweza kutumia I na he/she kujielezea mwenyewe. Mtanzania anamwakilisha Mwakalinga na wakati huo huo ni tofauti. Mmoja anaishi kwenye cyber world na mwingine kwenye real life.

Baadaye mtataka na jina la kule Facebook, unaweza kukuta huko ni kitu kingine kabisa kwi kwi kwi!!!
 
-
- Sasa ni vyema Kubenea akaja kutolea maelezo hizi habari zenye wekundu, in the meantime bado tunaendelea na juhudi za kumtafuta, maana alisema mwenyewe kwamba Mwanahalisi ni upanga kwa upanga, je ni theory for the truth au majungu?

Respect.

FMEs!

FMES,

Vipi Kubenea imeshindikana kupatikana? Au ndio Xmas kimekolea?

Kwa vyovyote kuna watu ana wasiliana nao, awe muungwana tu aje hapa na kusema nilikosea na tusonge mbele.

Kukaa kimya kunaleta taswira mbaya kwa wapenzi wake ambao mwanzoni tulikuwa tunaamini anatetea ukweli. Ukweli ni ukweli tu hata ukiwa mbaya inabidi uumeze tu kama vile tunavyokunywa Mwarobaini.
 
Bwa ha ha ha,

Mwakalinga na wapambe wake wamekosa cha kusema kuhusu Mwakyembe na sasa wameishia kutafuta adui mpya.
.
Mwaafrika.
Hakuna aliyekosa la kuongea na wala hatutafuti adui mpya.

Tunachosema hapa,kwann huyo kubenea asijitokeze kujibu shutuma za taarifa za uzushi?.

Wewe mwenyewe unaadika kisehemu kwenye gazeti la Mwanahalisi,kwanini usimshauri mshikaji wako kuachana na ufisadi huu wa kupewa pesa na wana siasa ili awaasafishe na kuwachafua vijana wanaojitokeza kugombea ili kuleta maendeleo jimbon?
 
Bwa ha ha ha,

Mwakalinga na wapambe wake wamekosa cha kusema kuhusu Mwakyembe na sasa wameishia kutafuta adui mpya.

1.Dear Mwafrika.
Habari za USA?.
Hapa mwanza ni salama tu,hofu na mashaka ni juu ya huyu Fisadi Kubenea anayepokea pesa za wala posho mbili na kujaribu kuwasafisha.Yuko wapi sasa mbona hajitokezi?Fisadi kubenea!!

2.Kama sikosei, na wewe ni mdau mzuri wa gazeti la fisadi kubenea na umekuwa ukiandika nakala zako kwa kujiita em em.

3.Nakala zako nyingi umekuwa ukiishambulia sana serikali ya Kikwete hasa kuhusu ufisadi.

4.Ninachoweza kukuambia ni kwamba, ata wewe ni fisadi.Ndoa yako na Kubenea ni ya kifisadi.Unaandika uzushi kwenye nakala zako na huku ukijiita em em.

5. Mungu akuzidishie mikosi.
 
.
Mwaafrika.
Hakuna aliyekosa la kuongea na wala hatutafuti adui mpya.

Tunachosema hapa,kwann huyo kubenea asijitokeze kujibu shutuma za taarifa za uzushi?.

Ajitokeze kwa ajili ya shouting match na Mwakalinga? Yaani maneno ya mwanachama wa JF anayedai kuwa yeye ndiye Mwakalinga ndiyo yafanye Kubenea aje hapa kujibu.

Huyu ni the same member aliyekataa hapa kata kata kuwa yeye siye Mwakalinga (na hata habari za kugombea ubunge alizipinga hapa kiaina). Credibility ya Mwakalinga iko chini sana kiasi cha kuhitaji Kubenea aje kujibu.

Kubenea alipozushiwa na Zitto Kabwe hapa jamvini, alikuja haraka sana na kuweka record clear. Hii ya Mwakalinga haijafikia level hiyo (kwa mtazamo wangu binafsi).

Wewe mwenyewe unaadika kisehemu kwenye gazeti la Mwanahalisi,kwanini usimshauri mshikaji wako kuachana na ufisadi huu wa kupewa pesa na wana siasa ili awaasafishe na kuwachafua vijana wanaojitokeza kugombea ili kuleta maendeleo jimbon?

Kwa sababu umeanza bange (au bangi), sasa ngoja ziendelee hapa chini.

Magoli anaendelea

magoli said:
kwanza inabidi urudishe pesa zote ulizozipata mwanahalisi mwaka huu. Jitu limejaa chuki kwa vijana wote wa Tanzania kuanzia Kingunge (miaka 300) hadi Mwakalinga (miaka 44) hata halina aibu.

hiloo limwafrika la mwanahalisi hiloooooo

wivu tu umekujaa, kama umeshindwa kusoma porraaandi, basi tuachie sisi wasomi wa porrrrraaandi tuje kuendeleza nchi

un
 
Mtanzania/Mwakalinga

Asante mkuu kwa maelezo yako ijapokuwa Kubenea aligusa gusa ila kumbe kuna ka ukweli tatizo nilionalo Kubenea ametia chumvi.

Nina kaswali naomba nikuulize, KWA NINI HUKUMUONA/MUULIZA DR. MWAKEYEMBE KAMA ANAGOMBEA AU LA? Asante sana na heshima mbele

Mimi ninachopata tabu ni aina ya watanzania wa leo tulivyo. We dont deal with facts. Huyu akisema hivi umma unakubali....akitokea mwingine akisema vile umma nao una hama unamwamini aliyepinga. Sasa tumemlaumu Kubenea na gazeti lake, sina tatizo na waliomlaumu lakini nawaomba niwaulize...mmethibitisha wapi kuwa aliyoyasema huyo anayejiita Mwakalinga/ Mwafrika kama ni kweli? Au mmepumbazika na vi evidence na vitarehe alivyovitaja hapo na jinsi alivyo mahiri kupiga "siasa" zake?

Lets deal with facts guys. Mi nawaona wote Kubenea na huyo Mwakalinga wote wamepotoka. Kwenye stori ya Kubenea kumeongezwa chumvi na kwenye stori ya huyu Mwakalinga kumeongezwa chumvi pia ila kuna UKWELI flan kwenye stori ya Kubenea. Na kiukweli ni kuwa ubunge wa Mwakyembe uko shakani sababu watu wengi wanautaka.....Mwakalinga anautaka (mtetezi wake humu JF amethibitisha) Mwakipesile nae anautaka....Na wengine waliotajwa wanautaka sasa ki ukweli ubunge wake upo shakani. Ni sawa na Ubungo, huwezi kusema ubunge wa Keenja haupo shakani kwakuwa kila mtu anapataka ubungo. Nape, Mwangunga,Mnyika na wengine.

Msimchafue Kubenea.
 
Mimi ninachopata tabu ni aina ya watanzania wa leo tulivyo. We dont deal with facts. Huyu akisema hivi umma unakubali....akitokea mwingine akisema vile umma nao una hama unamwamini aliyepinga. Sasa tumemlaumu Kubenea na gazeti lake, sina tatizo na waliomlaumu lakini nawaomba niwaulize...mmethibitisha wapi kuwa aliyoyasema huyo anayejiita Mwakalinga/ Mwafrika kama ni kweli? Au mmepumbazika na vi evidence na vitarehe alivyovitaja hapo na jinsi alivyo mahiri kupiga "siasa" zake?

Lets deal with facts guys. Mi nawaona wote Kubenea na huyo Mwakalinga wote wamepotoka. Kwenye stori ya Kubenea kumeongezwa chumvi na kwenye stori ya huyu Mwakalinga kumeongezwa chumvi pia ila kuna UKWELI flan kwenye stori ya Kubenea. Na kiukweli ni kuwa ubunge wa Mwakyembe uko shakani sababu watu wengi wanautaka.....Mwakalinga anautaka (mtetezi wake humu JF amethibitisha) Mwakipesile nae anautaka....Na wengine waliotajwa wanautaka sasa ki ukweli ubunge wake upo shakani. Ni sawa na Ubungo, huwezi kusema ubunge wa Keenja haupo shakani kwakuwa kila mtu anapataka ubungo. Nape, Mwangunga,Mnyika na wengine.

Msimchafue Kubenea.
you sound like ZITTO😀
 
Mimi ninachopata tabu ni aina ya watanzania wa leo tulivyo. We dont deal with facts. Huyu akisema hivi umma unakubali....akitokea mwingine akisema vile umma nao una hama unamwamini aliyepinga. Sasa tumemlaumu Kubenea na gazeti lake, sina tatizo na waliomlaumu lakini nawaomba niwaulize...mmethibitisha wapi kuwa aliyoyasema huyo anayejiita Mwakalinga/ Mwafrika kama ni kweli? Au mmepumbazika na vi evidence na vitarehe alivyovitaja hapo na jinsi alivyo mahiri kupiga "siasa" zake?

Lets deal with facts guys. Mi nawaona wote Kubenea na huyo Mwakalinga wote wamepotoka. Kwenye stori ya Kubenea kumeongezwa chumvi na kwenye stori ya huyu Mwakalinga kumeongezwa chumvi pia ila kuna UKWELI flan kwenye stori ya Kubenea. Na kiukweli ni kuwa ubunge wa Mwakyembe uko shakani sababu watu wengi wanautaka.....Mwakalinga anautaka (mtetezi wake humu JF amethibitisha) Mwakipesile nae anautaka....Na wengine waliotajwa wanautaka sasa ki ukweli ubunge wake upo shakani. Ni sawa na Ubungo, huwezi kusema ubunge wa Keenja haupo shakani kwakuwa kila mtu anapataka ubungo. Nape, Mwangunga,Mnyika na wengine.

Msimchafue Kubenea.

Una posts 39 nafikiri you are a new kid in the block. Huyo Mwakalinga (Mtanzania) anajulikana kwenye maisha ya kila siku na wengi tu hapa JF na pia yupo hapa kijiweni tokea kule kilikoanzia Business Times.

Kama alichoandika kingelikuwa uwongo au kutia chumvi ungeona wana JF ambavyo wamengemwumbua. Hapendwi mtu hapa JF bali ukweli.

Kubenea kashindwa kuja kwasababu kagundua makosa makubwa sana kwenye hiyo habari yake. Zaidi ya asilimia ya alichoandika kuhusu Mwakalinga ilikuwa ni uwongo.

Inachotakiwa ni kukubali ukweli na kumwomba msamaha Mwakalinga kwenye toleo lijalo la gazeti lake, akishindwa kufanya hivyo jua kuna watu hapa JF hatapumua hata siku moja. Kila siku watakuwa wanamwambia kajibu tuhuma za kule kwa Mwakalinga.
 
Huyu ni the same member aliyekataa hapa kata kata kuwa yeye siye Mwakalinga (na hata habari za kugombea ubunge alizipinga hapa kiaina). Credibility ya Mwakalinga iko chini sana kiasi cha kuhitaji Kubenea aje kujibu.

Kubenea alipozushiwa na Zitto Kabwe hapa jamvini, alikuja haraka sana na kuweka record clear.

Wewe mbona ulipoambiwa una majina kibao hapa JF ukaruka kama kuku? Toa jina lako sahihi na wana JF watapigwa na shock maana unayoandika kwa jina la mwafrika hayaendani na wewe.

JF hailazimishi mtu kujitambulisha kwa majina yake mpaka anapoamua mwenyewe. Hivyo ndivyo walivyofanya watu wengi wakiwemo mwaklinga na Zitto.

Tena naona Mwakalinga kafanya la maana kwa kulikubali na jina analolitumia siku zote za huko nyuma. Sasa kama kuna unafiki wowote nendeni kautafute na tuleteeni hapa ili tu,lime huyo Mtanzania aka Mwakalinga.

Kubenea unafikiri mjinga, kaingia mitini kwasababu hana utetezi juu ya hili. Kwa lugha ya vijana amelikoroga, mwache alinywe.
 
Richmond imempandisha chati kweli mwakyembe hadi kuigomea PCCB wakati amechangia kisheria kuwepo kwake,haya yangu macho nasubiri 2010
 
haya mtanzania!
Kwanza poleni na barafu
pili anza utetezi wako with immediate effect!
mnapozungumzia ufisadi basi ndiyo huu pia maana mwenye gazeti/mhariri ananunuliwa na matokeo ni hayo.
huyo mzee rc-mbeya mbona alikwisha sema kuwa hana nia ya kugombea? Na kuchukiwa kwa profesa mwandyosa na rais mbona sisi ambao tupo huku tumesikia kwa masikio yetu wakati rais akimsifu mbunge huyu huko jimboni??
kwani mwakyembe ana hati miliki ya jimbo hili?? Kama kweli anakubalika basi simuwaachie wananchi??? Au mnaona wananchi ni mbumbumbu???
acheni umamluki jamani . Hivi lowasa na kina rostam wanahusikaje na jimbo la kyela??? Hadithi ya kuwa kila mbunge ambaye anaogopa ushindani kwenye jimbo kuimba nyimbo ya ufisadi ina boa sana
 
mnapozungumzia ufisadi basi ndiyo huu pia maana mwenye gazeti/mhariri ananunuliwa na matokeo ni hayo.
huyo mzee rc-mbeya mbona alikwisha sema kuwa hana nia ya kugombea? Na kuchukiwa kwa profesa mwandyosa na rais mbona sisi ambao tupo huku tumesikia kwa masikio yetu wakati rais akimsifu mbunge huyu huko jimboni??
kwani mwakyembe ana hati miliki ya jimbo hili?? Kama kweli anakubalika basi simuwaachie wananchi??? Au mnaona wananchi ni mbumbumbu???
acheni umamluki jamani . Hivi lowasa na kina rostam wanahusikaje na jimbo la kyela??? Hadithi ya kuwa kila mbunge ambaye anaogopa ushindani kwenye jimbo kuimba nyimbo ya ufisadi ina boa sana

Si una juwa tena 70 % ya wananchi ni wafuata upepo??
 
Ogah,

Ni rahisi sana ukiwa pembeni kuandika kama ulivyoandika. Lakini kwa mtu ambaye sasa miezi minne anatolewa kwenye magazeti ya nchi kwamba ni fisadi, kibaraka wa mtu, katuma vijana kuchoma mtu kisu, kamwagiwa mapesa na ujinga mwingine ambao hauna hata chembe ndogo ya ukweli. Hata watu ambao hawakujui wanaanza kuamini kwamba wewe ni mwizi. Inafika sehemu unasema enough is enough, siasa za jino kwa jino nazo zinafanywa na binadamu. Fuata sheria na maadili ya kazi yako, hakuna atakayekugusa. Ni maadili gani ya uandishi wa habari hao tunaowajadili hapa wanafuata?

Mkuu nimejifunza, Nipashe waliandika mambo ya hovyo hivyo hivyo. Msamalia mmoja wa JF hapa akaniunganisha na mhariri wao na nikaamua kuwa muungwana. Nikampigia simu kumwambia habari mliyoandika haina ukweli kabisa, chunguzeni. Kesho yake ndio akatoa makubwa zaidi kwamba kuna sms zimekutwa zikionyeshwa pesa zinavyosambazwa kutoka nje kupitia Arusha. Huku akijua ni uongo mkubwa wala hakuna kitu kama hicho. Unataka mtu kama huyo nimwambie nini tena zaidi ya lugha anayostahili? Kuna siku nitamwona uso kwa uso na nimwambie lugha anayostahili.

Nimetumia jina langu ili kila mtu awe una uhakika 100% kwamba alieandika ni Mwakalinga mwenyewe..

Uzuri wote wanaotumia magazeti yao kuchafua watu wengine wanajulikana. Na kila baya mtu analofanya kuna siku utawajibika nalo tu.

Hakuna anayekataza mwandishi kumchunguza mwanasiasa na huko kugundua scandals zilizojificha na kuzianika. Lakini sio sahihi kusema umemkuta Ogah anaiba kuku, huku unajua kabisa hujamwona Ogah popote hata akiiba kitumbua.

Mtanzania,
Si vyema kubishana na mtu anayejua kapotoka. Siasa inahitaji ngozi ngumu (Samwel Sitta). So be careful, there is greater wisdom in silence... ukiona mtu amekosea na una uhakika kaandika uwong ni vyema ukampeleka kwenye vyombo vya sheria, akajifunze kuongea ukweli huko. Kuwendelea kutoa hoja kwa watu wasioelewa ni kujaribu kujipalia makaa. Maana kwenye siasa mtu anaweza aka kuprovoke, na wewe ukaingia mkenge wa kujibizana naye kumbe ana nia ya kukuingiza kwenye majaribu uonekane mjinga kama yeye. At the end of the day you lose. Jifunze kwa Mwinyi, alivyoona watu wanajaribu kumpambanisha na Nyerere kwa kauli, alijibu kifupi " Yeye ni Mlima Kilimanjaro (yaani Nyerere), na mie ni kichuguu (Mwinyi), siwezi shindana naye (Nyerere". And that calmed the nmedia, hakuna aliyeendelea kuandika mpambano ule, na Mwinyi came up a winner! So kwa kuwa ndo umeingia kwenye siasa...be warned of delibarate provokers!
 
Umeshindwa nini kuniuliza mimi Mwakalinga aka Mtanzania kujua ukweli?

Nimeipenda hii! Kumbe ndio wewe na kwa nini uendelee kutumia anonimity?

Mmezunguka kutafuta uchafu wowote na mmeshindwa sasa mnataka kumchafua mtu kwa kumhusisha kwa karibu na watu ambao mnawaona wachafu.

Mh mtarajiwa acha jazba.

Tatizo lenu ni kwamba hamuwezi hata sehemu moja kupata mahali ambapo Mwakalinga yuko karibu au hata anafahamiana na akina Lowassa, RA, Karamang au huyo Patel.

Kanusha uhusiano wako na watajwa badala ya kuegemea kwenye ushahidi ambao it is easier to temper with.

Sasa mnaanza majungu mengine ya kijinga, lakini na yenyewe yataishia patupu maana hamna data na uongo haudumu hata siku moja.

Acha matusi kwani yanaonesha kuwa kumbe na wewe ni wale wale wasiojibu hoja na badala yake wanatukana.

Kumbe ndio maana watu wengine mnamwagiwa tindikali shauri ya kuandika majungu ambayo hayana ukweli hata mdogo. Ni taaluma gani hizo za kutumiwa na wanasiasa kuandika kila wanalotapika?

Je nawe washabikia uhalifu? Na huoni kama utakuwa kikwazo katika vita dhidi ya uhalifu ambao ndio uliyojenga mafisadi?

Shame on You Kubenea and your Newspaper!


My take

Nimepata fursa nzuri ya kumjua huyu bwana. Yaonesha hakuwa amejiandaa kikamilifu katika siasa za nji hii kwani ningekuwa mimi nisingemjibu Kubenea. Nasubiri kuona atakachojibu Mwanahalisi.
 
Una posts 39 nafikiri you are a new kid in the block. Huyo Mwakalinga (Mtanzania) anajulikana kwenye maisha ya kila siku na wengi tu hapa JF na pia yupo hapa kijiweni tokea kule kilikoanzia Business Times.

Kama alichoandika kingelikuwa uwongo au kutia chumvi ungeona wana JF ambavyo wamengemwumbua. Hapendwi mtu hapa JF bali ukweli.

Kubenea kashindwa kuja kwasababu kagundua makosa makubwa sana kwenye hiyo habari yake. Zaidi ya asilimia ya alichoandika kuhusu Mwakalinga ilikuwa ni uwongo.

Inachotakiwa ni kukubali ukweli na kumwomba msamaha Mwakalinga kwenye toleo lijalo la gazeti lake, akishindwa kufanya hivyo jua kuna watu hapa JF hatapumua hata siku moja. Kila siku watakuwa wanamwambia kajibu tuhuma za kule kwa Mwakalinga.


Mkuu utoto wa hapa jamvi si umri wala wingi wa posts.kuna watu hapa jamvi wanaposts nyingi sana lakini ukiziweka kwenye mizani nyingi ni pumba.
Mwache mtu express feelings zake kwani ni haki yake kikatiba na sheria ya nchi yetu hata umoja wa mataifa inatambua uhuru wa mtu kuongea na kutoa mawazo yake.
This is a kind of egolism/selfishness, you need to express our feelings and opinions with caution to implement Diligence and exercises prudence.

Hii ni personal attack to me.
 
Una posts 39 nafikiri you are a new kid in the block. Huyo Mwakalinga (Mtanzania) anajulikana kwenye maisha ya kila siku na wengi tu hapa JF na pia yupo hapa kijiweni tokea kule kilikoanzia Business Times.

Ukisikia kuishiwa hoja ndiko huku. Yaani kwa vile mtu ana post 39 basi hoja zake zipuuzwe? Timu mwakalinga bwana wanazidi kujichefua na kujidhalilisha. Mara wajisifie shule walizosoma, mara wajisifie GPA zao, kisha wajisifia kiwango cha pesa walichonacho, kabla ya kusifia redio yao kule Kyela.

Yaani misifa tupu, watu kama hawa wakipewa kuongoza nchi, hata marehemu mobutu wa congo atakuwa bora mara mia.

Kama alichoandika kingelikuwa uwongo au kutia chumvi ungeona wana JF ambavyo wamengemwumbua. Hapendwi mtu hapa JF bali ukweli.

Kubenea kashindwa kuja kwasababu kagundua makosa makubwa sana kwenye hiyo habari yake. Zaidi ya asilimia ya alichoandika kuhusu Mwakalinga ilikuwa ni uwongo.

Hata mimi ningekuwa Kubenea nisingekuja hapa kubishana na mtu ambaye hana msimamo na hajui anachokifanya. Asubuhi anataka kugombea ubunge, mchana anataka udiwani, usiku anataka kufanya biashara na kina Rostam.

Kuwa na msimamo ndio utaeleweka

Inachotakiwa ni kukubali ukweli na kumwomba msamaha Mwakalinga kwenye toleo lijalo la gazeti lake, akishindwa kufanya hivyo jua kuna watu hapa JF hatapumua hata siku moja. Kila siku watakuwa wanamwambia kajibu tuhuma za kule kwa Mwakalinga.

Hao watu watakuwa kina zaidi ya wafuatao - mkulima, samwel, magoli, mtanzania, na yule mwingine (ambao wote IP add zao zinaonekana kutokea sehemu fulani).
 
mnapozungumzia ufisadi basi ndiyo huu pia maana mwenye gazeti/mhariri ananunuliwa na matokeo ni hayo.
huyo mzee rc-mbeya mbona alikwisha sema kuwa hana nia ya kugombea? Na kuchukiwa kwa profesa mwandyosa na rais mbona sisi ambao tupo huku tumesikia kwa masikio yetu wakati rais akimsifu mbunge huyu huko jimboni??
kwani mwakyembe ana hati miliki ya jimbo hili?? Kama kweli anakubalika basi simuwaachie wananchi??? Au mnaona wananchi ni mbumbumbu???
acheni umamluki jamani . Hivi lowasa na kina rostam wanahusikaje na jimbo la kyela??? Hadithi ya kuwa kila mbunge ambaye anaogopa ushindani kwenye jimbo kuimba nyimbo ya ufisadi ina boa sana

Wanahusika kwa vile wana visasi na Dr Mwakyembe. Na sasa kwa vile kipenzi chao mwakalinga alikuwa anakanusha hapa kuwa hagombei, ikabidi warudi kule walikoanza (kwa rc mwenyewe).

Nadhani kwa vile fisadi mtoto (kijana na mzee wa miaka 44) Mwakalinga amerudi ulingoni, rc haitajiki tena.
 
Mwakalinga. Heshima mbele Mkuu. Nichukue nafasi hii kukupongeza kwa nia yako thabiti ya kuwania Ubunge kupitia Jimbo la Uchaguzi la Kyela. Hii ni haki yako ya KIDEMOKRASIA. Full Stop.

Pamoja na pongezi zangu nina machache sana ya kushauri. Unapoingia kwenye siasa mara nyingi unatoa nafasi kubwa kwa jamii ikutazame mbele, nyuma, kulia na kushoto. Pia unapoingia kwenye siasa unakaribisha maadui wengi sana. Yupo jamaa yangu niliyesoma naye shule AMEAPA hataingia kwenye siasa kwa matukio aliyokuwa akiyafanya nyuma hasa tulipokuwa naye 'O' level.

Jina lako sasa hivi si geni tena kwenye masikio ya watanzania. Humu mitandaoni jina lako sasa linatajwa kila mahali, tofauti na nyuma japokuwa umekuwa ni mshirika mzuri tu kuanzia kule TANZANET, Jambo Forums na baadaye Jamii Forums. Utagundua jina lako limepata umaarufu pale tu ilipotangwazwa unakuja Bongo kwa maandalizi ya uchaguzi. Ninachotaka kukushauri hapa kaka ni vizuri sasa hivi yale yote unayoyaongea ukawa unayafikiria mara mbili mbili. Pamoja na 'uzushi' wote wa Kubenea dhidi yako hukustahili 'kushabikia' ile asidi aliyomwagiwa kaka. Wewe unataka kuingia pale 'mjengoni' ili uwe mtunga sheria. Hizo sheria nani atazilinda kama wewe mtunga sheria mtarajiwa unaona 'kudhalilishwa' kwako na Kubenea hakuhitaji tena sheria ya kumlinda zaidi ya kumwagiwa zile 'pili pili manga'? Inshallah Mungu akikujalia ukaja kwenye Kampeni utawakuta akina 'Kubenea' wengi tu huku. Hivi kuna mtu alichafuliwa jina kama Salimu Ahmed Salim? Angekuwa na 'mzuka' kama wako basi angetupa 'Hiroshima' na si Tindikali maana hao 'wachafuzi' walikuwa wengi mno!

Jambo jingine ndugu yangu ni vema ukawa makini sana na timu yako. Kwa maelezo yako mwenyewe ni wazi kuwa uko karibu sana na Mheshimiwa Mwakipesile. Kwa asilimia nyingi unajua kuwa hatagombea uchaguzi. Unajua kuwa kila Ijumaa anatoka Mbeya na kwenda Kyela na kurudi mwisho wa wiki. Unajua kuwa familia yake ipo Kyela tangu amewachaguliwa kuwa RC wa Mbeya. Ningekuwa mimi wewe ningejaribu sana kujipambanua kama sio kujiweka mbali na Mwakipesile. Nina wasiwasi unaweza kuja 'kuzoa' kura za Mwakipesile badala ya za kwako.

Wengi tunaamini kabisa Mwakipesile ni mwanamtandao. Kuwa karibu naye kutaashiria kabisa kwamba na wewe ni mwanamtandao au mwanamtandao mtarajiwa. Hili ndilo limepelekea wewe kuonekana uliamua kwenda Arusha kumuona EL ambaye kimsingi ndiye anaaminika kuwa kinara wa Mtandao Mafisadi hata kama ulikwenda kwa masuala yako binafsi. Ukaribu wako na Mwakipesile unaonekana kabisa kuwa umeletwa kuja 'kumwangamiza' Dk Mwakyembe. Jitengeneze uonekane kama Mwakalinga na si Mwakipesile. Kwa umri ulionao sio lazima mwakani uingie 'Mjengoni'

Wamejitokeza watu wengi sana humu kukutetea na kumwangamiza Kubenea. Ni vema ukajipambanua nao. Waache waseme wao. Wewe wasikilize. Usijiunge nao. Leo wanaweza wakaonekana ni wazuri kwako na wewe ukawasifia lakini watakuja kukugeuka na kuanza kusema 'mijineno' ambayo itaonekana kama wewe ndiye umewatuma waseme. Wale wote ambao ni jamaa zako waambie kabisa wewe hutaingia Bungeni kwa kumchafua Dk Mwakyembe kama ilivyo yeye hataingia bungeni kwa kukuchafua wewe. Waambie kabisa kazi ya kumuondoa Dk Mwakyembe pale Kyela ni ngumu sana inahitaji mkakati mzito na si 'vijineno' tunavyovisikia humu kwa desturi ya watu wa Kyela ninavyoijua.

Mwisho niwaulize wanajamii wenzangu, mbona hili la Kubenea kuja kujieleza 'limevaliwa njuga' sana wakati humu humu kuna 'wazushi' ambao huwa wanakuja na kuja nayo wakibanwa wanapotea halafu unawakuta kwenye thread nyingine wametulia tuliiiiiiii wanapiga miluzi kama sio wao?

Mwishoni nakukaribisha mwanangu tena uje Kyela ila elewa tu Dk Mwakyembe ni 'jiwe' kweli kweli hakikisha unakuja na 'fataki' maridhawa. Utakuwa umesikia matukio yaliyotokea siku za nyuma kwa watu walioingia kichwa kichwa. Njoo na SERA nzuri watu watakuelewa na usisubiri ile ile ILANI isiyotekelezeka ambayo hutungwa na 'vizee' ambavyo hata masikio yamechoka kusikia na yakisikia yanasikia kinyume, vitasikiaje wakati muda wote pale 'mjengoni' vinakuwa vimembonji kwa hiyo usikivu wao uko kindotondoto zaidi!
 
Ukisikia kuishiwa hoja ndiko huku. Yaani kwa vile mtu ana post 39 basi hoja zake zipuuzwe? Timu mwakalinga bwana wanazidi kujichefua na kujidhalilisha. Mara wajisifie shule walizosoma, mara wajisifie GPA zao, kisha wajisifia kiwango cha pesa walichonacho, kabla ya kusifia redio yao kule Kyela.

Yaani misifa tupu, watu kama hawa wakipewa kuongoza nchi, hata marehemu mobutu wa congo atakuwa bora mara mia.

Sio wapenda sifa tu kama mobutu, bali pia ni watu wenye visasi kama sadam husein. Ukiwa nao kwenye mkutano ukawapinga, unapigwa risasi wewe na familia yako yote.

Soma maandishi yao hapa uwaone walivyo.

Hata mimi ningekuwa Kubenea nisingekuja hapa kubishana na mtu ambaye hana msimamo na hajui anachokifanya. Asubuhi anataka kugombea ubunge, mchana anataka udiwani, usiku anataka kufanya biashara na kina Rostam.

Kuwa na msimamo ndio utaeleweka

Wao wanachotaka hapa ni sababu ya kuongezewa pesa na bosi wao mzee wa richmonduli. Wanataka kubenea aje hapa kubishana nao, na kisha walete mambo yao ya kitoto na kisha wakatoe riport kule monduli jinsi walivyomgalagaza kubenea ndani ya JF

Hao watu watakuwa kina zaidi ya wafuatao - mkulima, samwel, magoli, mtanzania, na yule mwingine (ambao wote IP add zao zinaonekana kutokea sehemu fulani).

Ha ha ha.... unataka kusema kuwa IP zao zote ni za lucient (my foot).
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom