Kubenea: Ukiona kuna MwanaCHADEMA anakimbilia kwa Msajili kushtaki Ujue nyuma yake kuna mtu anayetumika na Mfumo. Kuna Mtu hakubaligi kushindwa!

Kubenea: Ukiona kuna MwanaCHADEMA anakimbilia kwa Msajili kushtaki Ujue nyuma yake kuna mtu anayetumika na Mfumo. Kuna Mtu hakubaligi kushindwa!

Tulia, nyie pigeni harakati mwanangu..

Unakumbuka kauli kwamba CDM ni mali ya Umma? Hapa ndipo mlipoachia, tunazungumzia mali ya umma.

Issue ya Pesa , CDM haina hela ya kufurahia kama mnavyoaminishwa na mapanki..

Sadaivi amepanic maji ya shingo kaona atulie afanyie siasa chumbani..

Mawakili wa Dr Slaa hawajalipwa wamesambaratika....

Bado hilo huoni, mnamlaumu mtu aliejenga CDM kwa miaka 30 zaid sana kwa fedha zake...

Kuweni na fadhila...., at least basi msimsimange.

La zaidi sana hamuwezi kutuzuia kusema.
Ww husemi bali una nogwa. Huyo Sativa, Slaa nk sio issue za cdm. Kama Mbowe aliijenga cdm kwa fedha zake miaka zaidi ya 30, muulize aliweka shilingi, na amechuma kiasi gani, tuone bado kiasi gani alipwe au arudishe change.
 
Tulia, nyie pigeni harakati mwanangu..

Unakumbuka kauli kwamba CDM ni mali ya Umma? Hapa ndipo mlipoachia, tunazungumzia mali ya umma.

Issue ya Pesa , CDM haina hela ya kufurahia kama mnavyoaminishwa na mapanki..

Sadaivi amepanic maji ya shingo kaona atulie afanyie siasa chumbani..

Mawakili wa Dr Slaa hawajalipwa wamesambaratika....

Bado hilo huoni, mnamlaumu mtu aliejenga CDM kwa miaka 30 zaid sana kwa fedha zake...

Kuweni na fadhila...., at least basi msimsimange.

La zaidi sana hamuwezi kutuzuia kusema.
Mbowe hana Fedha ya kujenga Chadema afadhali MKE wa Bob Nyanga Makani aliwaachieni kile kibanda Ufipa st 😂😂
 
Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo Mh Saeed Kubenea amemwambia Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika kuwa Ukiona Mwanachadema anakimbilia kwa Msajili wa vyama vya siasa kushtaki ujue kuna Mtu wa Mfumo nyuma yake, kuna Watu hawakubaligi kushindwa

Ni huko Ukurasani X

Mlale Unono 😀
Amesma hayo akiwa wapi
 
Back
Top Bottom