VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
HT 1+,10X,GG 2.5+ipi hiyo mkuu
Hapo unaweka Elfu 10 mzeeHatari sn hiyo formula mkuu.......Hapo unaweka ngapi ili upata mil250?
Watu hawajui tu Ila kubet kwa michezo Kama tennis na basketball ufi na njaaMkuu hizi ni real?
Ukiwa na mtaji mkubwa naamin tennis na basketball unatusua,huku anayejua anajua tu,Mara chache sana kukuta Mambo yanaharibika,na kingine betting ni mathematics,kwa mfano unakuta kwenye rankings labda yupo higher rankings za tennis na unakuta kwenye h2h hajawah kufungwa na mpinzan halaf kwenye odds unakuta zinakaribia hapo moja kwa moja unapata picha mechi imeuzwa hiyoBasketball nimeshindwa, tennis pia ni ngumu sn ila nimejaribu table tennis ni km inamwelekeo lkn bado napigwa zaidi kuliko kupiga..... ππ
Duuu........ Wanaijeria hawashindwagi jamaaππNasikia kampuni za betting Zilishafungwa naigeria..wale jamaa nasikia ni nyoko mpaka uchawi unatumika kwenye kumtusua muhindi!! Wakaona isiwe kazi wakafunga betting wahindi!!
Tukachukue maujuzi kule kila siku utakua unaondoka na mamilion
Duuu....... Nimekupata sn kamandaπππ―Ukiwa na mtaji mkubwa naamin tennis na basketball unatusua,huku anayejua anajua tu,Mara chache sana kukuta Mambo yanaharibika,na kingine betting ni mathematics,kwa mfano unakuta kwenye rankings labda yupo higher rankings za tennis na unakuta kwenye h2h hajawah kufungwa na mpinzan halaf kwenye odds unakuta zinakaribia hapo moja kwa moja unapata picha mechi imeuzwa hiyo