Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooohhh........... Maneno kuntu sn haya mkuu wanguBinafsi nimeshawahi sana kubeti, na nina ujua vyema huo mchezo, ushauri wangu ni kama wadau wengi wanaochangi hii mada
Tafuta mtaji hata kama ni elfu 10, weka odds zisizidi 3, hata ukila elfu tano au elfu 10 kila siku sio haba
Na usibeti ili uendeshe maisha ndio tamaa ya kupata laki 2 kwa buku inapokuja utaumia kila siku.
Na mwisho kabisa, betting ni biashara kama zilivyo zingne,ukiona hiyo biashara imekukutaa tafuta njia zingne, kimombo kidg diversify your source of income, dont depend in one source
Mwisho wa mwezi wa tisa, nikijaliwa uzima , mimi binafsi nitakuwa nimeufikia uchumi wa katikati. Ila sasa nimeshapita uchumi wa katikati wa chini.Umeufikia tayari mkuu?
Umeona utukate mzizi wa fitna kwa matomaso....... 😂😂Lkn je unapata mara kwa mara?Wewe ndo muongo mkuu,Mimi kila Mara nabeti,beti ni nzuri sana,kumshauri mtu asibeti ni kupotosha sana,huo ni mkeka wa juzi ,na nilikuwa nimekosa kaziView attachment 1522915
[emoji28][emoji28][emoji28]Mwanaume kutumia neno kudanga ni very disturbing...
YepOOHH.... Hongera sn. Umeshapita uchumi wa kati wa chini unatafuta UPPER SECOND??
Hahahaaa...... Sawa mkuu👌👌Kama unaweka jero buku upate laki. Na unaweka tumaini kabisa utapiga. Lazima iwe mbaya.
Bet kistaarabu. Dau kubwa odd ndogo 2-3.
Kama unaweka jero buku kwa odd 200/300+ weka for fun tu. Hutokuja na uzi kama huu tena.
Kivipi nimedanganya hapoAcha kudanganya umma ww
ipi hiyo mkuuIpo siku nitakuja niwapige gal bet mil 250 Nina stategy moja hatari nasubiria uefa champions league.
Lol nimecheka kama yote. Wale wa Betpowa tunakoment wapi?!Sijaona maendeleo yoyote tangu nianze kubeti miaka 3 iliyopita.
Wenzangu na mimi hali ikoje? Naweza kupata maujuzi zaidi ama niachane na kudanga huku?
Tena madanga yangu km ya wanawake wa Buza, leo nimepata buku siku mbili sipati kitu. Nikipata elfu kumi inapita wiki mbili cjapata chochote!!!!
Wahujumu uchumi wangu ni:
-Meridian bet
-Mkeka bet
-Premier Bet
MUHIMU: Kuanzisha kampuni ya kubeti inahitaji mtaji kiasi gani?
MWISHO: Nawataki Betting Njema, kizuri kula na mwenzako. Eid Mubarak!