Kubinuka kwa makalio ya wanawake kwenye bodaboda

Kubinuka kwa makalio ya wanawake kwenye bodaboda

Upo serious mkuu mkao tu unakushawishi je ukiona alievaa kimini si utaingiza mkono mfukoni
Mm mwanamke nikimuona ana umbile zuri,huwa natamani umbo lake lile nikiona akiwa naked kabisa........hapo naweza kila resource nilinayo ili nifanikishe hilo
 
Sasa kwanini mkae ule mkao wa kiume na wakati mkao wenu Wa kike upon

Tena unakuta amejibinua vzr na ametanua mapaja yake..... Aisee
Huo mkao ni salama zaidi japo hailalishi kujibinua

Ila upunguze gubu
 
Sio kwa udini lakini kwa sisi watu islam unaambiwa ukitaka kuepuka na viji mtihani basi inamisha macho chini wala hautakua mwenye kulaumiwa. Basi naona ni ushauri bora wa kuyakwepa hayo.
 
Lakini ushauri wangu mwingine upunguzage tamaa aisee yani unafatilia makalio daah kweli hii kali ya mwaka. Je angekua ni mke wa mtu au malaya katika harakati zake. Utafiti unaonesha makalio ya mwanamke ni kama kilevi kwa mwanaume lakini jitahidini kuinamisha macho chini pale mnapokutana hivi vijimtihani.
 
We jamaa bhn[emoji23][emoji23][emoji23]sa si makalio yao???hapo serikali ya nn sasa
 
Kikubwa we ndio upunguze kuhangaisha shingo Mkuu sababu vitu kama hivyo huwezi kuvizuwia.
 
Asipo jibinua mwanamke atajibinua Nani?
hayo ndo majaaliwa yao
 
Back
Top Bottom