Kubinuka kwa makalio ya wanawake kwenye bodaboda

Wanasafiri wakiwa wanatangaza.
 
Nikajua unawaonea wivu.
Angalia hata james delicious alianza hivi hivi kuwa makini
Ukiwa kama mmoja Wa wanawake wabinua makalio,naomba mnisamehe kwa kuisema vibaya branding yenu ya kubinua makalio
 
Nchi hii kuna watu wenye matatizo ya afya ya akili wengi mno siku serikali itapoanza matibabu wodi zitajaa
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ nimeenda mpaka mwisho nitafute kapicha ili nikemee sijakaona!
 
Ndio maana waislamu tumeambiwa tutembee huku tunatazama chini
 
Ungeweka picha ingependeza zaidi
 
ni maumbile yake tu ndo yanayomfanya aonekane kama kabinuka. ni sawa na kwenye kucheza mziki mwanamke mwenye umbile lililokatika vzr huwa akijitikisa kidogo tu anaonekana anacheza vzr kwelikweli.
 
Nikajua unawaonea wivu.
Angalia hata james delicious alianza hivi hivi kuwa makini
Kwahyo ww na Uchoko wako........unadhani kila mtu ni kama wewe

We endelea kupelekewa moto tu.......coz ndio maisha uliyochagua,kukatikia viuno wanaume wenzako
 
ni maumbile yake tu ndo yanayomfanya aonekane kama kabinuka. ni sawa na kwenye kucheza mziki mwanamke mwenye umbile lililokatika vzr huwa akijitikisa kidogo tu anaonekana anacheza vzr kwelikweli.
Ahaa sawa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…