III Tanzania yetu kufikia nchi ya ahadi inahitaji kuimarika katika ngazi ya demokrasia huru na kupunguza vitendo vinavyochochea ubaguzi wa kisiasa katika nyanja mbalimbali kama vile;
1. Uchaguzi kuwa wa haki na kweli
Viongozi wanaopatikana kwa Uchaguzi wanatakiwa kuwa wale walochaguliwa na wananchi wenyewe na kuepuka vitendo vvya wizi na rushwa
jamiiforums.com
2. Viongozi wa chama tawala kuwa na umoja na wale wa upinzani kupunguza vitendo vinavyokiuka haki za binadamu
BBC
3. Kuwepo tume huru ya kusimamia uchaguzi ili kuwapa viongozi makini wenye jicho la kuikwamua Tanzania kutoka katika janga la umaskini, uchumi mdogo na elimu bora
4. Viongozi wa upinzani kuacha kabisa vitendo vya kuchochea migogoro na matabaka kati ya serikali kuu na wananchi au kati ya wananchi wao kwa wao maana huleta vitendo vya vurugu na ukiukwaji wa haki
VOA(voice of Africa)
5. Viongozi wa upinzani kupata nafasi za kutoa mawazo katika kuijenga Tanzania na kuruhusiwa kuchangia hoja migogoro katika nchi yetu
Grobal publisher
6. Mchakato wa katiba mpya kutazwa kwa jicho la tatu
BBC
Hitimisho; pongezi kwa Rais wa awamu ya Tano Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuanza kuonyesha mwanga katika siasa na demokrasia hili likitiliwa mkazo ndani ya miaka 5 na kuendelea tutafanikiwa
Ahsanteni
1. Uchaguzi kuwa wa haki na kweli
Viongozi wanaopatikana kwa Uchaguzi wanatakiwa kuwa wale walochaguliwa na wananchi wenyewe na kuepuka vitendo vvya wizi na rushwa
jamiiforums.com
2. Viongozi wa chama tawala kuwa na umoja na wale wa upinzani kupunguza vitendo vinavyokiuka haki za binadamu
BBC
3. Kuwepo tume huru ya kusimamia uchaguzi ili kuwapa viongozi makini wenye jicho la kuikwamua Tanzania kutoka katika janga la umaskini, uchumi mdogo na elimu bora
4. Viongozi wa upinzani kuacha kabisa vitendo vya kuchochea migogoro na matabaka kati ya serikali kuu na wananchi au kati ya wananchi wao kwa wao maana huleta vitendo vya vurugu na ukiukwaji wa haki
VOA(voice of Africa)
5. Viongozi wa upinzani kupata nafasi za kutoa mawazo katika kuijenga Tanzania na kuruhusiwa kuchangia hoja migogoro katika nchi yetu
Grobal publisher
6. Mchakato wa katiba mpya kutazwa kwa jicho la tatu
BBC
Hitimisho; pongezi kwa Rais wa awamu ya Tano Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuanza kuonyesha mwanga katika siasa na demokrasia hili likitiliwa mkazo ndani ya miaka 5 na kuendelea tutafanikiwa
Ahsanteni
Upvote
2