D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Jamani kuna dawa nimeigundua inatibu nguvu za kiume na kukuza uume.
Hivyo nahitaji tangazo ambalo litatumwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii liwe la kuvutia
Shindano hili litaendeshwa mpaka tarehe ishirini mwezi wa kumi 20/10/2017.
Kigezo cha mshindi ni wingi wa likes
Mshindi atajipatia elfu hamsini.
Karibuni
Jina la dawa:ngapuga
NB huu ni utani tu
Hivyo nahitaji tangazo ambalo litatumwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii liwe la kuvutia
Shindano hili litaendeshwa mpaka tarehe ishirini mwezi wa kumi 20/10/2017.
Kigezo cha mshindi ni wingi wa likes
Mshindi atajipatia elfu hamsini.
Karibuni
Jina la dawa:ngapuga
NB huu ni utani tu