SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Siyo USA tu...Ni fedheha kwa Taifa kama USA kuongozwa na Mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo USA tu...Ni fedheha kwa Taifa kama USA kuongozwa na Mwanamke.
Wamarekani siyo wajinga. Wanajua Wanawake hawawezi kuongoza nchi ikapata mafanikio kwa maana ikaendelea.Uchaguzi wa marekani wa mwaka 2016 kati ya Hilary Cliton na Trumph, Hilary alibwagwa.
Mwaka huu 2024 uchaguzi kati ya Trumph na Kamala Haris, kamala kabwagwa.
niwazi kabisa kuwa wamarekani bado hawawaamini wanawake kwenye nafasi za uongozi wa juu, bado wamekumbatia mfume dume.
Tena bora hata Hillary Clinton alishinda popular votes
huyu Kamala Harris kapigwa pande zote.
Sera za vita vimewaponza , ingawa mambo mengine ya katrump sijui itakuwajeUchaguzi wa marekani wa mwaka 2016 kati ya Hilary Cliton na Trumph, Hilary alibwagwa.
Mwaka huu 2024 uchaguzi kati ya Trumph na Kamala Haris, kamala kabwagwa.
niwazi kabisa kuwa wamarekani bado hawawaamini wanawake kwenye nafasi za uongozi wa juu, bado wamekumbatia mfume dume.
HolaSisi tunao ongozwa na mwanamke tumepata faid gani?
Wanaume watakua wameisha?Baada ya trump uchaguzi ujao utakua kati ya wanawake. Rep na Dem wataweka wagombea wanawake. Ni utabili tu
Hakika wanawake hawastahili kupewa nafasi ya urais. Ni kujidanganya kuwa wanawake wanaweza lakini siyo kuwapa nchi. Raia wanaojua umuhimu wa nafasi ya urais wamempiga chini Kamala Harris.Uchaguzi wa marekani wa mwaka 2016 kati ya Hilary Cliton na Trumph, Hilary alibwagwa.
Mwaka huu 2024 uchaguzi kati ya Trumph na Kamala Haris, kamala kabwagwa.
niwazi kabisa kuwa wamarekani bado hawawaamini wanawake kwenye nafasi za uongozi wa juu, bado wamekumbatia mfume dume.
Kutakuwa na mtu aliyekwenda kumchulia (kumwaribia). Wamarekani wakaona kama hali yenyewe ya kuongozwa na mwanamke ndo hii, wakaona bora walichague li Trump pamoja na "ukichaa" wake.Uchaguzi wa marekani wa mwaka 2016 kati ya Hilary Cliton na Trumph, Hilary alibwagwa.
Mwaka huu 2024 uchaguzi kati ya Trumph na Kamala Haris, kamala kabwagwa.
niwazi kabisa kuwa wamarekani bado hawawaamini wanawake kwenye nafasi za uongozi wa juu, bado wamekumbatia mfume dume.
Trump kafanikiwa kuwashinda wagombea wanawake tu...Uchaguzi wa marekani wa mwaka 2016 kati ya Hilary Cliton na Trumph, Hilary alibwagwa.
Mwaka huu 2024 uchaguzi kati ya Trumph na Kamala Haris, kamala kabwagwa.
niwazi kabisa kuwa wamarekani bado hawawaamini wanawake kwenye nafasi za uongozi wa juu, bado wamekumbatia mfume dume.
Na Tanzania pia tuige wamarekani...Uchaguzi wa marekani wa mwaka 2016 kati ya Hilary Cliton na Trumph, Hilary alibwagwa.
Mwaka huu 2024 uchaguzi kati ya Trumph na Kamala Haris, kamala kabwagwa.
niwazi kabisa kuwa wamarekani bado hawawaamini wanawake kwenye nafasi za uongozi wa juu, bado wamekumbatia mfume dume.
Alimtumia hadi beyonce lkn wapi.Nilivyo ona tu kamala Harris anawatumia akna card b kuconvice RAIA wampigie kura nikaseme tu huyu hatoboi hapa mwenzake trump anawatumia matajiri wenye akili zao akna elon musk