Bulichekah
Member
- Jan 12, 2014
- 68
- 186
Mazee, hizi kucha za bandia dada zetu wanazobandika juu ya kucha zao ni hatari sana.
Katika harakati za kupita pita mitaa ya town kusaka maisha, kuna mdada mmoja kajikwaa mguuni kwangu nikiwa nimevaa sendo ayani kanikwatua nyama na ule ukucha hadi nikaona kizunguzungu, halafu ananipa pole.
Nimemtazama kwa hasira kali yenye uchungu mwingi ikabidi tu nimuache lakini kiukweli haya makucha hata mkiwa mmelala ikatokea wakati anajigeuza akakugonga nao, asee ni zaidi ya kisu na maumivu yake ni hatare.
Na ninahisi yanaweza kuambuikiza tetanus haya makucha!
Katika harakati za kupita pita mitaa ya town kusaka maisha, kuna mdada mmoja kajikwaa mguuni kwangu nikiwa nimevaa sendo ayani kanikwatua nyama na ule ukucha hadi nikaona kizunguzungu, halafu ananipa pole.
Nimemtazama kwa hasira kali yenye uchungu mwingi ikabidi tu nimuache lakini kiukweli haya makucha hata mkiwa mmelala ikatokea wakati anajigeuza akakugonga nao, asee ni zaidi ya kisu na maumivu yake ni hatare.
Na ninahisi yanaweza kuambuikiza tetanus haya makucha!