Kuchangia Ujenzi wa madarasa ni maendeleo ya Vitu au Watu?

Kuchangia Ujenzi wa madarasa ni maendeleo ya Vitu au Watu?

Nauliza tu maana hapa Kihesa Iringa kuna watu wanasuasua kuchangia ujenzi wa madarasa kwa madai kuwa hiyo siyo sera ya chama chao.

Binafsi nimeshachangia mifuko 10 ya cement.

Nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama
Mifuko kumi ya cement weeeeee😂😂😂
 
Nauliza tu maana hapa Kihesa Iringa kuna watu wanasuasua kuchangia ujenzi wa madarasa kwa madai kuwa hiyo siyo sera ya chama chao.

Binafsi nimeshachangia mifuko 10 ya cement.

Nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama
Yapi majukumu ya msingi kwa serikali inayokusanya kodi mbalimbali?
 
Umechangia ukaona ujitangaze, namna gani pale bwashee!!
 
Mnachangisha wananchi halafu CCM ije kutupigia kelele imefanya aa bee chee, nonsense!
 
Back
Top Bottom