Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
SAWA LAKINI HUJAJIBU HOJAKama Mwili hauwaki tamaa usioe.
Lakini sio unasema kuoa sio lazima na wakati huo huo unalala na wanawake Kwa zinaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAWA LAKINI HUJAJIBU HOJAKama Mwili hauwaki tamaa usioe.
Lakini sio unasema kuoa sio lazima na wakati huo huo unalala na wanawake Kwa zinaa
Matola Tofautisha MKE na MALAYA wewe lini ulisikia mke akapangishiwa Nyumba?Kwa hali halisi ya mahusiano ilivyo kuowa si lazima.
Ukiona wewe umefikia umri wa kuowa owa aubolewa.
Ona hii, huyu alikuwa anataka kuowa.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia Watu wawili wanaodaiwa kula njama na baadaye kumuua Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Barke Pesa Rashid (30) mkazi wa Ilala Utete Jijini Dar es salaam kisa madai ya kwamba Mwanamke huyo aligharamiwa na Mwanaume hadi kumpangishia nyumba lakini akawa na Wanaume wengine.
"Tukio hilo limetokea January Mosi,2022 Tabata Segerea kwenye nyumba ya kulala wageni iitwayo Maridadi ambako tarehe hiyo Mtuhumiwa wa kwanza Mwanaume, Jonsiner Bounser( 34), Mkazi wa Segerea Kalabash Pub alifanya mipango ya mapenzi na Mwanamke aliyemuua baada ya kula njama na Mtuhumiwa mwingine wa pili aliyekamatwa Mwanaume anayeitwa White (33) Mfanyabiashara ya Lori la kuzolea taka Mkazi wa Tabata Segerea"
"Mwanamke huyo alikabwa shingo mpaka kupoteza maisha akiwa katika nyumba hiyo ya kulala wageni, Bounser alikodiwa na White kwa malipo ya Tsh.Milioni 1.7 ili amtongoze na baadaye aende kumuua Mwanamke huyo kwa madai kuwa White alimgharamia sana na kumpangishia nyumba lakini Mwanamke huyo ana Wanaume wengine"
"Bounser amekiri kupewa Tsh. Milioni 1.2 kwa nyakati tofauti kabla na baada ya kutekeleza mauaji hayo na kwamba alikuwa bado anadai Tsh. Laki tano kwa White kwa mauaji ya Mwanamke huyo, uchunguzi wa tukio hilo unakamilishwa na watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo" ——— Jumanne Muliro, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam
#MillardAyoUPDATES
Kwahiyo watu wafanye ngono na wanawake kwa wanaume tofauti tofauti ila kuoa hapana?KWA HIYO UNATAKA KUNIAMBIA WATU WOTE AMBAO MIILI YAO IKO VIZURI HAPA DUNIANI WAMEOA?
UNALAZIMISHA WATU KUOA KWA KIGEZO KIPI?
KUTOKUOA SIO DHAMBI NASISITIZA NA SIO USHETANI
sijachochea watu wafanye ngono na sijasema kuoa hapana ila sio lazima.... note neno sio lazima na sio dhambiKwahiyo watu wafanye ngono na wanawake kwa wanaume tofauti tofauti ila kuoa hapana?
Kwa watu wenye afya na wanakula vizuri wasifanye ngono?sijachochea watu wafanye ngono na sijasema kuoa hapana ila sio lazima.... note neno sio lazima na sio dhambi
Hapo jiongeze na jipimie kadiri ya imani yakoKwa watu wenye afya na wanakula vizuri wasifanye ngono?
HAHAHAUsiforce tufanane.Waache watoto wa watu.Waache wajiamlie
Usiforce tufanane.Waache watoto wa watu.Waache wajiamlie
Nina my first bornUtanielewa siku moja, au siku ukipata kijana wakiume akachelewa kuoa utaona changamoto anazopitia ni nyingi kuliko ambaye ameoa
Nina my first born
🤣🤣🤣🤣🤸Omba Uhai utajionea.
Mwanaume ukichelewa kuoa uwe na Pesa,
Lakini huna alafu umechelewa hakika yake Moto utakuwakia.
Ndio maana inashauriwa angalau miaka 25-34 hapo.
Kuzidi hapo Wachumba watakukimbia, wanakuona Kama Budah!
daaah umenichekeshaHadi nijenge ndio nitaoa...
Huu sasa ulongoVijana wa Zama hizi unakuta mtu anasubiri Jambo ambalo hajui linakuja lini.
Ati ataoa siku mambo hakikaa Sawa.
Kwa uzoefu wangu mambo hayawi Sawa mpaka siku tukienda kuzimu
So walioa hawazini mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama Mwili hauwaki tamaa usioe.
Lakini sio unasema kuoa sio lazima na wakati huo huo unalala na wanawake Kwa zinaa