Kuchelewa Kuoa hakukufanyi ufanikiwe au uwe na unafuu wa Maisha

Kuchelewa Kuoa hakukufanyi ufanikiwe au uwe na unafuu wa Maisha

Kwa hali halisi ya mahusiano ilivyo kuowa si lazima.

Ukiona wewe umefikia umri wa kuowa owa aubolewa.


Ona hii, huyu alikuwa anataka kuowa.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia Watu wawili wanaodaiwa kula njama na baadaye kumuua Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Barke Pesa Rashid (30) mkazi wa Ilala Utete Jijini Dar es salaam kisa madai ya kwamba Mwanamke huyo aligharamiwa na Mwanaume hadi kumpangishia nyumba lakini akawa na Wanaume wengine.

"Tukio hilo limetokea January Mosi,2022 Tabata Segerea kwenye nyumba ya kulala wageni iitwayo Maridadi ambako tarehe hiyo Mtuhumiwa wa kwanza Mwanaume, Jonsiner Bounser( 34), Mkazi wa Segerea Kalabash Pub alifanya mipango ya mapenzi na Mwanamke aliyemuua baada ya kula njama na Mtuhumiwa mwingine wa pili aliyekamatwa Mwanaume anayeitwa White (33) Mfanyabiashara ya Lori la kuzolea taka Mkazi wa Tabata Segerea"

"Mwanamke huyo alikabwa shingo mpaka kupoteza maisha akiwa katika nyumba hiyo ya kulala wageni, Bounser alikodiwa na White kwa malipo ya Tsh.Milioni 1.7 ili amtongoze na baadaye aende kumuua Mwanamke huyo kwa madai kuwa White alimgharamia sana na kumpangishia nyumba lakini Mwanamke huyo ana Wanaume wengine"

"Bounser amekiri kupewa Tsh. Milioni 1.2 kwa nyakati tofauti kabla na baada ya kutekeleza mauaji hayo na kwamba alikuwa bado anadai Tsh. Laki tano kwa White kwa mauaji ya Mwanamke huyo, uchunguzi wa tukio hilo unakamilishwa na watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo" ——— Jumanne Muliro, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam
#MillardAyoUPDATES
Matola Tofautisha MKE na MALAYA wewe lini ulisikia mke akapangishiwa Nyumba?
 
KWA HIYO UNATAKA KUNIAMBIA WATU WOTE AMBAO MIILI YAO IKO VIZURI HAPA DUNIANI WAMEOA?

UNALAZIMISHA WATU KUOA KWA KIGEZO KIPI?

KUTOKUOA SIO DHAMBI NASISITIZA NA SIO USHETANI
Kwahiyo watu wafanye ngono na wanawake kwa wanaume tofauti tofauti ila kuoa hapana?
 
Kwahiyo watu wafanye ngono na wanawake kwa wanaume tofauti tofauti ila kuoa hapana?
sijachochea watu wafanye ngono na sijasema kuoa hapana ila sio lazima.... note neno sio lazima na sio dhambi
 
Eti oa hata kama unashindwa kulipa kodi ,,,usijaribu ndugu yangu hakika utaona jua usiku,,,haya maisha si lelemama" dunia imebadirika sana,,Ukiona mpaka watoto wanaua Wazazi wao kisa mali si mchezo
 
Nina my first born

Omba Uhai utajionea.

Mwanaume ukichelewa kuoa uwe na Pesa,
Lakini huna alafu umechelewa hakika yake Moto utakuwakia.

Ndio maana inashauriwa angalau miaka 25-34 hapo.
Kuzidi hapo Wachumba watakukimbia, wanakuona Kama Budah!
 
Omba Uhai utajionea.

Mwanaume ukichelewa kuoa uwe na Pesa,
Lakini huna alafu umechelewa hakika yake Moto utakuwakia.

Ndio maana inashauriwa angalau miaka 25-34 hapo.
Kuzidi hapo Wachumba watakukimbia, wanakuona Kama Budah!
🤣🤣🤣🤣🤸
 
Nina 27 sina waziii kuoa ...maana aisee mahusiano changamoto....Bora niwe bize na mambo yangu Ili nitimize malengo yangu .....sihitaji stresss

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom