Mr No fair
Member
- Oct 25, 2020
- 84
- 122
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu hata wazazi wakiwa na mtoto mdogo na wanachepuka kitoto kikidhoofika wanasema kimebemendwa!!Kubemenda si kumzalia mwenzake bado akiwa mdogo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oooh kumbe.Kwetu hata wazazi wakiwa na mtoto mdogo na wanachepuka kitoto kikidhoofika wanasema kimebemendwa!!
Eti mkuu Kuna madhara yeyot Kama unamchakata wife na anamtoto wa miezi8 Kuna uhusiano wowote kwa mtoto kuchelewa kutembea maana wife juzi amenambia tuache kugegedana eti mtoto kachelewa kutembeaWaume wenye wake wengi watoto wao wasingetembea asilani. Hamna kitu hapo ni uongo tu. Mm nna mtoto wangu napiga gem nje mara mbili kwa wiki ama mara moja ila mwanangu yupo fit