Richard lugusi
Member
- Jan 15, 2015
- 67
- 8
Matokeo bado sana kwan mitihani yao illisha mwez wa 11 trh28 sasa cdhan kama mwez wa kumi na mbili ilitosha ku mark na kupanga matokeo m nahc mpaka mwsho wa huu mwez ndo mambo yatakuw tyari.
Matokeo bado sana kwan mitihani yao illisha mwez wa 11 trh28 sasa cdhan kama mwez wa kumi na mbili ilitosha ku mark na kupanga matokeo m nahc mpaka mwsho wa huu mwez ndo mambo yatakuw tyari.
Si kweli Usajiri wa mwaka huu umeanza january mpaka february 28 kwa private candidate so hawawezi kutoa matokeo mwisho wa mwezi maana kuna wengine wanasubiri matokeo ili wajisajiri so next week lazima yatoke
mleta mada ni f4 anaesubiri majibu anaandika kifacebook humu ebo, xo ndio nini!