Kucheleweshwa kwa Hela za kujikimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu, mpaka pale watakapo lipa Hela ya usajili na kusajiliwa chuoni

Chuo UDSM bank CRDB mpaka leo empty afu hela ya mfukoni kama inaisha flan[emoji41][emoji41][emoji41]
Kuwa mvumilivu dogo..hela zenu zipo tu na muda wowote zinaingia kwenye account.
Wahasibu hawawezi wakaenda kuweka mtu mmoja tu akisaini..mbona wakati watakuwa wanaweka kila siku
Wanasubiri msaini wengi ili wawawekee wote.

Mkishaunganishwa na mfumo fingerprint hamtapata Shida.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…