Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Zitto ni chuma jiwe likijisogeza linapasuka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ninachojua gaidi na mpigania uhuru ni yuleyule. Ni kama ambavyo mzalendo na msaliti anaweza kuwa ni mtu yuleyule. Inategemea unamwangalia kwa mrengo gani. Mandela alikuwa ni gaidi kwa makaburu na nchi za magharibi ikiwemo marekani. Mpaka anaapishwa kuwa rais wa SA alikuwa kwenye orodha ya magaidi wasiotakiwa kuingia USA. Kwetu waafrika na nchi nyingine zilizokuwa zikiunga mkono mapambano ya uhuru wa mtu mweusi Mandela alikuwa ni mpigania uhuru na haki za mwafrika.

Lakini baada ya kuwa rais SA nchi zilizokuwa zikimuita gaidi zilishindana kumualika ili akatoe mihadhara kwenye mabunge yao huko ulaya na marekani kama kiongozi anayeheshimiwa duniani.
 
mmh! naona kama kuna mtego hapa kati ya serikali na upinzani.
ccm ni wajanja sana, hata hii barua unawezakuta ni ya vitna ili kuendelea kubaki madarakani.
na ndo akili ya mchezo, liwe goli la mkono au la halali end of the day inabaki UMESHINDA TU.
refer ile ya Zanzibar(2015), kati ya Maalimu seif vs Ccm.
(yangu macho tu, mimi sipigi kura na wala sina time na masiasa yao)
 
Rais hakikisha Zitto harudi bungeni aende kulima viazi maana hafai hata kwa mboga, anajikomba kwa wazungu
Rais hana jurisdiction yoyote juu ya Zitto kurudi bungeni au kutokurudi. Hilo suala lipo mikononi mwa wapiga kura. Hivi hata hizi siasa mnazielewa au ndio fata mkumbo?

Au unaamaanisha rais awatume wale 'gente desconocida'?
 
hivi Zitto ni nani?

kama ni uongo au uzushi.

Hoja hupingwa kwa hoja na sio marungu na bunduki.


Je ni kweli tunawazuia watoto wajawazito kusoma?

Je ni kweli hakuna uhuru wa kujieleza?

Je ni kweli vyama vya upinzani vinaonewa na kuwaacha kina Polepole na Dr Bashiru.

Je ni kweli Lipumba alikuwa kwenye mkutano wa ndani alikamatwa?

Je ni kweli Mwanasiasa Tundu Lissu alipigwa risasi zaidi ya 16 na mpaka sasa hakuna aliyekamatwa wala kushitakiwa?

kama majibu ya maswali hayo yote ni NDIYO!


Basi tusimlaumu zitto bali ni nafasi yetu kujicheki na kurekebisha mambo.
 
Rais hakikisha Zitto harudi bungeni aende kulima viazi maana hafai hata kwa mboga, anajikomba kwa wazungu
Niliwaeleza hapa tabia chafu za Zitto Kabwe kuwa siyo nzuri kwa Jamii ya Watanzania. Anatuletea vitabia ambavyo siyo asili wala Jadi yetu Watanzania. Huyu Jamaa kule anaitwa Akafanywe.
Mimi nawashauri Followers wa Zitto wa ACT Wazalendo wajue wanaongozwa na anayefanywa 😆😆😆😆😆
 
Kila mara tunaona maandamano ya wananchi wao mabeberu yanapojipanga kwenda kuzivamia nchi zenye mafuta, tunaona madhara ya vita kwa raia wanaovamiwa na political instability ya hizo nchi baada ya vita.

Sasa aina maana hao viongozi hawafikirii na wao what will happen na sio kwamba wanapenda kuzivamia hizo nchi. Ndio maana nchi za EU majeshi yao yakipiga bomu kwenye civilians area unaona jeshi linapewa wakati mgumu sana.

Lakini kwanini wanavamia kama wanajua madhara, sababu watakwambia ni national security interest.

Bila ya uhakika wa energy supply ni kuweka rehani uchumi wao na kuhatarisha maisha ya raia wao.

Hapo ndio wanaona kuna ‘moral obligation’ (this notion is very important in western politics when it comes to political decision making) na kwa mtazamo supply ya kupata mafuta ni muhimu kwenye kulinda interest zao hilo lina justify madhara ya vita.

Sasa ni upumbavu wa hali ya juu kwa nchi ambayo makusanyo yake ni $500m kwa mwezi tena serikari inajivunia hii aijawahi tokea tangia uhuru. Tena kufikia hapo ndio wamechukua na pesa za halmashauri, basically we are very poor maana hiyo ni hela ambayo some middle income countries inakusanya kwa siku tu, let alone mataifa makubwa.

Halafu anatokea mtu kwenda kupambana huko kuona serikari inakosa kiwango cha hiyo hela, ni upumbavu uliopindukia regardless of the motive you just can’t do that to a poor country, now this justifies any drastic measures against those involved; sio upuuzi wa kuangaika na watu kama akina Kabendera na Lissu.
 

Aksante kwa kutujulsha Zitto ni mzalendo wa kweli na mpiganiaji haki za Wanawake !
 
Hii ni ku-supplement tu why ZZK was so bitter about MKIRU!
Cha msingi tu kila mtu ashinde mechi zake..
 
Kwanza barua inaonekana ni feki.. Zitto hana kingereza kibovu hivyo..
Hata kama ni kweli sijaona uongo wowote alioandika hapo.. alichokiandika kila mtu TZ anafahamu na sio siri hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…