Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

blindspot,
Hapa nilichokiona ni chuki zako binafsi kwa Zitto na utabiri wako tu.

Sent from my MI MAX 3 using Tapatalk
 
Mmh P....!!!!!!
Hivi unataka kumlinganisha Lissu na Zitto kwenye hoja...????
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha ujengaji hoja na shouting!. Lissu ni shouter mzuri lakini amini usiamini sio strategist, ana maneno makali lakini sio makini sana kivile, kwa vile yeye ni mwanasheria, ndiye mnadhimu wa kambi ya upinzani Bungeni, hivyo Chadema wanamtegemea sana, interms of decision making, Zitto is more independent than Lissu, Zitto anaweza kutenda with minimum supervision lakini Lissu needs supervision, ukimuachia Lissu mwenyewe tuu anaweza kuwaingiza chaka!.

Kwenye issue ya Katiba mpya, Lissu aliwaingiza chaka Chadema

Katika kumtimua Zitto Chadema, Lissu aliwaingiza chaka Chadema, CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya NKM, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, hivyo CC ya Chadema ilimtimia Zitto kwa ubatili, Lissu kama mwanasheria wa Chadema should have advised the right thing to do.

Hata kwenye issue yake ya kufuatiliwa na wasiojulikana, mwanasheria makini hakupaswa kuishia kuripoti kwa waandishi wa habari pekee

P
 
Zitto sio nyoka bali ni strategist

P
strategist kivipi?!, wakati Lissu akizungumzia kuhusu mikataba mibovu itakavyoiingizia nchi hasara akaitwa msaliti akaadhibiwa kwa risasi za kutosha, but Zitto kawaandikia barua wazungu wasiipe Tanzania msaada wa elimu akasema apuuzwe! sasa hapa ndio unaulizwa Zitto ni nani?

Wewe ni shabiki tu wa Zitto, huna lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafanikio Makubwa ya Kisiasa ya Chama changu Ccm katika miaka ya karibuni ni kuwafanya Chadema wasimuamini Zitto na Zitto asiwaamini Chadema
 
strategist kivipi?!, wakati Lissu akizungumzia kuhusu mikataba mibovu itakavyoiingizia nchi hasara akaitwa msaliti akaadhibiwa kwa risasi za kutosha, but Zitto kawaandikia barua wazungu wasiipe Tanzania msaada wa elimu akasema apuuzwe! sasa hapa ndio unaulizwa Zitto ni nani?
Wewe ni shabiki tu wa Zitto, huna lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Lissu ameshambuliwa kwasababu za kauli zake?. Ile siku rais Magufuli anazungumzia wasaliti na huwa wanafanywa nini, kwani alitaja jina la mtu?. Kwani shambulio la Lissu ni adhabu?.

Kama kuna yoyote anamjua aliyepanga shambulio la Lissu aripotiwe kunako husika, naendelea kusisitiza

Shambulio la Lissu limefanywa na watu wasiojulikana

P
 
Mkuu Blindspot, una hoja au huna hoja, lakini hustahili kupuuzwa.

Ni mada inayostahiri kupimwa kwa kina. Ngoja nitafakari haya mazito uliyoweka hapa, tena kwa mpangilio mzuri kabisa.

Lakini..., hata Lissu kaingizwa mkenge, au.... Hakutahadharishwa na chama chake?

La kushangaza zaidi, ni huu uvumilivu iliokuwa nao timu nzima ya mtu asiyependa kuhojiwa chochote..., kulikoni hapa?

Na kwa upande wa pili; anayoyaandika na kuyazungumzia Mh Zitto ni mambo makubwa sana kiasi kwamba yanaweza 'kuupuzwa' tu kwa sababu wanajua anachofanya...HAPANA, sio rahisi kiasi hicho.

Mh Zitto anachimbua hasa. Hii sio gelesha tu ya kuwaweka watu usingizi.

Mkuu 'Blindspot' bado unayo hoja ya kujibu. Bado hujashawishi vya kutosha. Mwaga mtama zaidi.

Kwa hapo ulipoishia, wewe mwenyewe unaweza kuwa sehemu maalum ya kuwalaza akili watu, ukiwa upande wa hao wanaopigwa mawe. Huu mchezo unahitaji akili kubwa kuutambua eti!
Lissu ndie mpinzani wa kweli, hakuwahi kuwa na urafiki wa mashaka na mtu yeyote toka serikakini, Lissu ni wakupinga kila jambo analoona sio sahihi tena kwa fact, but Zitto ni mwanasiasa mjanja, opportunist, alie tayari kuwa na urafiki na yeyote ilimradi interest zake kwenye siasa ziendelee.

Zitto alikuwa tayari kuizamisha CDM ili CCM iendelee kuwa madarakani na yeye aendelee kulindwa na serikali na idara ya TISS, huyo mtu ni kinyonga asieaminika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Miaka ya 2005 zito alipambana sana kuhusu mikataba ya midini hadi wakina karamagi wakatolewa. Baadaye akaula kuwa mwenyekiti wa Pac pamoja na Cheyo akipewa kamati ya laac. Baadaye kipindi cha makinda hizi kamati ya cheyo na zito ziliungana lakini bado uenyekiti akapewa Zito. Nani yupo nyuma yake.

2. Zito alituhumiwa na wenzake chadema kuwahujumu na kuwasaliti japo sikuamini lakini kipindi hiko kuliibuka urafiki mkubwa kati ya Zito na Zoka (boss wa kitengo masuala ya siasa)..Zito na Jk(urafiki wa siri). Zito na Makinda. Zito na Dau. Zito na Msechu. Zito na January Makamba..zito na mwigulu..Wale wote ambao Waliokuwa wanampigania zito walilamba vyeo serikalini. Kuna kijana km Mwampamba..Juliana Shonza.. KITILA. Mama Anna wa kilimanjaro wote wapo serikalini. Je zito ni nani?

3. Mapema baada ya Rais kuapishwa Zito alimsifia sana Rais. Gafla Zito akabadilika. Mwaka 2017 Zito alikuwa mtu wa kwanza kutweet suala la ndege kushikiliwa Canada..Lisu akaitisha press akiwa na Zito..majanga yakampata Lisu. Lisu alikuwa kila siku akihudhuria mahakamani kwa kumkosoa bwana mkubwa. Zito ameisema sana Serikali hii kuwa ni ya washamba..mara gangstar..Siri zote za serikali anatupa yeye..mfano ndege kukamatwa south..canada..kesi ya mkulima..n.k but lini Zito umeona akisumbuliwa. Je zito ni nani?

4. Leo tumeona barua ambayo Zito na watu kadhaa wameandika barua World bank kuhusu tanzania kunyimwa msaada wa billion 500 kusaidia masuala ya elimu..umeona response ya mkuu wa nchi amesema tuwapuuzeni tu hao.
Ingekuwa ndiyo Lisu kaandika pangechimbika...Je Zito ni nani?

Kwa upande wangu Zito ni mtoto wao na wanampromote kutuaminisha sisi na wale wa nje kuna demokrasia Tanzania. Na 2020 Zito ndiyo atakuwa Kub bungeni..kule zanzibar atapata wabunge wengi plus yeye huku bara italazimishwa chadema watangazwe wachache ili wasimpiku Zito. Hii moviea chadema wanajua ndiyo maana wanasita sana kushirikiana na Zito 2020. Ebu angalia kosa la viongozi wa chadema ni kuhamasisha wafuasi wao kudai fomu za wakala kwenye uchaguzi wa kinondoni. Mbowe na matiko walikaa four months mahabusu..na bado kesi inaendelea.
Leo Zito hajawahi kuguswa.

Zito ni mwenzao na puppet tu. Yes yupo smart lakini ni wa kwao.

Jf nyuzi km hizi siyo za kufuta..hazina shida.
Hapa ndio napoipenda kazi ya intelligencia!
Things are not always as they seem.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh Mkuu Blindspot, nijibu mara ngapi na nimeishakujibu kuwa Zitto anaikosoa serikali kwa kutumia hoja zenye nguvu ya hoja na sio hoja za nguvu, yuko makini sana kwenye kuchagua maneno yake na kauli zake, hivyo hawana pa kumshikia.

Mfano Tundu Lissu alipobaini kuna gari linamfuatilia, aliitisha press conference na kutangazia umma, kisha akatulia, angekuwa ni Zitto, angeanzia kuripoti kwanza polisi na kunakohusika, kisha kufanya press conference, unadhani wasiojulikana wangeendelea kumfuatilia?.

Wapinzani wengine wengi wanaingia matatizoni kutokana na uropokaji, Zitto ni mjengaji hoja mzuri na ni strategist.

Chadema, ukimuondoa Zitto na Prof. Kitila Mkumbo, haina kabisa ma strategists.

Angalia mfano mwingine huu wa Zitto alipotuhumiwa kupika data, msikilize anachosema



P
Naona umegeuka msemaji wa Zitto kabisa, yaani unasema Lissu alikutwa na majanga sababu hakuripoti polisi, but ingekuwa Zitto angeitisha press na kuripoti polisi!, hivi kazi ya polisi ni nini? baada ya Lissu kupigwa risasi walisema uchunguzi utaanza, baada wakasema uchunguzi unesitishwa eti kwa sababu tu Lissu hayupo nchini! wewe nae umeongeza swali jingine kwenye mada, Zitto ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Miaka ya 2005 zito alipambana sana kuhusu mikataba ya midini hadi wakina karamagi wakatolewa. Baadaye akaula kuwa mwenyekiti wa Pac pamoja na Cheyo akipewa kamati ya laac. Baadaye kipindi cha makinda hizi kamati ya cheyo na zito ziliungana lakini bado uenyekiti akapewa Zito. Nani yupo nyuma yake.

2. Zito alituhumiwa na wenzake chadema kuwahujumu na kuwasaliti japo sikuamini lakini kipindi hiko kuliibuka urafiki mkubwa kati ya Zito na Zoka (boss wa kitengo masuala ya siasa)..Zito na Jk(urafiki wa siri). Zito na Makinda. Zito na Dau. Zito na Msechu. Zito na January Makamba..zito na mwigulu..Wale wote ambao Waliokuwa wanampigania zito walilamba vyeo serikalini. Kuna kijana km Mwampamba..Juliana Shonza.. KITILA. Mama Anna wa kilimanjaro wote wapo serikalini. Je zito ni nani?

3. Mapema baada ya Rais kuapishwa Zito alimsifia sana Rais. Gafla Zito akabadilika. Mwaka 2017 Zito alikuwa mtu wa kwanza kutweet suala la ndege kushikiliwa Canada..Lisu akaitisha press akiwa na Zito..majanga yakampata Lisu. Lisu alikuwa kila siku akihudhuria mahakamani kwa kumkosoa bwana mkubwa. Zito ameisema sana Serikali hii kuwa ni ya washamba..mara gangstar..Siri zote za serikali anatupa yeye..mfano ndege kukamatwa south..canada..kesi ya mkulima..n.k but lini Zito umeona akisumbuliwa. Je zito ni nani?

4. Leo tumeona barua ambayo Zito na watu kadhaa wameandika barua World bank kuhusu tanzania kunyimwa msaada wa billion 500 kusaidia masuala ya elimu..umeona response ya mkuu wa nchi amesema tuwapuuzeni tu hao.
Ingekuwa ndiyo Lisu kaandika pangechimbika...Je Zito ni nani?

Kwa upande wangu Zito ni mtoto wao na wanampromote kutuaminisha sisi na wale wa nje kuna demokrasia Tanzania. Na 2020 Zito ndiyo atakuwa Kub bungeni..kule zanzibar atapata wabunge wengi plus yeye huku bara italazimishwa chadema watangazwe wachache ili wasimpiku Zito. Hii moviea chadema wanajua ndiyo maana wanasita sana kushirikiana na Zito 2020. Ebu angalia kosa la viongozi wa chadema ni kuhamasisha wafuasi wao kudai fomu za wakala kwenye uchaguzi wa kinondoni. Mbowe na matiko walikaa four months mahabusu..na bado kesi inaendelea.
Leo Zito hajawahi kuguswa.

Zito ni mwenzao na puppet tu. Yes yupo smart lakini ni wa kwao.

Jf nyuzi km hizi siyo za kufuta..hazina shida.
Kwa kweli nimesoma ujumbe hakoka naona Kama kuna Jambo hapa, wapinzani hasa chadema wamekuwa wakihangaika kila kukicha mahakamani kutokana na mvutano na serikali ya sasa Cha ajabu zitto amekuwa akiongea Mambo mazito Tena waziwazi lakini habughudhiwi Kama ilivyo kwa wenzao wa upinzani, yamkini zitto Ana akili Sana lakini je ndo kusema ya kwamba bwana mkubwa anamgwaya zitto?
 
Kwani Lissu ameshambuliwa kwasababu za kauli zake?. Ile siku rais Magufuli anazungumzia wasaliti na huwa wanafanywa nini, kwani alitaja jina la mtu?. Kwani shambulio la Lissu ni adhabu?.

Kama kuna yoyote anamjua aliyepanga shambulio la Lissu aripotiwe kunako husika, naendelea kusisitiza

Shambulio la Lissu limefanywa na watu wasiojulikana

P
Kiongozi wa nchi kutoa kauli km ile halafu after few days linatokea jambo km lile then unajaribu kujikwepesha hapa ingekuwa ni nchi zilizoendelea Rais wa nchi angekuwa responsible, uchunguzi ungeanzia kwake, tuache unafiki, nasisitiza Lissu ndie mpinzani kamili mwenye msimamo na kile anachokiamini, sio Zitto mwenye tabia za kinyonga,
Zitto ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli nimesoma ujumbe hakoka naona Kama kuna Jambo hapa, wapinzani hasa chadema wamekuwa wakihangaika kila kukicha mahakamani kutokana na mvutano na serikali ya sasa Cha ajabu zitto amekuwa akiongea Mambo mazito Tena waziwazi lakini habughudhiwi Kama ilivyo kwa wenzao wa upinzani, yamkini zitto Ana akili Sana lakini je ndo kusema ya kwamba bwana mkubwa anamgwaya zitto?
halafu jamaa anatudanganya kwa sababu Zitto ni strategist na maneno yake mengii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je, Zitto ni nani?

Zitto ndani ya UDSM

Zitto alikuwa Waziri Mkuu UDSM (DARUSO). Baada ya Zitto kumaliza uongozi wake akiwa mwaka wa tatu girlfriend wake aligombea Urais wa chuo akashindwa akawa wa pili. Zitto akaanzisha mgomo chuo kizima cha UD lengo wampindue Rais wa chuo.

Bahati mbaya uongozi wa chuo wakafahamu wakawatimua wakina Zitto. Wengine wote waliandika barua ya kuomba msamaha ili warudi chuo wakarudishwa ila Zitto aligoma kuandika barua ya msamaha na chuo akarudi. Je, Zitto ni nani?

Twendeni taratibu

1. Miaka ya 2005 Zitto alipambana sana kuhusu mikataba ya madini hadi wakina Karamagi wakatolewa. Baadaye akaula kuwa Mwenyekiti wa PAC pamoja na Cheyo akipewa kamati ya LAAC. Baadaye kipindi cha Makinda hizi kamati za Cheyo na Zitto ziliungana lakini bado Uenyekiti akapewa Zitto. Nani yupo nyuma yake?

2. Zitto alituhumiwa na wenzake CHADEMA kuwahujumu na kuwasaliti japo sikuamini lakini kipindi hiko kuliibuka urafiki mkubwa kati ya Zitto na Zoka (boss wa kitengo masuala ya siasa). Zitto na JK (urafiki wa siri), Zitto na Makinda, Zito na Dau, Zitto na Msechu, Zitto na January Makamba, Zitto na Mwigulu. Wale wote ambao waliokuwa wanampigania Zitto walilamba vyeo Serikalini.

Kuna kijana kama Mwampamba, Juliana Shonza, Kitila Mama Anna wa Kilimanjaro wote wapo Serikalini. Je, Zitto ni nani?

3. Mapema baada ya Rais kuapishwa Zitto alimsifia sana. Ghafla Zito akabadilika. Mwaka 2017 Zitto alikuwa mtu wa kwanza kutweet suala la ndege kushikiliwa Canada. Lissu akaitisha press akiwa na Zitto ila majanga yakampata Lissu pekee.

Lisu alikuwa kila siku akihudhuria mahakamani kwa kumkosoa bwana mkubwa. Zitto ameisema sana Serikali hii kuwa ni ya washamba, mara gangstar. Siri zote za Serikali anatupa yeye mfano ndege kukamatwa South Africa, Canada, kesi ya mkulima n.k lakini lini Zitto umeona akisumbuliwa. Je, Zitto ni nani?

4. Leo tumeona barua ambayo Zitto na watu kadhaa wameandika kwenda World bank kuhusu Tanzania kunyimwa msaada wa billion 500 kusaidia masuala ya elimu. Umeona response ya mkuu wa nchi amesema tuwapuuzeni tu hao?
Ingekuwa ndiyo Lissu kaandika pangechimbika. Je, Zitto ni nani?

Kwa upande wangu Zitto ni mtoto wao na wanampromote kutuaminisha sisi na wale wa nje kuna demokrasia Tanzania. Na 2020 Zitto ndiyo atakuwa KUB bungeni.

Kule Zanzibar atapata wabunge wengi plus yeye huku bara italazimishwa CHADEMA watangazwe wachache ili wasimpiku Zitto. Hii movie CHADEMA wanajua ndiyo maana wanasita sana kushirikiana na Zitto 2020.

Hebu angalia kosa la viongozi wa CHADEMA ni kuhamasisha wafuasi wao kudai fomu za wakala kwenye uchaguzi wa Kinondoni. Mbowe na Matiko walikaa four months mahabusu na bado kesi inaendelea.
Leo Zitto hajawahi kuguswa.

Kinachofanyika ni kumuunda mkosoaji ambaye unaweza kumcontrol. Zitto ni mwenzao.
 
Hizi njaa ndo zimetufikisha tulipo sasa na bado hamuoni kama kuna shida, mnashindwa hata kusimamia vitu vya msingi..mleta uzi ndo wa kupigwa vita ndo ugonjwa wa nchi hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simple Answe..
Zitto ni mnafki na mshirikina mkubwa kuwahi kutokea.
 
Nadhani jibu la kirahisi litakuwa , nguvu ya jimboni, sehemu ya jimbo lilipo na uwezo wa jimbo kuwa na maamuzi magumu, umahiri wa kisiasa na uwezo wa kujiandaa vizuri na informations pamoja na ushahidi wa ulisemalo.

Ukweli ni kuwa Zitto hajiropekei anakuwaga na proof ya anayoyasema, na sio wamajungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna state na kuna government. Unajua tofauti ya hizo?
 
Back
Top Bottom