Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Duh!
The devil doesn't come dressed in a red cape and pointy horns. He comes as everything you've ever wished for ...
 
Kiingereza hakina "Munyu" kabisa ... Ila Zito na wewe umekosa uzalendo sana
 
Barua inayowakilisha malalamiko ya wanyonge kwenda WB ambako mafisadi wanataka kukopa hela kwa jina la wanyonge kisha watuachie manyoya.

'Ngastuka machale kundesaa'.
Manyoya afadhali, bullets,guns, boots, tear gas , kila kukicha zinatutia ulemavu wa kudumu ,kisa kudai haki ya mtanzania.
 
Ccm mlaumuni kikwete na lowassa kwa kuanzisha shule za kata ambazo zimeasaidia watanzania wengi kujitambua na kuukwepa ujinga ambao mliugeuza mtaji wa kuwaibia ushindi wao! Kwa maana nyingine, watanzania sio wajinga Tena mnavyodhani!

Barua hiyo mnayotaka kutuaminisha ni ya zitto mmegushi ili kumchafua. Kiingereza na mpangilio wa hoja ni wa musiba na Habibi mchange ambao wanajifanya mabingwa wa kuforge Hadi sahii za wengine wanaopingana.nao kwa hoja! Ccm mnachemka na kuchekwa na watanzania wenye uelewa!

Halafu Kuna wajinga wachache wanaonyesha roho zao zilizojaa kiburi Cha uzima wanahimiza kumuua zitto kwasababu za kijinga tu! Mtaiingiza nchi kwenye uasi mtakaoshindwa kuumaliza!
 
Sitak kuamin moja kwa moja kama ni barua aliyeandika zito kabwe. ..naona kama kuna miunganisho ya barua ya juu na mwisho kwenye sign

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kambi ya Upinzani imevamiwa kiana safari hii kutoka CDM kuwa chama kikuu sasa kura zingine zinaanza kuelekea ACT kwa publicity hii wapinzani wanagawanwa halafu ssem inakamta dola kilaiiiini.
Hii kuielewa mpaka umekonea darasa la saba B tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zito Zuberi Kabwe, Zito Zuberi Kabwe, Zito Zuberi Kabwe. Nimekuita mara tatu. Your days are numbered

Sent using Jamii Forums mobile app
Kigoma jamani Kigoma hatoki boi ,chezea wewe usipojikuta unaning'inia ziwa victoria .Hata mkuu wa wilaya wa jimbo la Zitto hadhubutu kumfanya chochote zito atajikuta ziwani kule wewewewewewe huyu sio Lissu
 
Hahaha hicho kiingereza hata Mpwa wangu wa Pre-school Haongei hivyo...

Poor English from the insane Coward

Sent using Jamii Forums mobile app
These checks and balances include freedom of express, freedom of assembly and free and fair elections.

Zito kauaaaaaa.......maccm mimacho itawatoka.

Unajua nyie ccm mnatuona sisi kama hamnazo awamu hii mmekwama.

" we are worried that this 500M uds may be used to distort the comming 2020 elections"

Zito we ni nomaaa we ni mzalendo wa kweli.

Hata hivyo huo mwandiko unafanana sana na Wa Lissu.

Kabla ya barua hii watu wame consult kwanza hawakukurupuka.


🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀😀
 

Kama anayosema yanaukweli, basi serikali ya ccm ibadilike, na kama siyo ya kweli basi hiyo hiyo serikali ya ccm itoe vidhibitisho kuwa yasemayo si ya kweli.

Waziri wa mabo ya nje na ushirikiano wa kimataifa toa neno hapo - JAPO KI UKWELI KWA KIPINDI CHAKO UMESAKAMWA SANA NA MISUKOSUKO, MARA MAKINIKIA, MARA NDEGE, MARA HIZI DOLA 500 Milioni.

NB:
Hii barua inaonekana iliandikwa tar 22.1.2020, na kikao cha Banki ya Dunia kilikuwa kikae tar 28.1.2020, sasa kubadilisha kikao na maamuzi yatolewe ndani ya siku 4 inanipa utata kidogo. Labda yawe maamuzi yalishafanyika tangia ile barua ya september 9, 2019.
 

Hapa Zitto kaongea ukweli mtupu. Mtu yeyote asiejua kiingereza ndio atamwona nyoka, labda kwa kuwa ametafsiriwa vibaya na mtu mwingine.

Lakini alichosema Zitto ni ukweli 100%. Lazima hilo tulikubali.

Hawa CCM wanataka wawe kama watoto wadogo wabebwe na wapinzania, halafu wakimnyea aliyewabeba wanalia wao badala ya kuomba msamaha?
 
Ma CCM ni wendawazimu kabisa. Kingereza cha zito kimenyoka sana sio huu upuuzi mlouleta hapa. At least mgemtumia mtu anayejua kuandika. Lakini hapana akili zenu ndo zimeishia hapo
Tatizo liko wapi kama aliowatumia hiyo barua wamemuelewa ....!!?
 
Back
Top Bottom