Elia F Michael
Member
- Mar 3, 2018
- 75
- 800
- Thread starter
- #321
Nimeipata Barua ya @zittokabwe aliyoituma kwenda Kwenye Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Dunia.
Nimekumbuka shambulio la maneno ya @zittokabwe aliyofanya kwa @tundulissutz kwa kumuita Zwazwa baada ya CHADEMA kusema kuwa Wataishitaki Tanzania inyimwe misaada kutoka kwa Wazungu.
@zittokabwe alienda mbali zaidi na kusema kuwa mambo ya Tanzania yanatakiwa yamalizwe na Watanzania wenyewe kwenye ardhi yao.
Sisi wote tunajua kuwa heshima ya Taifa lolote ni Uhuru wa kuamua jambo na kutoka nje ya Mipaka na Lugha moja.
Leo Tanzania tumefika hapa.
Wanasiasa wa Upinzani Tanzania hawana uwezo tena wa kuwashawishi Watanzania wenyewe kushughulika na Serikali yao.
Nchi imevamiwa na Wasioitakia mema Tanzania kwasababu ya Tamaa ya Madaraka,wakiamini kwamba Serikali ya awamu ya 5 inaweza kunyoosha mikono kwa kushindwa kuongoza Nchi.
Ndugu yangu @zittokabwe Mimi ni Mdogo wako,ninaandika haya huku ukiwa bado hai na Afya ya kutosha ukiwa nayo.
Hili ni kosa kubwa kuwahi kufanywa na Mwanasiasa wa Tanzania na wqliofanya hivi maeneo mengine walipata adhabu inayowastahili.
Ulituvuta wengi katika siasa ila katika hili la kusaliti Serikali iliyoshikilia hatma ya Watanzania wenzako Kaka hapa upo pekee yako.
Nina uhakika Yesu aliposema ya Kaisari Mpe kaisari ilikuwa ni ishara tosha ya kuwaeleza watu kuwa Serikali nazo zina kibali maalum kutoka kwa Mungu.
Nikutakie kila la heri katika kusubili mapigo maana naamini katika hili umelifanya ukiwa unajua madhara yake.
Tuendelee kusalitiana kwenye ndoa zetu lakini kwenye Nchi yenu muweke adabu kidogo. Kumbukeni sisi tunapita lakini Tanzania itaendelea kuwepo.
Sina shaka kwasababu ya uzito kwa hiki ulichokifanya ni muhimu ukapata funzo ambalo litarudisha adabu na utii kwa Serikali ya wana wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Ni Mimi Mdogo wako Elia F Michael.
Buyungu Kakonko Tanzania.
#Uzalendo.
#Tanzaniakwanza.
30/01/2020.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekumbuka shambulio la maneno ya @zittokabwe aliyofanya kwa @tundulissutz kwa kumuita Zwazwa baada ya CHADEMA kusema kuwa Wataishitaki Tanzania inyimwe misaada kutoka kwa Wazungu.
@zittokabwe alienda mbali zaidi na kusema kuwa mambo ya Tanzania yanatakiwa yamalizwe na Watanzania wenyewe kwenye ardhi yao.
Sisi wote tunajua kuwa heshima ya Taifa lolote ni Uhuru wa kuamua jambo na kutoka nje ya Mipaka na Lugha moja.
Leo Tanzania tumefika hapa.
Wanasiasa wa Upinzani Tanzania hawana uwezo tena wa kuwashawishi Watanzania wenyewe kushughulika na Serikali yao.
Nchi imevamiwa na Wasioitakia mema Tanzania kwasababu ya Tamaa ya Madaraka,wakiamini kwamba Serikali ya awamu ya 5 inaweza kunyoosha mikono kwa kushindwa kuongoza Nchi.
Ndugu yangu @zittokabwe Mimi ni Mdogo wako,ninaandika haya huku ukiwa bado hai na Afya ya kutosha ukiwa nayo.
Hili ni kosa kubwa kuwahi kufanywa na Mwanasiasa wa Tanzania na wqliofanya hivi maeneo mengine walipata adhabu inayowastahili.
Ulituvuta wengi katika siasa ila katika hili la kusaliti Serikali iliyoshikilia hatma ya Watanzania wenzako Kaka hapa upo pekee yako.
Nina uhakika Yesu aliposema ya Kaisari Mpe kaisari ilikuwa ni ishara tosha ya kuwaeleza watu kuwa Serikali nazo zina kibali maalum kutoka kwa Mungu.
Nikutakie kila la heri katika kusubili mapigo maana naamini katika hili umelifanya ukiwa unajua madhara yake.
Tuendelee kusalitiana kwenye ndoa zetu lakini kwenye Nchi yenu muweke adabu kidogo. Kumbukeni sisi tunapita lakini Tanzania itaendelea kuwepo.
Sina shaka kwasababu ya uzito kwa hiki ulichokifanya ni muhimu ukapata funzo ambalo litarudisha adabu na utii kwa Serikali ya wana wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Ni Mimi Mdogo wako Elia F Michael.
Buyungu Kakonko Tanzania.
#Uzalendo.
#Tanzaniakwanza.
30/01/2020.
Sent using Jamii Forums mobile app