Ha ha ha ulikuwa unatusemea wachepukaji? Ila kweli hamna jipya...Hapana mkuu
Pesa bila hesabu itapatikana?
Hahaha hahaaKuna siku yamenipata mahesabu ya fasta fasta nikaona itakuwa 145,600/=
Nili-focus mbele zaidi safari yangu ikaishia sokoni.
Nilinunua mchele, sukari, tambi , maharage, dagaa na samaki.
Nahisi niliongeza siku za furaha nyumbani. Nilimpigia simu kuwa nimepata dharura, nikamrushia 15,000/=
Kilichoendelea ni siri yangu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini eti
Nawasemea nyie apoHa ha ha ulikuwa unatusemea wachepukaji? Ila kweli hamna jipya...
Hakuna value for moneyHalafu mbaya zaidi hakupi kulingana na gharama... Kamoja atakuambia nimechoka.... Au sijisikii kwa leo, nilikuja tuongee tu.... Hahahahaaa,.. Nimeacha taslimu michepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hio 100,000 kichwa kinauma, ina maana ni ndogo sana?Unaonekana unachepuka na vimada wa bei poa sana,wanakubali guest badala ya hotel?halafu 30,000/=,eti vinywaji 30,000/=,nacheka kama mzee mtekaji(boss) wa apocalypto alipomuokoa jaguar paw asichinjwe.
Hii ndo akili sasaJuzi nimeapata mchepuko nilipopiga mahesabu nikaona 10k (msimbazi) inaondoka. Kwa usawa huu niliingia buchani. Bora tule supu kwangu kuliko kumpa mchepuko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hamna jipya.. Kuna siku nilitaka nipashe kiporo kwa ex wang.. Ila siku ya tukio nikaanza kujiuliza kuna kipi kipya, nikawaza hela ya lodge na risk ya wife kugundua nikajikuta nahairisha!!Halafu hakuna jipya wala
Hivi unafikiri wanaume wanapenda kuchepuka?Guest 30,000
Vinywaji na misosi 30,000
Usafiri 10,000
Kifuta jasho 30,000
Haraka haraka 100,000!
Wacha nibaki njia kuu hio 100,000 najaza friji mapochopocho kibao.
Huwasikii wanasema unaniachaje sasa? Hapo ndio unampa kifuta jashoEti kifuta jasho![emoji16][emoji16][emoji16]
Ukiwaza hela inayopotea unaahirisha pambanoKweli hamna jipya.. Kuna siku nilitaka nipashe kiporo kwa ex wang.. Ila siku ya tukio nikaanza kujiuliza kuna kipi kipya, nikawaza hela ya lodge na risk ya wife kugundua nikajikuta nahairisha!!
Ndio maana nikasema watanzania wote wenye uwezo angalau wa kulipa gest wanachepuka isipokuwa Rais tuHivi unafikiri wanaume wanapenda kuchepuka?
mke kajifungua utasubiri miezi kadhaa?
Mke kila akirudi toka kazi amechoka utafanyaje?
Mke baada ya kupata watoto mapenzi yote kageuzia kwa watoto
Mke hataki style mbali mbali kama zile za uchumba mchepuko hizo unazipata bila shida
Mke kisha zeeka na wewe unataka dogodogo
@nahuja
Madame B
Mshana Jr
funzadume
msafwa93
OKW BOBAN SUNZU