sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Diamond naomba tumuwekee exception asiwepo, hata kwa sasa pesa anavuna zaidi kwenye uwekezaji
Binafsi nachoona ni wasanii ni wachache sana wanaoingiza hela kwa mziki pekee, kinachoumiza wasanii wengi ni kulazimika kuishi maisha ya juu kwajili ya brand, mfano kuishi nyumba za milioni 3 kwa mwezi, kuvaa nguo za gharama, n.k. hapa unakuta pesa yote inayopatikana inakaishia kwenye matumizi na mambo yakibana ndio wanaanza kuishi maisha feki na stress ndipo zinapoanza, Hata Vanessa Mdee aligusia hili.
Tukila kwa wachezaji wa mpira wa ligi kuu wapo zaidi ya 300 na wote wana uhakika kuingiza mkwanja kila mwezi ila ni kwamba wanatofautiana mishahara, wanasevu pesa zaidi maana hawana msukumo wa kuishi maisha ya kifahari, Bakhresa anatoa shilingi milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu kwa hio hata mchezaji acheze timu ndogo uhakika upo.
CONCLUSION: Kucheza mpira kuna uhakika zaidi kuliko Muziki ?
Binafsi nachoona ni wasanii ni wachache sana wanaoingiza hela kwa mziki pekee, kinachoumiza wasanii wengi ni kulazimika kuishi maisha ya juu kwajili ya brand, mfano kuishi nyumba za milioni 3 kwa mwezi, kuvaa nguo za gharama, n.k. hapa unakuta pesa yote inayopatikana inakaishia kwenye matumizi na mambo yakibana ndio wanaanza kuishi maisha feki na stress ndipo zinapoanza, Hata Vanessa Mdee aligusia hili.
Tukila kwa wachezaji wa mpira wa ligi kuu wapo zaidi ya 300 na wote wana uhakika kuingiza mkwanja kila mwezi ila ni kwamba wanatofautiana mishahara, wanasevu pesa zaidi maana hawana msukumo wa kuishi maisha ya kifahari, Bakhresa anatoa shilingi milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu kwa hio hata mchezaji acheze timu ndogo uhakika upo.
CONCLUSION: Kucheza mpira kuna uhakika zaidi kuliko Muziki ?