Kutoka Saidi hadi MaulidiCoach Amadi Maulidi ndo kaanza kazi leo
Mwaka watabadilisha sanaKutoka Saidi hadi Maulidi
Acha u deogratius Nalimi KissanduHuu uwanja tuupige vita, yaani wanalinda wanajeshi usku na mchana, hata taratibu zetu za jadi tumeshindwa kuziingiza na kuzichimbia uwanjani...
Hawa jamaa usiku kucha wanalinda kwa mabunduki. Tusikubali timu nyingine itumie uwanja huo kama nyumba ni, hatutachukia ubingwa
Hiki kijamaa kinaonekana kabisa kichwani hakuko sawa, na kishirikinaHii keki italiwa wapi 😂
View attachment 3232598
Hayo mambo utayakuta kmc, urozi na sindano plus bahasha watu wanajipigia magoli kama hawana akiliJeshini hawapendagi ujinga,
Sindano zao wangedungana kwenye gari.
Keani lazima waweke usiku ? Mbona wanaweka dak yeyote mchezo ??hizonzako za zamani sanaaa.....kamati ufundi...mtaalam anakuwepo uwanjani akichezesha game pale alipo....Huu uwanja tuupige vita, yaani wanalinda wanajeshi usku na mchana, hata taratibu zetu za jadi tumeshindwa kuziingiza na kuzichimbia uwanjani...
Hawa jamaa usiku kucha wanalinda kwa mabunduki. Tusikubali timu nyingine itumie uwanja huo kama nyumba ni, hatutachukia ubingwa
kocha ajaye baada ya maulidi ni Mansuri.Kutoka Saidi hadi Maulidi