Kuchinjwa kwa binti wa mchungaji Mtungutu

Kuchinjwa kwa binti wa mchungaji Mtungutu

Tuweke mambo wazi.
Hivi sasa dunia imechafuka. Kitu kinachoitwa "Ngono" kimekuwa kama burudani fulani ya kawaida kama vile kucheza mpira, kuangalia sinema, kunywa bia, kuogelea, nk. Ile heshima ya tendo la kujamiiana kwa kusudi lililokusudiwa(kupata familia) halipo tena.
Mfano kwenye mikesha, hasa miezi ya December na January. Wengi wako likizo. Kukiwa na mkesha fulani, basi kisingizio tayari. Wote mnakutana nyumbani asubuhi. Baba, mama, watoto.
Kisingizio: "Mkesha"
Ndoa, kama wanavyosema wenyewe: "Ni kuondoa mikosi na vilevile kuweka heshima katika jamii kwamba umewahi kuoa/kuolewa katika maisha yako.
Hivyo ukioa kwa kupenda kwa dhati hasa binti mrembo mwenye shepu inayovutia, kwa uhakika tegemea mambo mawili:
1.) Kuuwa (mke/aliyefumaniwa, au wote wawili.
2.) Kujiuwa
Shepu inayovutia? Kwahiyo tuoe wasio na shepu, okay.
 
Madem wa kirangi easy sana...
Ukioa huyo kubali yote
 
Umesahau maelezo mengine mkuu ya muhimu sana........
- Mleta uzi ana gari na alikuwa anasafiri na usafiri binafsi

- Mleta uzi aliendesha gari kwa spidi kubwa(alikamua mashine)

- Mleta uzi alimjengea marehemu babu yake nyumba

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndiyo maana mabinti wa kiafrika most of them wanatamani waolewe na white people hususani waarabu, jamii ya waarabu wana imani sana though siyo wote
 
Umesahau maelezo mengine mkuu ya muhimu sana........
- Mleta uzi ana gari na alikuwa anasafiri na usafiri binafsi

- Mleta uzi aliendesha gari kwa spidi kubwa(alikamua mashine)

- Mleta uzi alimjengea marehemu babu yake nyumba
Hahah!sawa mkuu..hapa ndo nmepaelewa ..huko kweny story ya mtot wa mchngaji sijaelewa chochote
 
Umesahau maelezo mengine mkuu ya muhimu sana........
- Mleta uzi ana gari na alikuwa anasafiri na usafiri binafsi

- Mleta uzi aliendesha gari kwa spidi kubwa(alikamua mashine)

- Mleta uzi alimjengea marehemu babu yake nyumba
Kubwa zaidi kwenye huu uzi ni utambulisho wa gari, ile ist aliyoikataa Makonda!
Hongera mleta Uzi kwa kutimiza ndoto yako ya 2021 kununua gari ist.
 
Kubwa zaidi kwenye huu uzi ni utambulisho wa gari, ile ist aliyoikataa Makonda!
Hongera mleta Uzi kwa kutimiza ndoto yako ya 2021 kununua gari ist.
Jf mbona mna ng'ong'o sana kwani mtu kumiliki gari ni tatizo? Kwa hiyo kama alienda na gari yake asiseme? Je angesema alikuwa kapanda bus ! Tujielewe gari ni chombo tu wala hakuna mtu anakuja kujitapa hapa kwanza hatujuani atajigamba ili iweje?
 
Back
Top Bottom