Mimi bana labda kama alivosema Preta yaani nikuwe nimelewa, lakini mimi na akili zangu timamu halafu nikuone unavua mahipsi feki ya boksi mbele yangu unayaweka pembeni halaf unanisogezea kiuno chako orijino kimekaa kama kikaango cha chapati eti niendelee kubaki. Khaaa. Natokea dirishani na hela ya gesti na vinywaji utalipia wewe.
Wapi mkuu? yalikukuta nini? heheehHa ha haaa... mkuu umenikumbusha mbali
Exactly...yaani mtu awe anavua magwanda mimi naangalia tu! Mwisho wake ntafikiria namuona jini mahaba buree
Kwa kweli ntasikitika but siwezi kumuacha, as ntakuwa nimeshajitune kula...
Hii post inajustfy mimi kutaka kuanza kutumia viwezesha urembo. :shock:
Wapi mkuu? yalikukuta nini? heheeh
umeona eeh? tena mimi nazani hili suala kutokana na umuhimu wake lingeingizwa kwenye mchakato wa katiba mpya. Wanatuibia sana hawa jinsia ya upinzani
If that's the case then hakuna tatizo.., huyo bwana mwenye tamaa aliyevutiwa na wanja au mtindo wa nywele au viatu virefu mpaka akakuita chumbani sidhani kama atabadilisha mawazo kwamba basi ( sababu umevaa wig au una a lot of meat kwenye belly) ondoka sitaki kulala na wewe (utaona kwamba kuvaa kwako huko kumemvutia kuja for the first time)
Sasa kama atarudi kesho na keshokutwa will depend na wewe mwenyewe utu wako na connection yenu.., sidhani kama kutokurudi kwake will have to do na appearance yako when naked (and if that's the case nadhani mtu kama huyo humuitaji sababu ni superfluous na mtu kama huyo ndio huwa baada ya uzazi na umri kwenda ndio huwa wanakukimbia na kutafuta some young blood) after all with age, eventually most women will look alike...
Wapi mkuu? yalikukuta nini? heheeh
QUOTE]
Tena makubwa mkuu. sikutoroka mahipsi feki, nilitoroka kufumaniwa... japo nilikuja jua baadae wala haikuwa nafumaniwa..
I am giving you an option to consider...consider yourself in control...try even once....you will never regret
mmmh. hapa BAK umeamua tu kunibania. I am mad.:Cry:
Unajua Erotica hapa watu wanakushauri utambue uzuri wako wa asili. But kila mwenye uzuri wa asili hakosi mapungfu ya asili. Na Mungu katupa akili za kubuni namna ya kupambana na mapungufu yetu kibinadamubunadamu...
Trust me hakuna kitu kinachosaidia kama confidence.., sasa kama wewe unajiona ni mfupi na hupendi ufupi wako kwanini ukiwa nje usivae viatu virefu (yaani hapo hata kazini utachapa kazi bila shida, ila ukiwa unakishitukia.., hata yale mazuri yako.., mwanya, smile na macho utashindwa kuyaonyesha as utakuwa busy unaficha ufupi na kujishitukia)sun wu, this is superb. Sante. Kumbe I can just consider
using viwezesha urembo so that I look hotter. mengine yatajipanga mbele.
@Krolokwin yaani nimecheka mpaka basi! Imagining u ukitorokea dirishani! Very funny!
Anyway Erotica, here is my tip!
Love urself the way u r and everybody will.
Mimi huwa nawapenda na sometimes nawatamani wadada ambao juu wamejaa na chini hamna kitu; just because of how they love their bodies!
Hata Brenda Fassie nilikuwa natamani niwe kama yeye.
So kufupisha maneno yangu. Jinsi ulivyo uko peke yako Duniani; just love urself!