Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Huyu ni yule mpenzi wako ambae kila ukiongea nae unamuona kabisa ni yule wa kwashida na raha. Leo amekutaarifu kuwa anakukaribisha chakula kwao.
Umetoa ile nguo ya mwisho kabatini ile uliyolipa kwa instalments ili ikutoe aibu pia unaimani ile nguo inakufanya uonekane mtu wa heshima.
Umekaribishwa vizuri nyumbani na ndugu zake wote. Mdogo wake wa mwisho ana kipaji cha kupiga picha na amekabidhiwa camera ili kumbukumbu ta leo isipotee.
Unayo tabia ya kufokoa pua kutoa mabubu bila mwenywe kujielewa hasa unapokuwa nervous. Baadhi ya picha ziatoka mwenyewe uko busy na pua yako. Unaonyeshwa unatamani ardhi ipasuke, unaziwahi ili uzichane. Mpenzi wako anakujibu baba pia amezipenda hizo na amechukua copy za kwanza amezihifadhi.
Hivi unapofokoa kwa vidole una tumia mikono hiyo kusalimia watu, huoni kuwa unasambaza germs?
Kwakweli hii tabia inakera sana kwa wanaume na wanawake.
Umetoa ile nguo ya mwisho kabatini ile uliyolipa kwa instalments ili ikutoe aibu pia unaimani ile nguo inakufanya uonekane mtu wa heshima.
Umekaribishwa vizuri nyumbani na ndugu zake wote. Mdogo wake wa mwisho ana kipaji cha kupiga picha na amekabidhiwa camera ili kumbukumbu ta leo isipotee.
Unayo tabia ya kufokoa pua kutoa mabubu bila mwenywe kujielewa hasa unapokuwa nervous. Baadhi ya picha ziatoka mwenyewe uko busy na pua yako. Unaonyeshwa unatamani ardhi ipasuke, unaziwahi ili uzichane. Mpenzi wako anakujibu baba pia amezipenda hizo na amechukua copy za kwanza amezihifadhi.
Hivi unapofokoa kwa vidole una tumia mikono hiyo kusalimia watu, huoni kuwa unasambaza germs?
Kwakweli hii tabia inakera sana kwa wanaume na wanawake.