Kuchokonoa pua mbele za watu ni tabia inayochefua

Kuchokonoa pua mbele za watu ni tabia inayochefua

Umenena vyema hii tabia inakera aisee..bora utumie leso tu
 
C
Na ndio maana wataalamu wa afya wanatuambia tunawe mikono kwa sabuni nyakati muhimu yaani baada ya kutoka kazini, mazoezi. Ukipanda daladala ama kushuka eneo la kazi ama nyumbani cha kwanza ni kunawa maji kwa sabuni achilia mbali wakati wa kula yaani hata ukikutana na karanga ama mahindi

Tatizo linabaki kwa yule anaefanya hadharani na kwa akili ya kibinadamu huwa inachefua haswaaa though kuna mengine machafu zaidi yanafanyika kwa kificho.

Kwa tatizo hili la pua wengi tunadhani chooni ni sehemu ya kwenda haja kubwa na haja ndogo kumbe inaweza ikawa kama umebanwa chafya ambayo unaweza kui-control ama kugusa hizo pua ndani basi unaingia maliwatoni kujiweka safi kwa kupiga chafya za kutosha na mambo mengine mengi
Chafya siendi maliwato mradi kujiziba kwa leso au mkono kinywani wakati Wa kuipiga...
 
Kuna wale wakishayatoa wanajifutia kwa mkono na kufanya kama wananawa hivi ndugu zangu wamasai na waarusha wana hii tabia sana wanaoishi Arusha mnajua hii kitu
 
C

Chafya siendi maliwato mradi kujiziba kwa leso au mkono kinywani wakati Wa kuipiga...
Sahihi mkuu hii nimesemea kwa zile chafya mfululizo..mfano mie nina allergy na vumbu kuna kipindi huwa naandamwa na chafya inabidi naenda maliwato ili niziachie kwa uhuru mpaka ile ya mwisho ndo angalau najihisi kupona
 
That's right, sio ustaarabu kuchokonoa pua na kidole mbele za watu.
Pia mii nakereka sana na mtu akisghakula nyama anaanza kuchokoa meno kwa toothpick mbele za watu, afu mwingine unakuta anachokonoa la ulimi vile... Damn!!
Tubadilike, ukitaka kukuna oua tumia handkerchief kwa ustaarabu, pia ukitaka kuchokoa meno jifunike basi na kiganja cha mkono.
 
wengine kuminya pua ni namna ya kuongea..ata nyerere alikuwa akishika pua
Kuna tofauti kukuna pua kwa nje kama Nyerere na kuchokonoa kwa ndani ya pua na kidole. Ilw ya Nyerere ni kawaida tuu, tatizo ni ile ya kuzungusha mdole ndani ya pua
 
Your absolutely right, it's a very bad habit.
At one time while in Oslo someone asked me if picking nose is African way of life!
But while your wondering with nose picking, unfortunately in Oslo spatting is a common habit,it is really disgusting but nobody care's.
Nothing disgusts me like spitting in public... [emoji35]
 
Huyu ni yule mpenzi wako ambae kila ukiongea nae unamuona kabisa ni yule wa kwashida na raha. Leo amekutaarifu kuwa anakularibisha chakula kwao.

Umetoa ile nguo ya mwisho kabatini ile uliyolipa kwa instalments ili ikutoe aibu pia unaimani ile nguo inakufanya uonekane mtu wa heshima.

Umekaribishwa vizuri nyumbani ndugu zake wote. Mdogo wake wa mwisho ana kipaji cha kupiga picha na amekabidhiwa camera ili kumbukumbu ta leo isipotee.

Unayo tabia ya kufokoa pua kutoa mabubu bila mwenywe kujielewa hasa unapokuwa nervous. Baadhi ya picha ziatoka mwenyewe uko busy na pua yako. Unaonyeshwa unatamani ardhi ipasuke, unaziwahi ili uzichane. Mpenzi wako anakujibu baba pia amezipenda hizo na amechukua copy za kwanza amezihifadhi.

Hivi unapofokoa kwa vidole una tumia mikono hiyo kusalimia watu, huoni kuwa unasambaza germs?
Kwakweli hii tabia inakera sana kwa wanaume na wanawake.
Sasa mwenzio anawashwa na puwa afanyeje
 
Haka ni kaugonjwa kangu kakubwa najisahau kabisa yaani
 
Inakera sana sawa na kuchokonoa meno mbele ya watu baada ya kula unakuta jitu liko na teeth stick mbele ya watu inakera sana.
 
Si afadhali anayechokonoa pua lake kwa mikono yake mwenyewe kujisafisha bila soni!
Nitukanie wazamiaji. Hao wazamiaji wa chumvini!
Tafuta tusi zuri uwatukane waache tabia hiyo shenzi.
Waase watumie njia natural kufanya hayo mavitu.
Waambie na kuwakumbusha kuwa wao si mabeberu mbuzi wa kulamba na kunusa ujinga.
 
Inakera kwa kweli, afu wengine wanayatoa makamasi wanaanza kuyachezea chezea kuyafinyafinya
0c836e3703a35c51d8334e0e12531fd9.jpg
 
Back
Top Bottom