Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nisaidie dawa mkuu, maana nshaivuta imerefuka kuzidi hata ya kagame, najikutaga tu jamani dah comments za humu zimenifanya nijisikie vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie dawa mkuu, maana nshaivuta imerefuka kuzidi hata ya kagame, najikutaga tu jamani dah comments za humu zimenifanya nijisikie vibaya
Wazamiaji kivipi wanaopiga deki uvinza au wanaojikuna hadharini?Si afadhali anayechokonoa pua lake kwa mikono yake mwenyewe kujisafisha bila soni!
Nitukanie wazamiaji. Hao wazamiaji wa chumvini!
Tafuta tusi zuri uwatukane waache tabia hiyo shenzi.
Waase watumie njia natural kufanya hayo mavitu.
Waambie na kuwakumbusha kuwa wao si mabeberu mbuzi wa kulamba na kunusa ujinga.
Nimeongelea hao wapigaji wa deki uvinza kabisa kwenye ziwa la chumvi. Tukana waache.Wazamiaji kivipi wanaopiga deki uvinza au wanaojikuna hadharini?
Mambo mengi yanayofanyika laiti ungeyaona ungeshangaa.Angalia[emoji117]Na ndio maana wataalamu wa afya wanatuambia tunawe mikono kwa sabuni nyakati muhimu yaani baada ya kutoka kazini, mazoezi. Ukipanda daladala ama kushuka eneo la kazi ama nyumbani cha kwanza ni kunawa maji kwa sabuni achilia mbali wakati wa kula yaani hata ukikutana na karanga ama mahindi
Tatizo linabaki kwa yule anaefanya hadharani na kwa akili ya kibinadamu huwa inachefua haswaaa though kuna mengine machafu zaidi yanafanyika kwa kificho.
Kwa tatizo hili la pua wengi tunadhani chooni ni sehemu ya kwenda haja kubwa na haja ndogo kumbe inaweza ikawa kama umebanwa chafya ambayo unaweza kui-control ama kugusa hizo pua ndani basi unaingia maliwatoni kujiweka safi kwa kupiga chafya za kutosha na mambo mengine mengi
Acha kabisa yaani tunaweka midomoni vitu vingiMambo mengi yanayofanyika laiti ungeyaona ungeshangaa.Angalia[emoji117]